Nina eneo kubwa nataka kulima maharage.
Naomba kujua ni aina gani ya maharage inapendwa sana sokoni na bei yake imechangamka sokoni.
Ukinipa na mbegu inakopatikana itapendeza. Eneo heka 2
Nyanya ni zao ambalo hushambuliwa sana na magonjwa ya ukungu msimu wa mvua nyingi na msimu wa baridi kali. Hali hiyo husababisha bei ya nyanya kupanda sana kipindi hicho na wale wanaobahatika kuwa...
Kuna aina nyingi sana za mbegu za Nyanya Hybrid.
Zifuatazo ni mbegu na maeneo zinazokubali na kupata mavuno mengi.
1.Eden f1 inakubali maeneo yote tanzania.
2.Assila f1 tanzania nzima...
Nimekuwa nikifanya utafiti binafsi kwa kulima aina mbalimbali za mbegu za mahindi na kugundua yafuatayo.
1. ChapaTembo 719
Hii ni mbegu inayochukua muda mrefu kukomaa. Hukomaa baada ya miezi 4...
Biashara haiangalii unaamini kupitia nini, biashara haiangalii wewe ni mkristo,mpagani muislamu au mhindu,lakini kuna imani ambazo biashara inakutengenezea na inataka ufanikiwe kupitia hizo...
FAHAMU AINA ZA KUKU NA FAIDA ZAKE
Kuna aina mbalimbali za kuku ambazo mfugaji anaweza kufuga na kila aina inategemeana na malengo ya mtu husika anayetaka kufanya shughuli hii ya ufugaji, hivyo...
Jamani wanajamvi wenzangu,
Katika kupitia makala mbalimbali kutoka sehemu mbalimbali duniani nimegundua kuwa ufugaji wa mbuni una faida kubwa sana na hauna gharama kubwa kwa sababu mbuni...
Nilikuwa nimelima mahindi ekari 2, Jana nimeenda kuvuna haya mahindi nimempata gunia 6.
Nimeagiza Bajaji/ Toyo la mizigo kuja kubeba haya magunia 6 ya mahindi ambayo bado sijayapukuchua toka...
Habari za leo wakulima na wafugaji wenzangu. Mmea huu una maajabu sana kiasi cha kwamba unahitaji tu Alfalfa kuwa 3% ya lishe ya mfugo wako kwa siku. Ukizidisha basi mfugo wako atasambuka kwa...
Habar wana ndugu naomba msaada wa kupata taarifa inayo husu kilimo cha malisho kwa wanyama alfalfa na lucerne hapa tanzania wa wanalima na wapi nitapata mbegu zake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni matumaini yangu kuwa wote muwazima hapa jukwaani, kinyume na hapo ni mipango ya Mungu.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nina long term plan nyingi kimaisha, lakini hili la kupanda miti...
wakuu habari zenu. Nataka kuagiza incubator ndogo tu ya mayai machache kama 48 hivi. Sasa kabla sijaingia mkenge nipate ushuhuda hapa maana kwenye wengi pana mengi, isije nikaagiza kumbe kimeo...
Wadau,huku Sa Hv Biashara Nyng Ndo Znachpukia,hasa Za Tv,radio Au Fenicha,so Alo Tayar Tupge Kaz Me Ntakuwa Wakala Wake Huku,me Kikaz Ni Ticha Ila Napenda Ujasiliamali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.