Umesikia kuhusu vyakula vya Nigeria, umeona kwenye Tv au mitandao ya kijamii.. Hii ni fursa ya kipekee kuja na kuonja misosi mbalimbali ya Nigeria ndani ya Dar es salaam.
Iphone 6
spec grey 16gb
Ram 1gb
No scratch
Bado inawaka
Sijasahau#Bei ya awamu ya 5#520,000 Tzs
Maelewano yapo kiasi PM or humu 0738559767
Mzigo upo Dar
Karibuni.
Tunatoa offer kwa watu watano kwa Siku ya ijumaa kufanyiwa service Air-condition yko pamoja na fridge au kifaa chochote cha kuzalisha baridi au joto
Pia kwa wale wenye Incubator mbovu pia...
Iwe nchi 24, 28 au 32
Isiwe imetumika muda mrefu(iliyo ndani ya warant itapendeza zaid)
Bei ni maelewano kulingana na size na aina ya screen..
Mnunuzi yupo Dar hivyo muuzaji pia awe Dar au...
Nauza vitenge Wax pair 3 kwa Tsh 60,000/
Napatikana Dar es salaam.
Kwa wakazi wa Dar unaletewa ulipo,
Mkoani tunatuma baada ya malipo.
Mawasiliano.
0621003284
Viti vya ofisini , unaweza kuvipandisha na kushusha chini imported from U.K . Bei kuanzia sh 150.000.00. vinapatikana Majohe Dar , Kama unavihitaji piga simu 0712652110
Kiwanja kipo-- Maeneo ya Kata ya Ndebezi shinyanga Mjini
Ukubwa wa kiwanja -- upana hatua 25, urefu hatua 30
Bei ya kiwanja- 950,000/= Maelewano yapo
Mawasiliano
0758 329...
HAbari wadau,
Kuna mdau anahitaji Laptop PCS 5 na Desktop Complete PC 12 Photocopy Machine.Meza za Computer sio zile za kichina na viti vya office na Meza mbili za ofisi Pamoja na AC Mbili...
Nimefungua studio Mkoa mpya wa SIMIYU wilaya ya BUsega LAMADI, nahitaji mpiga guitar mzuri mzoefu kwa guitar la solo na bass, ambaye tutakuwa tukiwasiliana kila kazi inapotokea studio kwangu #NB...
Eneo lipo HIMO pale njia panda ya kuelekea moshi mjini na arusha, Eneo ni kubwa lina UREFU: Hatua 65 na UPANA: Hatua 45, kiwanja ni tambarare na kipo umbali wa takribani mita 150 kutokea njia kuu...
Ni nyumba kubwa ya vyumba 11 na frame nje
Ukubwa wa kiwanja ni 25 kwa 23
Umeme na maji masaa 24
Nyumba ipo maeneo ya Chamwino
Bei ni shilingi 20,000,000
Karibuni