Hakuna cha kubehave,ila tatizo ni kuwa anapenda kufatilia mambo ya watu bila sababu maalumuLabda unabehave like...that's why wanakuhisi...
yaan sipendi watu mnaokurupuka kama nyie!Hakuna cha kibehave,ila tatizo ni kuwa anapenda kkufatilia mambo ya watu bila sababu maalumu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Mbea na mfukunyuku ama unajidai unajua sana vitu vya wakubwa. Ila acha umbea hao unataka kufanana nao ni kama wewe ila wapo tofauti na Yesu wa Kangi. Acha umbeaHakuna cha kibehave,ila tatizo ni kuwa anapenda kkufatilia mambo ya watu bila sababu maalumu
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Huwa siigizi mkuu,wala sijawahi kufikiri kufanya hvyo..ila inatokea tuu naambiwa hivyo.nilikuwa sijijui kabisaLabda unabehave like...that's why wanakuhisi...but kwa kuwa haikuingizii Senti mfukoni wewe komaaa na kibarua chako
Wee endelea kitopenda,lakini tambua kuwa usipoacha tabia ya kufatilia mambo ya watu yasokuhusu kuna siku kunaishu itabuma hapo ulipo wahusika wakuhisi wewe waje wakungoe meno bila ganzi.yaan sipendi watu mnaokurupuka kama nyie!
Wapi nimeeandika nafuatilia maisha ya watu?!!
Utoto!!Wakuu habarini za kutwa!
Poleni na majukumu,nina imani wazima.
Wakuu nina swali linanitatiza kidogo,naomba mnipe msaada hili jambo limekaaje..
Wakuu katika mazingira na mjumuiko wa watu mbalimbali ambao niliowahi/ninaoishi nao huwa wanakuwa na wasiwasi na mimi wakinihisi ni mtu wa Usalama wa Taifa ilihali sio.
...Pia kipindi hicho nikiwa masomoni walinihisi vivyo hivyo(haswa chuo)kuna baadhi nilizungumza nao..
Mmojawapo alidai moja ya sababu ikiwemo ni (looking style) haswa nikiwa kwenye mjumuiko wa watu.sifahamu hii imekaaje....
Wa pili alidai kuhusu mazungumzo,....na alimalizia kuhusu maswali ninayouliza-wakuu hapa nikiri kama ni swali huwa ninauliza maswali kikawaida sana kama watu wengine.
Kuna wengine walidai kwa mwendo wa kutembea
Sasa wakuu naombeni msaada kuhusu haya,
Mtu akiwa/anayefanania na Usalama wa Taifa yupoje?..vipi kuhusiana na walking style ya mtu?
Ni kigezo gani kinaweza kumtafsiri kuwa mtu flani ni Usalama? haswa kuhusu aina yake ya maswali anayoyauliza?
Staili gani ya macho huweza kuashiria kuwa mtu flani anafanya kazi za kipelelezi? Kama mdau alivyosema?ilihali sio?
NAWASILISHA
Sijui mkuu labda wewe unipe msaadaWakoje? Na wewe ukoje? tuanzie hapo
sawaUlinzi na usalama wa nchib ni jukumu la Kila mtanzania Hongeravzako.kama wanakutambua Kama mwana usalama .Kila mtanzania anatakiwa kuwa mwana usalama wa kulinda nchi yake
Wivu... mwenzio anashukiwa anatulinda😀😀Utoto!!
Punguza ukada.Wakuu habarini za kutwa!
Poleni na majukumu,nina imani wazima.
Wakuu nina swali linanitatiza kidogo,naomba mnipe msaada hili jambo limekaaje..
Wakuu katika mazingira na mjumuiko wa watu mbalimbali ambao niliowahi/ninaoishi nao huwa wanakuwa na wasiwasi na mimi wakinihisi ni mtu wa Usalama wa Taifa ilihali sio.
...Pia kipindi hicho nikiwa masomoni walinihisi vivyo hivyo(haswa chuo)kuna baadhi nilizungumza nao..
Mmojawapo alidai moja ya sababu ikiwemo ni (looking style) haswa nikiwa kwenye mjumuiko wa watu.sifahamu hii imekaaje....
Wa pili alidai kuhusu mazungumzo,....na alimalizia kuhusu maswali ninayouliza-wakuu hapa nikiri kama ni swali huwa ninauliza maswali kikawaida sana kama watu wengine.
Kuna wengine walidai kwa mwendo wa kutembea
Sasa wakuu naombeni msaada kuhusu haya,
Mtu akiwa/anayefanania na Usalama wa Taifa yupoje?..vipi kuhusiana na walking style ya mtu?
Ni kigezo gani kinaweza kumtafsiri kuwa mtu flani ni Usalama? haswa kuhusu aina yake ya maswali anayoyauliza?
Staili gani ya macho huweza kuashiria kuwa mtu flani anafanya kazi za kipelelezi? Kama mdau alivyosema?ilihali sio?
NAWASILISHA
Basi tuanze na tabia zakoSijui mkuu labda wewe unipe msaada
huwa nasocialize sana mkuu,ila bado kuna tatizoUsalama wa taifa Ni watumishi tu, nao hufukuzwa, msikuze mambo, Ni taasisi nzuri ila inahitaji nidhamu na kujituma haswaa!
Mtu kukuhisi usalama wa taifa siyo vibaya, ila usipende kujiweka tofauti na watu.
Cooperate with your surrounding majority!
HahahaWivu... mwenzio anashukiwa anatulinda