Duka liko Dar es salaam eneo la mbezi barabara ya goba. Ni ndani kidogo mtaani sio barabara ya lami. Kutoka lami ni mwendo wa km 1.
Masharti ya kazi.
1. Ataishi nyumbani kwa boss wake kwa urahisi wa kufika eneo la kazi au dukani.
2. Awe na utaalamu wa dawa.
3. Mshahara sh 100,000 chakula na malazi juu ya boss wake.
Alie na utayari kwa kazi hii tuwasiliane.
Mawasiliano 0717323015.
Asante.
Masharti ya kazi.
1. Ataishi nyumbani kwa boss wake kwa urahisi wa kufika eneo la kazi au dukani.
2. Awe na utaalamu wa dawa.
3. Mshahara sh 100,000 chakula na malazi juu ya boss wake.
Alie na utayari kwa kazi hii tuwasiliane.
Mawasiliano 0717323015.
Asante.