Wadau habari!nimekuja kwenu kuomba ushauri,baada ya kuzunguka sana na vyeti vyangu kusaka ajira bila mafanikio,nimeamua kwa dhati kabisa kuwekeza kwenye kilimo,nimekuja hapa kuwaomba ushauri kwa...
Salaam wakuu,
kwa kifupi bila kupoteza muda naomba kuuliza means mtu anazotumia kujilipa kile akipatacho cha ziada (profit) kwenye biashara, au ni njia ipi bora wakuu? kwa mfano kama nikifungua...
msungu engineer works dodoma mjini maili mbili
wapendendwa wajasiriamali jipatieni mashine za kuangulia vifaranga kwa bei nafuu
kama ifuatavyo
ya mayai 200- laki nane na nusu (850,000/=)
ya mayai...
'Looking for a Bee-Keeping Partner.' I own a fifty acre Apiary, located at Mihuga Village, Bagamoyo District, Coast Region. I am looking for Mwekezaji wishing to Invest into bee-keeping as...
Habari za jioni Wadau!
Miye ni Mjasiriamali nipo Mwanza, ktk pitapita zangu huku na huko kusaka fursa nimepita center moja huko vijijini imechangamka kweli, kwa kuwa ilikuwa mchana na kajua...
Wana jf mimi ni mjasiriamali nahitaji mashine ya kupak na kufunga (silling and packing machine) ya kukodisha ama used hapa tanzania. Yenye uwezo wa kupaki kuanzia gram 5 had gram 200 (powder)...
Jamani kwa majina naitwa Mussa Omary. Ni mwalimu nafundisha sm Mjimpya wilaya ya Tandahimba. Tangu mwezi mei mwaka jana nimeamua kuwa mjasiriamali kwa kufungua banda la biashara ya kuuza simu na...
Jamani nifanyaje? Nataka niwe agent wa TBL huku arusha ila kuna mtu kanambia lazima niweze kununua kreti 1500 ndo ntapewa hio kazi. Lakini mi uwezo wangu ni kreti 200,je nifanyaje ili nifanikishe...
Jamani eeee kwa wafanyabiashara ya simu au vifaa vya umeme mimi natafuta mtu wa kunifanya tawi lake la mauzo. Niko tandahimba mtwara nami ninauza simu. Kwa alie tayari anitafute kupitia 0788258712
Habari zenu
Nataka kuanza biashara kuchukua mazao kutoka mikoa tajwa kuja Dar
Vitu navyofikiri kuchukua ni viazi, vitunguu au nyanya nilikuwa naomba mwenye uzoefu na biashara toka mikoa hiyo...
Nataka nifanye biashara ya kuuza luku na huduma nyingine.
Naombeni ushauri, nitumie kampuni gani ambayo ni nzuri kwa kila jambo hususani commission na bei ya kununulia.
1.Pay point
2.Selcom...
amani iwe nanyi wapendwa wana jf,naomba kujuzwa kwa jambo lifuatalo;hivi kwa mfano mtu kafanya kazi kwa muda mrefu na mafundi umeme wakubwa akiwa kama msaadizi au 'kibarua' wa fundi kama ilivyo...
Kuna hili swala la Hydroponics Techinology ambapo ni uoteshaji wa mazao bila kutumia udongo na kinacho takiwa ni maji tu na sehemu ya udongo huwekwa virutubisho fulani.
Hii techonolojia inaweza...
Wajasiria wenzangu
Nina mpango wa kufungua duka la vipodozi hasa hasa vya kina mama siku za karibuni.
Kwa yeyote mwenye ufahamu wa kutosha juu ya biashara hii naomba michango yenu.