Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nauza mradi wangu wa M-PESA na AIRTEL money till zote kwa pamoja nauza 230,000 Tsh. Nauza sababu nina shida ya Pesa. Kwa wale wa Arusha na Kilimanjaro ntakuletea hadi ulipo: Nipigie au text 0764586354
0 Reactions
2 Replies
854 Views
HP laptop on sale.. Processor 1.80GHz RAM 2gb Hard disk 500 400000/= (negotiatable) +255759283908
1 Reactions
4 Replies
797 Views
Nauza simu aina ya Microsoft Lumia 535 imetumika kidogo bei 150,000. Anayehitaji anitumie ujumbe inbox.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Salaam!!! Kampuni yetu inaendelea kuuza viwanja vilivyoko puna kigamboni,viwanja vimepimwa na viko mita 400 tu kutoka kwenye ufukwe wa bahari ya Hindi. Vina ukubwa tofauti kuanzia sqm.400 mpka...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Nina shida ya haraka nauza Till yangu yya AIRTEL MONEY , inafanya kazi zote vizur ikiwa imeunganishwa na program ya kusajili Wateja. Bei: 75,000 maongezi yapo. Nipigie au Ni text: 0764586354...
0 Reactions
2 Replies
812 Views
Natafuta kitanda 5-6 used bei na 70000 kama unacho nicheki 0716516563 niko dar kigamboni
0 Reactions
3 Replies
758 Views
Tunauza mbao fupi za dawa zenye kudumu kwa muda mrefu na zisizo weza kushambuliwa na wadudu waalibifu Pia itakuepusha na utapeli wa futi kwani mbao hizi ni bora sawa na zile ndefu za kupima...
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Hp Pavilion 15 Ram 4gb Harddisk 500gb Core i5 Processor @1.6Ghz 2.3GHz dual boost dts sound Battery 2hrs Used Bei 510,000/= 0684-141476 Dar es Salaam.
0 Reactions
6 Replies
856 Views
Habari wana jamvi Ninauza Acer laptop e510 kwa Tz Shs 350,000. Imetumika miezi 6 . Nipo Mbweni - Dar es salaam
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Laptop inauzwa HP Compaq 610 Processor 2.2 Ghz Ram 2Gb Hdd 160 Battery 2hrs DVR-RW 15'6 screen Haina tatizo lolote. 0684141476 Dar es Salaam
1 Reactions
35 Replies
4K Views
Kabila ni samsung. For 900000.. tutaelewana karibuni. Ni kubwa la milango miwili. Halina tatizo lolote lipo kama jipya. Mashine ya kufulia ni kilo 6 for 350000 0717622717 or 0776950000.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba kujulishwa kama kuna mwenye kufahamu wapi kuna gym maeneo haya ya Temeke, mtoni, mbagala hadi chamazi, mbande.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
VIWANJA VINAUZWA,mita 20 kwa mita 20 (HATUA ZA MTU MZIMA 25 KWA 25) vipo MAJOHE -DAR-ES-SALAAM vipo barabarani, Viwanja viwili vya mbele bei ni m.15,viwanja vya nyuma m.14 barabara imeachwa kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
playstation 3 Inauzwa laki 3, unatumiwa popote ulipo Maongezi yapo
0 Reactions
2 Replies
606 Views
nicheki 0626744668
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Vinapatikana kila aina na Saizi tofauti .kwa maelekezo zaidi piga namba 0672:716267
0 Reactions
0 Replies
831 Views
Gari aina ya Toyota Spacio inauzwa milion 9,500,000/= mazungumzo yapo,mawasiliano 0755092734/0716515995
0 Reactions
1 Replies
765 Views
Ni mpya haina shida yoyot ile nimeitu siku mbili tu ni portable unawez kuhama nayo popote pale No horsepower 1.5 ubarid wake ni mkali sana pia ni automatic kuzima na kuwasha kutokana na ulivyo...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Habar wana JF,ninauza eneo la ukubwa wa ekari moja na nusu maeneo mwasonga-kigamboni. Kuna nyumba ndogo imejengwa ya chumba na sebule ambayo bado haijakamilika.bei ni maelewano.nichek pm
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom