Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Nisaidieni kupata AUTOMATIC INCUBATOR yenye uwezo wa kutotoa mayai 300
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Achana na manual work leo, Anza kutumia mfumo mpya na wa kisasa kabisa katika kurekodi na kupata ripoti pale unapohitaji.... Cashier Management System for school ndio jibu lako, acahana na...
0 Reactions
0 Replies
841 Views
Baada ya Kuona sehemu ya kwanza kitu gani kinasababisha kushindwa katika biashara ya network marketing, Leo tunaongelea sehemu ya pili kitu gani kinakuweza kukurudisha nyuma ushindwe kufanikiwa...
2 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu hili jukwaa limekua jukwaa la kusaidiana mambo mengi sana. Msimu huu wa kilimo nimeandaa shamba kubwa la ufuta.shida yangu kubwa natafuta mwakala wanaosambaza hii dawa inaitwa (ROUNDUP)...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kuna simu nimeagza, imekuwa shipped na DHL, wamenipigia kuwa wamelipia kodi kwa hiyo wanavyokuja kuniletea niandae pesa ya kuwarefund (laki na ishirini), declared value ya hiyo parcel ni kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu,mm ni mjasiriamali niko kwenye kilimo,ila nahitaji kusajili shamba langu kama company limited,nafata taratibu zipi?na pia naomba ushauri wenu juu ya hili ,maana nimeambiwa unapokua na...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Wadau, Naomba msaada nimeamua kufanya kilimo cha biashara kwaajili ya kujiongezea kipato baada ya kuona upenyo wa maisha ni mgumu sana. Naomba mawazo yenu na kama unaweza kuni pm
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nahitaji wakala wa kuuza vitabu mkoa wa Mwanza na Arusha.Kwa sasa nina vitabu aina mbili ambavyo ni Mwandae mtoto kufikia malengo yake na Tanzania mikononi mwa Mungu.Karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wapendwa poleni na majukumu. Hivi kweli focus vikoba inatoa mkopo online? Au ni njia ya kuwatapeli watanzania? Nimepigiwa simu zaidi ya mara moja wakinisisitiza kuweka akiba yangu ya sh 1mil...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ninauza batabukini.Wapo wawili.Jogoo na tetea.Ni wazuri.Tetea ataanza kutaga hivi karibuni.Nipo Kibaha 0719786521/0768069996.Asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za mida hii wanajukwaa. Mimi ni mjasilia Mali nimenunua incubator ni natotoresha mayai ya kware, kuku wa kienyeji na Malawi. Sasa kwa Kipindi tangu nianze hii kazi wateja wanaohitaji...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
habari wapndwa, me nataka kuwa mjasiriamali, kijana mwenye ndoto za kua tajir mkubwa baadae kwa kupitia biashara, lakin sijajua kua nifanyeje niweze kutoka kwan kwa mtaji nilio kua nao xjajua...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za leo ndugu zangu, Poleni kwa Majukumu na kazi nzima ya kujenga taifa.Ombi langu kwenu ni Mawasiliano ya Institutions za kilimo ambazo zinahusika na research pamoja na breed...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tuna machine za kisasa kwa ajili ya kutotoa vifaranga vya kuku,kware na bata aina zote. Tupo Dar es Salaam, Tabata segerea. Mawasiliano ni 0763976292. Bie ya trei ni nafuu sana. Wai mapema
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Kama wewe ni mjasiriamali unataka kuanza biashara hii inaweza ikakufaa, Karibu... Biashara ya kuku wa kienyeji. Hii ni biashara inayolipa sana kama utafanya kwa juhudi haihitaji mtaji mkubwa. Na...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Salaam nyote. Kwa wenye kuhitaji kuku wa nyama wanapatikana na wako na kilo nzuri kabisa na ni wazito pia wana umri wa wiki 5. Idadi kwa anayetaka kwa sasa wapo kuku mia nane (800) na pia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pata kuku wa kienyeje wakubwa na wenye Afya na uzito wa kutosha kwa thamani ya shilingi 16,000/= na 17,000/=. Ninapatikana Arusha maeneo ya Usa-River. Wanaohitaji kwa order pia watapata huduma...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu Wakuu wa jamvi hili,Naomba mwenye contact namba za Mrimba Rubi anisaidie.Shukrani za dhati.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada, Kwa anaejua VICOBA SACCOS kwanza ni kweli hii SACCOS hipo na inatoa mkopo on line (kwenye mtandao) kwa mtu aliye mkoani
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…