Mimi
niko dar, kwa yeyote mwenye kujua mahali nitapata vikombe hivyo ambavyo
kwa mfano unaweza kutumia kunywea kahawa na kutupa baada ya matumizi.
Anisaidie mawasiliano au namna ya kuvipata...
Wadau wa jukwaa hl poleni kwa majukumu.
mwenye kufahamu ni wapi au jinsi gani barcode kwa ajili ya product (e.g vyakula vya kusindika kwenye makopo e.t.c ) inaweza kupatikana naomba anisaidie...
Habari zenu wanajamvi! Poleni na shughuli za ujenzi wa Taifa. 6¦6 Naombeni mchango katika hiki. Tsh120000, je! Inaweza kuzalisha Tsh1500, kwa siku? Kama haiwezi tafadhali naombeni mniambie...
Nimekuwa nafuatilia biashara nyingi zina kopesheka kwenye tasisi za fedha ila sijawahi sikia wachimbaji wadogo wadogo au wafanya bishara wa madin wandani au exporter
kama wana fursa za kukopa...
Habari wana jamvi....katika harakati za kujiongezea kipato nina biashara yangu ya kufuga kuku wa kienyeji shambani kwangu wapatao 120 hivi....tatizo linalonishangaza nimekuwa napata taarifa kwa...
Heshima kwenu wakuu.
Nimetegeneza bada la kutosha kuku kama 30+ nia yangu ilikuwa nifuge kuku wa kienyeji na kuna mtu ameniahidi kuniletea toka shinyanga vijijini kwa 5000@ na nilipanga nianze...
Unataka kutokelezea na maneno ya " sina bifu na mtu " yakiambatana na picha yako, kwa gharama ndogo , kama upo tayari comment yes ili nikupe maelekezo.
SUMU MWILINI HUSABABISHWA NA:-
JE WAJUA SODA TUNAZOKUNYWA ZINAACHA RANGI KWENYE FIGO COCA NYEUSI MKOJO WA NJANO
KAMA COCA UKIWEKA KIPANDE CHA NYAMA BAADA YA SIKU 2 KIMUYEYUKA JE MWILI WAKO?
JE...
Get Logo,Banner, Letter head,proforma invoice ,delivery note,Tax invoice, and many more different designs for only Tshs 20,000/= per each in a bundle of 10 up to 20 artworks, your most welcome...
Benki ya CRDB inatambulika kama kinara wa uanzishaji wa huduma na bidhaa mpya sokoni ambazo hukidhi matakwa ya wateja.
Katika kudhihirisha hilo, sambamba na kuzingatia uhitaji mkubwa wa makazi...
Salaam,
Nahitaji mkopo wa haraka kutoka kwa yeyote iwapo tutakubaliana masharti.
1. Kiwango kinachohitajika ni10m.
2. Dhamana ni nyumba, ipo jijini Mwanza.
3. Muda wa urejeshaji uwe ni miezi 3...
tunauza blog website special kwa ajili ya news,stories na mengineyo.website inaitwa walimwengu.com..kama unavoona jina la website linapendeza na kuvutia
website ina muonekano mzuri kwenye desktop...
nisaidieni kitu kimoja.....
limenijia tu hili wazo ghafla tu kichwani....
nataka kununua machine kubwa ya kukata viazi na kutengeneza chips,
then,nisambaza kny ma-bar ready kukaanga...sehemu km...
Kwa wale wauzaji wa reja reja wa memory cards na usb flash disk,pata mzigo wa memory card kwa bei ya jumla,2GB memory card sh 6700/= kwa memory card 1,kiwango cha chini ni memory card 5.
Hata we...