Happy New Year 2015....
Smart African Designs inapenda kukuletea fulana, magauni na mashati mazuri ya kiAfrica kwa bei poa.
Dial/Whatsapp (Tuwasiliane): 0786 527572
Tupo Lumumba Karibu na CRDB...
BAADA YA KUTUMIA VIPODOZI (LOTION, CREAM, MAFUTA NK) PUMZISHA NGOZI YAKO
Unashauriwa kuosha ngozi yako na kuondoa vipodozi vyako vyote (lotion, mafuta, cream nk) na kuiacha ngozi yako ikiwa free...
Habari za humu wakuu
Ni fanye nini ili nywele zangu ziwe za kupendeza na kuvutia?
Huwa napenda kuwa na nwele ndefu zinapo kua ndogo na saizi ya kati huziona ni nzuri na zakuvutia sana hata watu...
Kwa yeyote anayefahamu juu ya hizi bidhaa nilikuwa naitaji kujua ni mtaji kiasi gani unaweza kunigharimu kwa kiwango cha kati kufanikisha hii biadhara pia ni wapi haswa naweza kupata hizi bizaa...
Urembo wa kweli hutegemea nini? Watu fulani husema urembo hutegemea maoni ya mtazamaji. Isitoshe, maoni ya watu wengi kuhusu urembo yametofautiana sana katika utamaduni na enzi mbalimbali...
Jipatie bidhaa bora kabisa kutoka Óriflame kama mafuta ya kupaka(lotion) za watoto na wakubwa za kike na kiume ,lipstick, dawa za nywele ,after shave jelly na bidhaa nyinginezo kwa afya...
Mbunifu wa Mavazi Amina Plummer Akitoa Mada kwenye Semiana ya Ujasiriamali kwa Wanawake wa Zanzibar yenye Lengo la Kuwafundisha Mbinu Mbalimbali za Biashara pamoja na Matumizi Sahihi ya Vipodozi...
halafu unakuta mdada ame relax kweli, hata kuweka kitu kidogo ndani hamna!! sasa na hali ya hewa yenyewe ndio hii... upepo mwingi jamani!!
lets talk about this guys, je kwa wanawake, ilishawahi...
BAADA YA KUTUMIA VIPODOZI (LOTION, CREAM, MAFUTA NK) PUMZISHA NGOZI YAKO
Unashauriwa kuosha ngozi yako na kuondoa vipodozi vyako vyote (lotion, mafuta, cream nk) na kuiacha ngozi yako ikiwa free...
VITU VINAVYOHARIBU NGOZI ZETU
Ngozi zetu zimeundwa kwa chembe ndogo ndogo zinazoitwa seli, ambazo ni viumbe hai; yaani huzaliwa, hukua na kufa. Seli za zamani zinakufa na seli mpya zinazaliwa...
Mkorogo Jamaica unaanzia hata umri wa mtoto mchanga wa miezi sita, ndiyo kina dada wanawapaka mkorogo watoto wa miezi sita
mkorogo ni kama fasheni za nguo, huwezi kuvaa nguo za miaka 1990 ktk...
SHERIA ZA KUVAA SUTI:
1. Usikimbie hovyo.
2. Usinyoe kiduku
3. Usitembee kwa mguu mda mrefu labda mita 2
4. Usipande toyo baskeli au fuso hata kama ni lifti.
5. Usibebe malboro ni brief case tu...
Kila mtu mtaani now anaimba NDI NDI NDI wimbo mzuri haswaa na mashabiki wamempokea Anakonda vizuri with her new hit.
Mbali na kuupenda wimbo we also love her new double undercut hair style...
Habari wana JF,
Napenda kuuliza na kupata ushauri wenu kuhusu kuanzisha duka la jumla la bidhaa za vipodozi na urembo (cosmetics/beauty products), na pia nywele kuwauzia wafanya biashara wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.