Asslm aleikum.. Ramadhan Karim..
Just nakuja kuowaoneni after looooong kupotea. Hamjambo nyote. Jana nilipata email kutoka JF kunikumbusha kama sijapita siku nyingi. Nawashukuru JF team...
Mkumbuke hiyo tarehe maana JF toka nimeanza kuijua mwaka 2010 nipo kidato cha tano pale Minja secondary school tarehe 1 mwezi 7, 2016 ndio nimeweza ku~log in nakushare matatizo ya jamii yetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.