Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

JamiiForums.com Earn 10$ for every 30 second Task. Internet Job from home
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Its black in colour. Operated for almost two years... Price is 2 milion shillings. Not negotiable. Its black and in good condition. Those interested please call 0714282821 or 0753260975.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba msaada wadau; Kujua ni benki ipi hapa kwetu tanzania inatoa mikopo kwa marejesho ya riba ya chini au nafuu kidogo? Naamini ntakuwa nimeeleweka,kama sijaeleweka kwa wale walionielewa...
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Wadau naomba kujuzwa tanki bora la kuwekekea maji kati ya 1. Sim tank lita 5000 hadi 10000 2. Kiboko tank Na mengine mnayoyajua na bei zake naomba kujuzwa wadau
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF natafuta wajenzi wa bwawa la samaki nipo dsm no 0787805036 Big
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habari Jamiiforums. Mabibi na Mabwana, Ombi langu kwenu ni hili. Je Ninaweza kupanga mabanda ya Kufuga kuku Faida ikawepo? Kuku ninaotarajia kuwafuga ni Kienyeji(Asili) Mabanda kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Heshima yenu manajamvi. Nimepata wazo la kufungua duka la kisasa la kuuza mboga mboga na matunda fresh mjini Tanga. Lakini changa moto nayoiona ni jinsi nitaka vyoweza kutunza hizo bidhaa bila...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Kama kuna mtu anaweza kucheck a talk show on ujasirimali live now on dstv chanel 284
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mimi ni mjasiria mali , nimebahatika kila ninachofanya kinafanikiwa lakini siwezi kufanya kila kitu mwenyewe inabidi vyengine niwashirikishe watu , ninashamba kubwa hapo kiromo bagamoyo...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Wadau natafuta mtu anikoposhe kiboko water tank 10000 Lts nifanye biashara ya kuuza maji maana huku kwetu inalipa. Nitamlipa ndani ya miezi 10. Kama upo tayari tuwasiliane. 0718412041
0 Reactions
0 Replies
1K Views
https://www.jamiiforums.com//index.php?task=85153
0 Reactions
0 Replies
780 Views
Katika biashara lazima kuwe na mipango ambayo itaisaidia biashara yako kusonga mbele, kila biashara imara lazima iwe na mipango ili kuifanya na kuisaidia kusonga mbele kwa wakati husika na baadae...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu Ni matumaini yangu kuwa mnaendelea na majukumu yenu ya kawaida. Hongereni kwa hilo ! Mimi ni mjasiria mali nahitaji kupanda miti lakini kuna mambo yafuatayo yananitatiza; 1. Ni...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
hawa wachina wamekua wakiwanyonga sana wa Bongo Nasisi tutanyonga wachina wote wauza Mauwa huku kwetu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF, naomba utaalam na uzoefu. Kuna bwana mmoja anataka kuniuzia New Holland Tactor lenye 75hp na ni 4wheel. Alipewa zawadi na shirika alikokuwa anafanya kazi June 2012 na hajawahi kulitumia...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mungu awabariki, Wakuu naomba tupendekeze topic 4 ambazo unafikiri ndizo zilizokuwa bora kwa mwaka 2013 kisha tutazishindanisha tupate tatu bora. Hii itawamotivate wajasiriamali. Mwisho wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habar5i za asubuhi wanajf,Nimekuwa na plansza mda mrefu za kutaka kuingia kwenye ujasiliamali katika kilimo , baada ya maandalizi yangu kwa mda sasa nimefikia wakati nataka kutimiza ndoto zangu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, katika harakati za kujikwamua kiuchumi nimeshawishika kuanzisha ufugaji wa kuku. Naomba mawazo yenu juu ya gharama za kuwahudumia kuku wa kienyeji na wale wa kisasa ipoje? Pia hatari ya...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
Mungu awabariki, Wakuu naomba tupendekeze topic 4 ambazo unafikiri ndizo zilizokuwa bora kwa mwaka 2013 kisha tutazishindanisha tupate tatu bora. Hii itawamotivate wajasiriamali. Mwisho wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
natafuta mtu tutakaeweza ku merge nae business tufungue k a bar maeneo ya tegeta
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…