Rais2020
JF-Expert Member
- Jul 14, 2016
- 3,248
- 5,532
Natumai mu wa wazma wa afya njema kabisa.
Kila kukicha makanisa mbalimbali yanaanzishwa tena yenye kujipambanua kuwa yanawafanya vilema wa miguu kutembea na wengi wa waumini hao nimegundua hawana imani thabiti maana kila kukicha wao wanabadili madhehebu tu ili mradi kasikia au kaona matangazo ya upako kwenye luninga.
Kupotea kwa imani kati ya waumini mbalimbali kumenisukuma kuwekeza kwenye uchawi na uganga wa kienyeji.
*****uchawi
1. Km ww una ugomvi na jirani yako karibu
2, Kama ww una ugomvi na boss wako wa kazi karibu
3.Kama ww unataka kutoa kafara karibu
4. Km unataka kumgeuza mzinzi wako kuwa bata au kuku karibu
****Uganga
Nina tibu magonjwa sugu km kansa,upungufu wa kinga mwilini(ukimwi),uke kupanuka sana na kuwa na maji maji mengi,kunuka kikwapa muda wote,na mengne mengi
Km umefukuzwa kazi pia karibu
Km unataka kupendwa na wanawake/wanaume wenye pesa tu karibu.
Km unataka kuchaguliwa kuwa kiongozi na muheshiniwa rais karibu.
Napatikana sumbawanga.
@@@@Huduma
Ninakufikia popote pale ulipo kwa gharama zangu mwenyewe
SIRUHUSU MTU KUTUMA PESA KWA NJIA YOYOTE ILE MAANA MALIPO HUFANYIKA BAADA YS MGONJWA KUPONA
@@@@@Malipo
Hifanyika pale tu unapopona
@@@@utapeli.
Km ukipona na ukakataa kunilipa basi jiandae kuwa kuku au bata.
KARIBUNI SANA
Kila kukicha makanisa mbalimbali yanaanzishwa tena yenye kujipambanua kuwa yanawafanya vilema wa miguu kutembea na wengi wa waumini hao nimegundua hawana imani thabiti maana kila kukicha wao wanabadili madhehebu tu ili mradi kasikia au kaona matangazo ya upako kwenye luninga.
Kupotea kwa imani kati ya waumini mbalimbali kumenisukuma kuwekeza kwenye uchawi na uganga wa kienyeji.
*****uchawi
1. Km ww una ugomvi na jirani yako karibu
2, Kama ww una ugomvi na boss wako wa kazi karibu
3.Kama ww unataka kutoa kafara karibu
4. Km unataka kumgeuza mzinzi wako kuwa bata au kuku karibu
****Uganga
Nina tibu magonjwa sugu km kansa,upungufu wa kinga mwilini(ukimwi),uke kupanuka sana na kuwa na maji maji mengi,kunuka kikwapa muda wote,na mengne mengi
Km umefukuzwa kazi pia karibu
Km unataka kupendwa na wanawake/wanaume wenye pesa tu karibu.
Km unataka kuchaguliwa kuwa kiongozi na muheshiniwa rais karibu.
Napatikana sumbawanga.
@@@@Huduma
Ninakufikia popote pale ulipo kwa gharama zangu mwenyewe
SIRUHUSU MTU KUTUMA PESA KWA NJIA YOYOTE ILE MAANA MALIPO HUFANYIKA BAADA YS MGONJWA KUPONA
@@@@@Malipo
Hifanyika pale tu unapopona
@@@@utapeli.
Km ukipona na ukakataa kunilipa basi jiandae kuwa kuku au bata.
KARIBUNI SANA