Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
ZUMARID anaonewa na kosa lake kubwa ni kutojihusisha na kusifia au kuwa karibu na serikali, hilo ni kosa kubwa ambalo kalifanya kwa makusudi au kujisahau .
Zumarid havunji sheria ya nchi, anawa-brainwash wajinga na kupiga mamilioni na maisha yamemnyookea vizuri tu.
Zumarid hana tofauti kubwa na kina Mwamposa, Mwingira, Gwajima, Frank, Mama Rwakatare, GeorDavie, Malisa, na wanaojiita manabii na mitume hapa TZ. Mzee wa Upako (huyu ni wa muda mrefu na siku hizi analalamika wanaokuja wanajiita mitume na manabii hivo wanamuharibia biashara).
Narudia hana tofauti nao kubwa, wote Objective yao ni kupiga hela, Mwamposa anauza keki, maji, mafuta, leso n.k kwa mwamvuli zina upako, na anapiga hela, ila ni mjanja yupo karibu na utawala.
Waulize hata kina Kakobe, Gwajima, Mzee wa Upako wamefikaje hapo bila bugudha; walijiweka karibu na utawala, hivo wakaaminika na kutumia janja zao na mazingaombwe (miujiza fake), kwasasa wana ukwasi mkubwa sana. The same kwa kina Mama Rwakatare, Mzee wa Upako hadi barabara alijengewa, Gwajima kabla ya misa zake atamuombea JPM na makatibu wote wa wizara, na amekuwa akiisifu sana serikali siku hizi.
Hii kwa Zumarid alisahahu, ndio maana Serikali imemfikia, ila hana tofauti yoyote na kina Mwamposa au Gwajima , wanatofautiana tu taratibu za kupiga hela, ila mazingaombwe (miujiza fake) ni ile ile.
Zumarid yupo hapo Isenyi kwa karibu miaka 3, havunji sheria ya nchi, anachokifanya ni kile kile wanachofanya kina Mwamposa, kuwa-brainwash watu na kupata fedha nyingi bila kuilipia kodi.
Naomba double standard isitumike kwa Zumarid Diana Bundala), wakamatwe na hawa wanaowauzia watu maji, mafuta, keki na leso, na kudanganya wanatibu HIV kama anavyojinadi Nabii Frank .
Simtetei Zumarid, ila kama mmeshindwa kuwakamata hawa manabii na mitume waliojazana hapa Dar, Iringa, Mbeya, singida, Arusha, n.k
Basi muacheni Zumarid ale maisha, maana ameshafanikiwa kuwa-brainwash kama Mwamposa alivyofanikiwa.
Asionewe peke yake Zumarid; Gwajima, mwamposa mnawaachaje?
Soon Zumarid ataachiwa na ataendelea na shughuli zake, hakuna sheria aliyovunja.
Zumarid havunji sheria ya nchi, anawa-brainwash wajinga na kupiga mamilioni na maisha yamemnyookea vizuri tu.
Zumarid hana tofauti kubwa na kina Mwamposa, Mwingira, Gwajima, Frank, Mama Rwakatare, GeorDavie, Malisa, na wanaojiita manabii na mitume hapa TZ. Mzee wa Upako (huyu ni wa muda mrefu na siku hizi analalamika wanaokuja wanajiita mitume na manabii hivo wanamuharibia biashara).
Narudia hana tofauti nao kubwa, wote Objective yao ni kupiga hela, Mwamposa anauza keki, maji, mafuta, leso n.k kwa mwamvuli zina upako, na anapiga hela, ila ni mjanja yupo karibu na utawala.
Waulize hata kina Kakobe, Gwajima, Mzee wa Upako wamefikaje hapo bila bugudha; walijiweka karibu na utawala, hivo wakaaminika na kutumia janja zao na mazingaombwe (miujiza fake), kwasasa wana ukwasi mkubwa sana. The same kwa kina Mama Rwakatare, Mzee wa Upako hadi barabara alijengewa, Gwajima kabla ya misa zake atamuombea JPM na makatibu wote wa wizara, na amekuwa akiisifu sana serikali siku hizi.
Hii kwa Zumarid alisahahu, ndio maana Serikali imemfikia, ila hana tofauti yoyote na kina Mwamposa au Gwajima , wanatofautiana tu taratibu za kupiga hela, ila mazingaombwe (miujiza fake) ni ile ile.
Zumarid yupo hapo Isenyi kwa karibu miaka 3, havunji sheria ya nchi, anachokifanya ni kile kile wanachofanya kina Mwamposa, kuwa-brainwash watu na kupata fedha nyingi bila kuilipia kodi.
Naomba double standard isitumike kwa Zumarid Diana Bundala), wakamatwe na hawa wanaowauzia watu maji, mafuta, keki na leso, na kudanganya wanatibu HIV kama anavyojinadi Nabii Frank .
Simtetei Zumarid, ila kama mmeshindwa kuwakamata hawa manabii na mitume waliojazana hapa Dar, Iringa, Mbeya, singida, Arusha, n.k
Basi muacheni Zumarid ale maisha, maana ameshafanikiwa kuwa-brainwash kama Mwamposa alivyofanikiwa.
Asionewe peke yake Zumarid; Gwajima, mwamposa mnawaachaje?
Soon Zumarid ataachiwa na ataendelea na shughuli zake, hakuna sheria aliyovunja.