ni bidhaa itumikayo kwenye gari,pikipiki, generator,meli,treni,mitambo ya migodini na vifaa vingine vyote vitumiavyo petrol au diesel kwa ajili ya kusafisha mafuta hayo utumiayo
FAIDA BAADA...
Natafuta shamba la kununua maeneo ya kanda ya ziwa, napendeleo mikoa ya mwanza au bukoba , shamba liwe la hekari moja ( 1) hadi tano ( 5 )
Na vile vile nitafurahi kwa ushauri wowote nitakao pata
Natumai wote wazima wa afya'
naombeni mnisadie kijua:
1. Aina za sabuni zilizopo sokoni (Miche, Maji, Dawa)
2. Sabuni zenye majina makubwa
3. Sabuni zilizo na kiwango cha TBS na BAR CODE
4. Aina...
Wadau wana jf, salaam
mimi ni mjasiriamali mkazi wa Urambo mkoani Tabora. natafuta soko la asali ya nyuki wa kawaida. kuna mtu mmoja alinidokeza kwamba kuna tajiri mmoja ananunua jijini dar kwa...
Habari za humu ndani jamani,mi cku zote nilikua mtu wa kuchungulia sana jf bila ya kujiunga napita majukwaa yote nasoma,nafurahi nacheka pakujifunza najifunza kisha naondoka,lakini ckuwahi kuingia...
wana jf naomben kujuzwa kuhusu noah, natafuta noah ya biashara je model gan ni nzur na vp kuhusu alaji wa mafuta? pia km kuna anayeuza tuwasiliane 0683427242
Wajasiliamali Wenzangu, Kuna Mzigo Mkubwa Sana Wa Viazi Kutoka Mwanza Geita Unatakiwa Kufika Dar. Najua Wengi Ni Mashahidi Kuwa Viazi Vitamu Ni Bidhaa Adimu Dar, Vinaposhushwa Kutoka Mikoani Kila...
Ndugu zangu niko Africa magharibi nchini Mali, nimeshangazwa na aina ya vitunguu vya huku ambavyo haviwashi, havina harufu kali na ni vikubwa, nawaza kuchukua mbegu kuleta tz. kwa wataalamu...
Wkuu habari za mwaka mpya
Wakuu samahani kwanza nimekuwa sionekani humu janvini kwa muda sasa hili linatokana na kutingwa na mambo mengi sana, kiasi kwamba huwa nachungulia humu mara chache sana...
Habari wakuu, niko Mwanza maeneo ya pasiansi nataka kufungua babyshop itakayouza vitu kama nguo,pampers,diapers,vyombo vya kuwalishia, basins, midoli, baby walker etc. Soko lipo. Naomba ushauri...
Natafuta mtu mwenye uzoefu wa kutengeneza mabango(digital billboards) hasa mwenye uwezo wa kuliwamba bango hadi liwake ili tushirikiane kibiashara.Niliwahi kufanya kazi hiyo maeneo fulani Dar...
Wakuu habari zenu na poleni na miangaiko,Happy new year,wadau natafuta sehemu ya kukodisha kwa ajili ya Car wash na tyre fitting,naangaika mwezi wa pili sasa,na pia kuna sehemu zingine rent ni za...