Habari wadau. Nauza vitu vifuatavyo kwan ninahamia mkoan. Vitu hivi vipo kmara Dsm.
SUMSUNG FLAT TV LCD 43 TSH 750 ,000 PAMOJA NA STAND YAKE.
Meza ya kioo bado nzuri tsh 100,000/-
Home thetre...
VIFAA VYA SALON YA KIUME VINAUZWA
1. Viti viwili vya kunyolea Tshs. 700,000/-
2. Bench la kisasa Tshs.350,000/-
3.Kioo Kikubwa cha alminium 100,000/-
JUMLA 1.15 Million Tshs (Tshs 1,150,000/-)...
Habari wadau wa JF...
Nauza baadhi ya vifaa vya ofisini hasa kwa watu wenye nia ya kufungua ofisi..
Sababu ya kuuza ni kwamba nimetanua ofisi hivyo nimehamia sehemu nyingine kwa hiyo nalazimika...
Habarini wadau wa biashara ni gari ambayo iko vizuri na inafanya kazi inauzwa million 16 maongezi yapo haipitii kwa dalali mimi ndio mwenye gari sababu nataka kubadili biashara nyingine namba...
Wana JF
Habari na poleni kwa mihangaiko ya kimaisha.
Kuna plot inauzwa kwa ajili ya makazi ipo Mtegu, karibu na Kibada.
Ina ukubwa wa futi 70 kwa 57.
Kipo karibu na barabara kuu ya kuelekea...
Ni mpya kabisa nimeitumia siku mbili tu
Horsepower ni 1.5 ina ubarid wa kutosha na matumiz madogo sana ya umeme nichek
Tigo 0718017711
Voda 0743553553
Bei ni 550000 punguf unaongea
Pata net za kisasa, zenye muonekano amazing, pana na ndefu, high quality, unaweza kufunga kwa stayle tofauti tofauti, ziko aina tofauti tofauti, zimebaki chache, bei ni Tshs. 55,000 tu. Karibuni sana
Wana jamii forum nauza ac yang mpya iliyo toka german nataka nimalizie ada ya mtoto ina horsepower 1.5 haili umeme kabisa ubaridi wake wake ni wakuganda napatikan dar es salaam maeneo ya...
TIBA ZA ASILI
Pata Dawa za uhakika zilizo thibitishwa Na mkemia mkuu,
Nidawa za asili zinazo fanya vizuri Tanzania
Tuna Dawa za magonjwa mbalimbali kama vile:- Kundi A.
1.madonda ya tumbo...
Local calls to all networks for Tsh. 1/sec instead of the normal Tsh. 3/sec.
International calls for Tsh. 1.5/sec instead of the normal Tsh. 5/sec.
10% discount of roaming calls.
Internet Tsh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.