health
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 325
- 38
Habari wanajamii na bila shaka mnaendelea vema na kazi za kila siku. Mimi huwa napenda kumshukuru kila mmoja ambaye anajali maisha ya mwingine pia kuweza kutoa elimu kwa wengine pia. Hapa napenda kuwajulisha/kutoa elimu kwa jamiii kuhusu namna mtu anavyoweza kuondoa sumu katika ini na figo kwa lugha ya kigeni DETOXIFICATION OF THE LIVER AND KIDNEY.
Binadamu anatakiwa aishi maisha mazuri yenye afya njema na kwa kufanya hivyo anaweza kuishi kwa muda mrefu pia sababu mwili unakuwa hauchoshwi na chochote. Tunaambiwa muda wa kuishi umepungua hadi muda Fulani kumbe siyo hivyo inavyotakiwa iwe.
Muda unapungua kutokana na mwendelezo wa maisha yetu ya kila siku kwa kuelewa tunachokifanya na kudharau au kutokuelewa kwa wengine ambayo elimu ni muhimu. Unaweza kufuatilia hizi bidhaa muhimu za afya zilizoandaliwa kiasilia na kuthibitishwa kutokuwa na madhara kiafya.
GOLDEN SIX
Golden Six imetokana na mimea sita(six golden herbs) inamaanisha mimea sita yenye thatmani.
Golden six inahusika na sehemu zifuatazo;
Utendaji kazi wa Golden six;
Uric acid ikiwa kwenye viungo husababisha kuumwa kwa viungo.
Inapunguza kasi ya kuzeeka kwa kuondoa madhara ya uzee mfano;
FAIDA ZA GOLDEN SIX
MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ------ na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.
KAZI YA MAGILIM
Yeyote anayehitaji msaada zaidi labda kutaka kuuliza au ushauri anaweza kunipigia kupitia namba 0776491294 pia anaweza kuniandikia ujumbe kupitia ishealthy@hotmail.com
Gharama za MAGILIM ni Tsh. 62500/-na GOLDEN SIX 38000/-
Binadamu anatakiwa aishi maisha mazuri yenye afya njema na kwa kufanya hivyo anaweza kuishi kwa muda mrefu pia sababu mwili unakuwa hauchoshwi na chochote. Tunaambiwa muda wa kuishi umepungua hadi muda Fulani kumbe siyo hivyo inavyotakiwa iwe.
Muda unapungua kutokana na mwendelezo wa maisha yetu ya kila siku kwa kuelewa tunachokifanya na kudharau au kutokuelewa kwa wengine ambayo elimu ni muhimu. Unaweza kufuatilia hizi bidhaa muhimu za afya zilizoandaliwa kiasilia na kuthibitishwa kutokuwa na madhara kiafya.
GOLDEN SIX
Golden Six imetokana na mimea sita(six golden herbs) inamaanisha mimea sita yenye thatmani.
Golden six inahusika na sehemu zifuatazo;
- Mishipa ya hisia
- Figo
- Kuinua kinga ya mwili na kinga ikiwa nyingi kwenye mwili inasaidia uroto kwenye mifupa(born marro), ndiyo inatengeneza cell za mwili.
- Inapunguza kasi ya kuzeeka kwa kuondoa madhara ya uzee.
Utendaji kazi wa Golden six;
- Golden six ina kinga kubwa kwenye mwili, ukiitumia vizuri inakwenda kusawazisha kinga kwenye mwili.
- Inarutubisha uroto kwenye mifupa nah ii hutengeneza chembechembe nyeupe za damu kwa haraka.
- Golden six inasafisha figo kwa kuipa nguvu ya kusafisha damu, kuondoa sumu mwilini kama vile uric acid.
Uric acid ikiwa kwenye viungo husababisha kuumwa kwa viungo.
- Kuhisi uchovu
- Kutokwa na jasho sana
- Kuumwa sehemu ya chini ya mgongo na pia kukosa usingizi.
Inapunguza kasi ya kuzeeka kwa kuondoa madhara ya uzee mfano;
- Kupoteza kumbukumbu
- Kutoona vizuri
- Misuli kukosa nguvu
- Chembechembe za mwili kufa kwa haraka
- Inajenga mishipa ya hisia na kuondoa matatizo ya kupooza
- Kwa waliopooza na kuathirika kwenye mdomo (mdomo kupinda) katika mazungumzo inawasaidia na kurekebisha mazungumzo yao.
FAIDA ZA GOLDEN SIX
- Stroke(kupooza)
- Kukosa usingizi
- Hypomnesis
- Kupoteza kumbukumbu
- Kuumwa na viungo
- Kusafisha damu
- Husaidia presha ya kupanda inayosababisha mishipa kubana hii hutokana na aina Fulani ya Adrino gland ambayo hutoa kemikali, husababisha kubana kwa mishipa ya damu.
- Matatizo ya wanawake na ukomo wa wanawake
MAGILIM
Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;
- Seamen cassie
- Cassia bark
- Mullberry leaver
- Fago fyrum tataricum
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;
- Maji ya nyongo
- Nguvu ya mwili(glucose)
- Uric acid
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ------ na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
- Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.
KAZI YA MAGILIM
- Kupunguza uzito na unene
- Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
- Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
- Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
- Kutoa sumu mwilini
- Kutoa chunusi mwilini
- Kutibu matatizo ya tumbo
Yeyote anayehitaji msaada zaidi labda kutaka kuuliza au ushauri anaweza kunipigia kupitia namba 0776491294 pia anaweza kuniandikia ujumbe kupitia ishealthy@hotmail.com
Gharama za MAGILIM ni Tsh. 62500/-na GOLDEN SIX 38000/-