Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Hello JF members, Kuna issue ya ku-export bidhaa fulani kwenda EU (kwa kutumia ndege). Sasa naomba mtu mwenye uzoefu na shughuli kama hii anipe insight information kidogo. Ningependa kujua...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna jamaa yangu amenunua truck na trailers kutoka Netherlands kwenye kampuni flan hivi. Aliwasiliana nao na kutuma pesa toka mwezi juni mwanzoni, tatizo limekuja kwenye shipment ya hizo trucks...
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Wakuu nimesuffer sana mpaka kupata hizo ela sasa ningependa kuzifanyia kitu cha kuingizia nipeni mawazo yenu jamani.
3 Reactions
25 Replies
7K Views
Hi guyz, me ni mwanamke mjasiriamali. Nilipatwa na mitihan fulan ya kimaisha lakn namshukuru mwenyez mungu nimesimama tena kwa miguu yangu. Lengo la kuja kwenu ni kuomba msaada wa kukopeshwa elf50...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jipatie kuku wa kienyeji wakubwa kwa bei nafuu ya elfu kumi(10,000) Kwa mawasiliano piga 0713351007 0762656348
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Natafuta mkopo wa mil 30. dhamana shamba 50 acres na miti 1000 ya kupanda kwa ajili ya mbao.my email temaungi@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Najarib kutathmin kwa jinsi gan naweza kuanzisha shule yangu ila mwanga sina wana JF,help please cha kufanya
0 Reactions
8 Replies
2K Views
jameni wanajasilimari , naomba msaada kama kuna mtu anajua garama za kutengeneza kipindi cha tv cha dakika 60 garama cha kurusha kipindi cha tv cha dakika 60, na maaanisha airtime charges...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu wadau naomba ushaur wenu,nna mtaj wa sh 1ml nataka kuanzisha biashara ,je n biashara gan inanfaa?nakwamba itawah kunpatia faida kubwa kwa wakat mfupi?ASANTEN
1 Reactions
6 Replies
2K Views
hi we are please to announce new audio books available: 1. 7 Habits Of Highly Effective People By: Stephen R. C. 2. Inferno by Dan Brown 3. Zealot: The Life and Times of Jesus of Nazareth. 4...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naulizia office zinazotoa machine za selcom kwa ajili ya kulipia vitu kama luku Dstv n.k
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nimekuja kwenu members mnisaidie, nna idea yangu ya kuja kuwa na duka kubwa la vitu vya mapambo ya nyumba, yani mapazia, mashuka, maua, stand za maua, makapet, doormats, nk. Kusema hii biashara...
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Wadau naomba elimu kuhusu hili. Kwa muda mrefu nimekuwa nikisikia kuwa Kuku wa kisasa (broilers na mayai ya Kuku hawa wa kisasa) si wazuri kwa afya. Ila Kiukweli mi bonge la mpenzi wa vyuku yaani...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wana jamvi,kutokana na ajira kuwa ngumu familia imeamua kunipa mtaji wa milioni kumi ili niweze kujikwamua kiuchumi,naombeni msaada wa mawazo ni aina gani ya biashara na mchanganuo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Most people know Sean Hyman from his regular appearances on Fox Business, CNBC, and Bloomberg Television, but what they don’t know is that Sean is a former pastor, and that his secret to...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Moja ya changamoto ya biashara ni uwezo wa kutunza kumbu kumbu sahihi za mauzo na manunuzi ya bidhaa pamoja na uwezo wa kujua mauzo ya siku,mwezi na historia nzima ya tangu uanzishe biashara yako...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF wenzangu, muhali gani? Muwazima? Ama baada ya salamu ningependa kuwasilisha jambo na pia kuomba ushauri wenu wa mawazo ili tu nami niwe mwenye kufunzika na kunufaika, mimi nipo Mwanza...
1 Reactions
38 Replies
7K Views
If u r interested kuwa kibiashara zaidi plz ni-pm
0 Reactions
1 Replies
1K Views
wanaJF nataka kujiunga na huu mtandao wa biashara katika forever living products. Tueleweshane nini kilichopo ndani kwa wale wajuzi
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Amani iwe kwenu wana jamvi.Lengo ni kuwajuza kuwa kwa mahitaji ya batik za kisasa za mshumaa na kuchovya kwa bei nafuu.Mawasiliano 0717 539573 au email:stanslausd@yahoo.com
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…