Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Kama ilivo ainishwa kwenye kichwa cha habari hapo juu.. Nahitaji vifaranga vya bata mzinga, na bata bukini. Kwa mwenye navyo tunaweza kufanya biashara. nipo dar es salaam. 0718355635
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wapendwa wajasiriamali habari zenyu! Nimeamua kufuga kuku na nimetamani kufuga machotara wa malawi na kuchi, tafadhlini naomba msaada wa kupata vifaranga bora kwaajili ya ujasiriamali nipo dar...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Wadau habari!nimekuja kwenu kuomba ushauri,baada ya kuzunguka sana na vyeti vyangu kusaka ajira bila mafanikio,nimeamua kwa dhati kabisa kuwekeza kwenye kilimo,nimekuja hapa kuwaomba ushauri kwa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Salaam wakuu, kwa kifupi bila kupoteza muda naomba kuuliza means mtu anazotumia kujilipa kile akipatacho cha ziada (profit) kwenye biashara, au ni njia ipi bora wakuu? kwa mfano kama nikifungua...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
msungu engineer works dodoma mjini maili mbili wapendendwa wajasiriamali jipatieni mashine za kuangulia vifaranga kwa bei nafuu kama ifuatavyo ya mayai 200- laki nane na nusu (850,000/=) ya mayai...
0 Reactions
15 Replies
13K Views
'Looking for a Bee-Keeping Partner.' I own a fifty acre Apiary, located at Mihuga Village, Bagamoyo District, Coast Region. I am looking for Mwekezaji wishing to Invest into bee-keeping as...
0 Reactions
2 Replies
986 Views
Get your Home Based Job Guranteed Today and earn upto 9000$ Weekly - InternetDuty.com Sent from BlackBerry 9900
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu woooote! Jamani naomba kuuliza. Hivi naweza kuwa na cheque ya abroad eg. USA ukawithdraw pesa ktk benk za hapa home.
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Habari za jioni Wadau! Miye ni Mjasiriamali nipo Mwanza, ktk pitapita zangu huku na huko kusaka fursa nimepita center moja huko vijijini imechangamka kweli, kwa kuwa ilikuwa mchana na kajua...
0 Reactions
18 Replies
9K Views
Ndugu wana jamvi nlikuwa naomba kwa anayejua mbegu bora za ngano kwa Arusha zinapatikana wapi anijuze na zinauzwa shilingi ngapi kwa kilo. Ahsanten
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Nisaidieni nataka nifanye kuku wa kienyeji wawe wanatoa mayai kila siku ili niyauze je inawezekana?
0 Reactions
28 Replies
9K Views
Wana jf mimi ni mjasiriamali nahitaji mashine ya kupak na kufunga (silling and packing machine) ya kukodisha ama used hapa tanzania. Yenye uwezo wa kupaki kuanzia gram 5 had gram 200 (powder)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani kwa majina naitwa Mussa Omary. Ni mwalimu nafundisha sm Mjimpya wilaya ya Tandahimba. Tangu mwezi mei mwaka jana nimeamua kuwa mjasiriamali kwa kufungua banda la biashara ya kuuza simu na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani nifanyaje? Nataka niwe agent wa TBL huku arusha ila kuna mtu kanambia lazima niweze kununua kreti 1500 ndo ntapewa hio kazi. Lakini mi uwezo wangu ni kreti 200,je nifanyaje ili nifanikishe...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani eeee kwa wafanyabiashara ya simu au vifaa vya umeme mimi natafuta mtu wa kunifanya tawi lake la mauzo. Niko tandahimba mtwara nami ninauza simu. Kwa alie tayari anitafute kupitia 0788258712
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naitaji kuwa wakala wa gess hizi za kupikia nyumbani wadau nisaidieni nafanya nn
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari zenu Nataka kuanza biashara kuchukua mazao kutoka mikoa tajwa kuja Dar Vitu navyofikiri kuchukua ni viazi, vitunguu au nyanya nilikuwa naomba mwenye uzoefu na biashara toka mikoa hiyo...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Nataka nifanye biashara ya kuuza luku na huduma nyingine. Naombeni ushauri, nitumie kampuni gani ambayo ni nzuri kwa kila jambo hususani commission na bei ya kununulia. 1.Pay point 2.Selcom...
0 Reactions
1 Replies
6K Views
amani iwe nanyi wapendwa wana jf,naomba kujuzwa kwa jambo lifuatalo;hivi kwa mfano mtu kafanya kazi kwa muda mrefu na mafundi umeme wakubwa akiwa kama msaadizi au 'kibarua' wa fundi kama ilivyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna hili swala la Hydroponics Techinology ambapo ni uoteshaji wa mazao bila kutumia udongo na kinacho takiwa ni maji tu na sehemu ya udongo huwekwa virutubisho fulani. Hii techonolojia inaweza...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…