Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Anayefahamu wapi zinapatikana mashine za kuchanganyia unga (kukanda) zisizotumia umeme. Uwezo na bei za mashine hizo ni muhimu
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mimi niko dar, kwa yeyote mwenye kujua mahali nitapata vikombe hivyo ambavyo kwa mfano unaweza kutumia kunywea kahawa na kutupa baada ya matumizi. Anisaidie mawasiliano au namna ya kuvipata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau wa jukwaa hl poleni kwa majukumu. mwenye kufahamu ni wapi au jinsi gani barcode kwa ajili ya product (e.g vyakula vya kusindika kwenye makopo e.t.c ) inaweza kupatikana naomba anisaidie...
0 Reactions
14 Replies
14K Views
Habari zenu wanajamvi! Poleni na shughuli za ujenzi wa Taifa. 6¦6 Naombeni mchango katika hiki. Tsh120000, je! Inaweza kuzalisha Tsh1500, kwa siku? Kama haiwezi tafadhali naombeni mniambie...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ningependa kufahamu kuku chotara kwa arusha wanapatikana wapi na bei yake ipo vipi.
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Wakuu habari zenu wanajf. Naomba mwenye format ya business plan ilioandikwa kwa kiswahili anisaidie tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
1. Ukubwa wa eneo eka Mbili 4900m2*2 2. Spacing 45cm x 80 cm (shimo kwa shimo; mstari kwa mstari) Idadi ya miche/ Mbegu...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nimekuwa nafuatilia biashara nyingi zina kopesheka kwenye tasisi za fedha ila sijawahi sikia wachimbaji wadogo wadogo au wafanya bishara wa madin wandani au exporter kama wana fursa za kukopa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jamvi....katika harakati za kujiongezea kipato nina biashara yangu ya kufuga kuku wa kienyeji shambani kwangu wapatao 120 hivi....tatizo linalonishangaza nimekuwa napata taarifa kwa...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Heshima kwenu wakuu. Nimetegeneza bada la kutosha kuku kama 30+ nia yangu ilikuwa nifuge kuku wa kienyeji na kuna mtu ameniahidi kuniletea toka shinyanga vijijini kwa 5000@ na nilipanga nianze...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Unataka kutokelezea na maneno ya " sina bifu na mtu " yakiambatana na picha yako, kwa gharama ndogo , kama upo tayari comment “yes” ili nikupe maelekezo.
0 Reactions
0 Replies
937 Views
SUMU MWILINI HUSABABISHWA NA:- JE WAJUA SODA TUNAZOKUNYWA ZINAACHA RANGI KWENYE FIGO COCA NYEUSI MKOJO WA NJANO KAMA COCA UKIWEKA KIPANDE CHA NYAMA BAADA YA SIKU 2 KIMUYEYUKA JE MWILI WAKO? JE...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Get Logo,Banner, Letter head,proforma invoice ,delivery note,Tax invoice, and many more different designs for only Tshs 20,000/= per each in a bundle of 10 up to 20 artworks, your most welcome...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Benki ya CRDB inatambulika kama kinara wa uanzishaji wa huduma na bidhaa mpya sokoni ambazo hukidhi matakwa ya wateja. Katika kudhihirisha hilo, sambamba na kuzingatia uhitaji mkubwa wa makazi...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Salaam, Nahitaji mkopo wa haraka kutoka kwa yeyote iwapo tutakubaliana masharti. 1. Kiwango kinachohitajika ni10m. 2. Dhamana ni nyumba, ipo jijini Mwanza. 3. Muda wa urejeshaji uwe ni miezi 3...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
-Name: Lenovo -Operating System: Android -1 SimCard -WLAN: 802.11 -Front Camera: YES -Back Camera:NO -Ram: 1.2 Ghz Price: 350,000/- ( negotiable ) Serious buyer check me +255 783 181838. Also you...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamnii naomba msaada wapi naweza pata masoko ya kuuza mzao nje ya tanzania yakiwa yamepakiwa vizuri tayari
0 Reactions
0 Replies
904 Views
tunauza blog website special kwa ajili ya news,stories na mengineyo.website inaitwa walimwengu.com..kama unavoona jina la website linapendeza na kuvutia website ina muonekano mzuri kwenye desktop...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nisaidieni kitu kimoja..... limenijia tu hili wazo ghafla tu kichwani.... nataka kununua machine kubwa ya kukata viazi na kutengeneza chips, then,nisambaza kny ma-bar ready kukaanga...sehemu km...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale wauzaji wa reja reja wa memory cards na usb flash disk,pata mzigo wa memory card kwa bei ya jumla,2GB memory card sh 6700/= kwa memory card 1,kiwango cha chini ni memory card 5. Hata we...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…