Utambulisho (Member Intro Forum)

Say hello and introduce thyself to the other JF members...
wakuu habari zenu mimi ni mgeni naomba ushirikiano wenu humu asanteni
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba kuelekezwa namna ya kutumia jamii forum kwenye PC, napata wakati mgumu kuandika kwa simu. Yeyote alie na ufahamu anielekeze hatua kwa hatua. Ni hayo tu waungwana...
0 Reactions
1 Replies
563 Views
Kwema wadau wa jf. Nashukuru kuwa miongoni mwa watu wanaonufaika na uwanja bora kabisa wa fikra pevu za watanzania wenye nia njema na taifa lao na wachache wenye nia mbaya na bila kusahau group la...
0 Reactions
3 Replies
943 Views
Wadau, jana rafiki yangu alikuja kwangu akataka nimwonyeshe namna ya kuwa na account ya jamiiforums, ili aweze kutaga zangazo lake. Tulifanikiwa kifanya registration Sasa kila akitaka kuedit thred...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hi
Mm mgeni ushirikiano pls
2 Reactions
6 Replies
939 Views
Salaam wadau mi mpyaaa na kipya ?
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Salamu kwenu nyote hapa jf.
0 Reactions
3 Replies
604 Views
hello friends mm ni mgeni humu. nahtaj ushirikiano[emoji120]
0 Reactions
12 Replies
970 Views
Wapendwa Mabibi Na mabwana. Nimepiga hodi humu ndani ili nipate kukaribishwa. Mana ndio nimekuwaaprove na admn JF. Niwatakie siku njema. Uduzungwa
0 Reactions
7 Replies
889 Views
Hodi humu ndan mi ni member mpya naishi mkoa wa rukwa naomben ushirikiano wenu jaman
0 Reactions
26 Replies
2K Views
new member here, natajia kuendelea kujifunza mengi zaidi
0 Reactions
4 Replies
599 Views
Mimi nimgeni humu naomba ushirikiano wenu wandugu
0 Reactions
4 Replies
701 Views
Asante ni matumaini yangu wazima afya njema ,wenu Rebel23 nashukuru kwa uwepo wenu humu jf
0 Reactions
7 Replies
836 Views
Wazima humu?
1 Reactions
15 Replies
1K Views
We have a right to shed a tear for the unfortunate few victims.But do we really have a right to curse those who do such cruelty in the society, right to blame them or say "how dare they do such a...
0 Reactions
1 Replies
767 Views
Habari wana jf, mimi ni mgeni hapa jukwaani, naomba mnipokee [emoji18]
0 Reactions
3 Replies
678 Views
Nimechungulia muda mrefu Leo nimeona nibishe hodi naomba mnipokee Mimi mgeni wenu.
0 Reactions
6 Replies
820 Views
Asante mungu Leo nmefanikiwa kujiunga jf, wenyej naomben muongozo
0 Reactions
12 Replies
854 Views
Asanteni kuwa pamoja nanyi.
2 Reactions
2 Replies
560 Views
Nilivyoingia sikungonga mlango wala kubisha hodi.... Unadhani nivyooneiana hata nikigonga hodi utaitikia!!!!! Thubutu yako
0 Reactions
1 Replies
584 Views
Back
Top Bottom