Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
Hodiii Humu jf shkamooni wazee; habari zenu vijana na wahenga wenzangu. Member mpyaaàaaaaaaa jamani.
0 Reactions
7 Replies
854 Views
hello! naitwa mariam najikaribisha na pia nakaribisha marafiki. kama hutojali naomba uni follow nami nafanya hivyo hivyo. asanteni
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Habar wana jf. I am a new member here. Kwa majina naitwa Edo kissy naombeni ushirikiano wenu naomba kukaribishwa. Asanteni
1 Reactions
28 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa hovyoooo mwenye uhovyo wangu hapa LILLE nchini FRANCE nikiwa nasomea urubani. Ustarabu ni jadi yangu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kutetema ndo raha...
2 Reactions
8 Replies
818 Views
Ninaitwa George Kigufa ni mgeni humu. Ninaomba mnipokee
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Fani yangu ni Mtaalamu wa Saikolojia katika masuala ya Ushauri Nasaha na Unasihi. Pia nafundisha Lugha ya Kingereza na Kiswahili kwa Wageni. Karibuni wote.
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Habari wapendwa naomba mnipokee mi ni new member
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Raia mpya hapa aisee Wakike ndyo mnikaribishe tu nyie wakiume tutakutana kwenye makujwaa huko Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
4 Reactions
17 Replies
963 Views
Hi its bree
1 Reactions
20 Replies
1K Views
Kirakauu hapa from Dom,wananzengo ushirikiano muhimu ,anyway nipo kitambo ila hii ni Id mpya baada ya Id ya kwanza kuwa so disclosed nawasilisha.
1 Reactions
14 Replies
812 Views
Naitwa johnson mkazi wa musoma
0 Reactions
7 Replies
791 Views
Hodii,ni my first time kujiunga na ma great thinkers, naamin kupitia nyinyi nitajifunza mengi. mimi naitwa calvin, nasoma kidato cha sita,tahasusi ya HGL. Kama itawapendeza nikaribisheni...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini! Ningeomba mnipokee jamvini. Ni mwanaume. Naishi Dar kijana wa miaka 28. Nawasilisha.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, kwema? Baada ya muda kidogo wa kuwa guest member na kuona yanayoendelea katika majukwaa mbalimbali, its fair to say kuna mengi nimejifunza na pia kuna mengi ya kujifunza zaidi. Hivyo sasa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu kwakuwa ni kitambo kidogo naomba niwasalimu kwa Jina la Jamuhuri ya umofia
1 Reactions
6 Replies
660 Views
I like jamiiforum members Sent using Jamii Forums mobile app
3 Reactions
6 Replies
865 Views
Hi everyone my name is Lissa
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Oya niaje mme hamukaje humu? Nafurahia kuwa shobo wa Jamii Forums Unaweza kuniita FMKyauke mkali wa uzi motomoto
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hallow mambo vipi wanna JF, naitwa Akida Siri a.k.a acky secreat Mtunzi wa The Hidden Truth ambayo ipo humu nikiendeleza series. Karibuni sana mnipe changamoto
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Back
Top Bottom