barafu
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 6,726
- 32,815
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania imepiga marufuku taasisi au mtu binafsi kurusha angani vifaa ya kielektroniki visivyo na rubani (Drones) bila kupata kibali/idhini maalum kutoka Wizara ya Ulinzi na Usalama pamoja na Mamlaka hiyo.
Taarifa ya TCAA imefafanua kuwa uendeshaji wa shughuli zote za anga nchini uko chini ya Mamlaka hiyo kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizopo.
Picha inayoonesha Drone
Taarifa ya TCAA imefafanua kuwa uendeshaji wa shughuli zote za anga nchini uko chini ya Mamlaka hiyo kwa mujibu wa sheria na kanuni zilizopo.
Picha inayoonesha Drone