Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

UFUGAJI WENYE TIJA HABARINI WAKUU #natumai mko njema kabisa _najua humu kuna watu wenye uzoefu mkubwa sana kwenye swala la ufugaji kuku (tamu na chungu natamani sana kuanza ufugaji wa kuku ila...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuchagua kati ya ufugaji wa samaki na ufugaji wa kuku inaweza kuwa ngumu kwa sababu zote zina uwezo wa kuwa na faida kubwa. Lakini unaamuaje? Huu hapa ni muhtasari wa haraka wa kukusaidia...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Nina swali kutoka dadangu in Kenya, hivi mumeanza kuvuna.
1 Reactions
2 Replies
329 Views
🎥 Rubaba TV imepata nafasi ya kipekee kutembelea moja kati ya miradi ya mfano inayoendeshwa na Kampuni ya KOWNAS INVESTMENT LIMITED, ambayo historia yake imejengwa kwa juhudi, maarifa, na matumizi...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu wana jamii hili jukwa limekuwa pendwa kwangu kwa maana imekuwa sehemu rahisi ya kukutana na watu wapya na wateja wapya hivyo sina budi ya kushukuru waanzilishi wa hili jukwa. TWENDE...
9 Reactions
63 Replies
3K Views
Habar wadau Nahitaji kujua ni kiasi gani cha hela nitatumia kama gharama za kuwalea na kuwatunza vifaranga 1000 wa kuku wa mayai mpaka kufikia hatua ya kutaga mayai.
4 Reactions
57 Replies
12K Views
🐣 Unataka Kuanza Ufugaji wa Kuku? Hizi Ndiyo Sababu Kuu Kwa Nini 70% ya Wafugaji Huacha Kabla ya Miezi 6! 😩👇 1️⃣ Bajeti 💸 – Wengi Huanza Bila Mpango wa Fedha Watu wengi huingia kwenye ufugaji...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Uko Dar unataka kufanya kilimo cha mboga mboga na huna utaalam nione Kwa no 0625537380. Kilimo chako kiwe kilimo cha kisasa, kilimo biashara yani kilimo cha kupata fedha.
1 Reactions
2 Replies
582 Views
Cocoa hustawi katika maeneo yenye hali ya hewa ya joto kiasi na mvua nyingi au unyevu kutokana na uwepo wa chanzo kikubwa cha maji iwe mto mkubwa au ziwa au Bahari. Maeneo yanayofaa zaidi ni...
1 Reactions
19 Replies
3K Views
Nilitenga milioni kumi. Ndiyo 10m!. Nikaingia porini. Niliweka watu wakasafisha pori. Hiyo ilikua December last year. Ila kila nikikaa machale yananicheza. Page pendwa yangu ikawa tma. Yes bila...
28 Reactions
153 Replies
9K Views
Wakuu habari za leo. Kama Kuna mtu ana wazo la kulima ufuta, mahindi, kunde and the like Nina eneo la ekari 6 Kabuku. Nataka kuotesha malimao lakini apatikane mtu wa kulima masika na vuli mpaka...
0 Reactions
10 Replies
716 Views
Baking soda ni rafiki mkubwa wa bustani: Hizi hapa ni matumizi 10 ya busara ya baking soda kwenye bustani. Dawa Asilia ya Kuvu: Changanya baking soda na maji pamoja na sabuni ya maji ili...
6 Reactions
9 Replies
2K Views
Habar za mda ndugu zangu. Leo nmependa kujumuika na vijana wenzangu ambao hawana ajira na bado wanalilia ajira nawapa pole sana. NIANZE HAPA;mm ni kijana wa miaka26 Sasa, nilizaliwa mkoani Tanga...
11 Reactions
51 Replies
5K Views
Ushauri wa bure kufuatia vita ya Uchumi inayosambaa kwa kasi duniani kote
0 Reactions
13 Replies
561 Views
Je, ni utaratibu upi unaotumika kuivisha ndizi za biashara? Kuna jambo la kutatiza kiasi kuhusiana na ndizi za biashara, kawaida ndizi huchukuwa muda wa angalao siku nne kuiva, laiki uivaji wake...
1 Reactions
4 Replies
565 Views
Habari , Kwa yeyote anaeweza ku supply Mtama mweupe au mwekundu wenye vigezo hapo chikini kwa kiasi chochote , Tuwasiliane Vigezo Aina : Mweupe na Mwekundu Moisture / Unyevunyevu - Usizidi 14%...
2 Reactions
7 Replies
601 Views
Habar ya leo, Baada ya miaka 5 kutoka mwaka huu (2024) nategemea kuachana na ajira ya serikali. Nimeamua kuanzisha kilimo cha Korosho Manyoni - Singida. Pamoja ukweli kuwa zao hili ni geni...
8 Reactions
85 Replies
6K Views
Habari wapambanaji? Mimi ni kijana mpambanaji,katika kilimo cha mahindi na alizeti,ila mwakan nataka nijikite zaid kwenye ufugaji wa nguruwe na mbuzi wa nyama,nimewajia hapa ili kupata experience...
6 Reactions
5 Replies
7K Views
Katika miaka ya hivi karibuni, sekta ya ufugaji nchini Tanzania imekumbwa na changamoto nyingi, hasa uhaba wa malisho unaotokana na mabadiliko ya tabianchi, ongezeko la watu, upungufu wa ardhi, na...
0 Reactions
3 Replies
657 Views
Unasikia vizuri kabisa! Ng’ombe mmoja wa maziwa anaweza kukuingizia hadi Tsh 900,000 kwa mwezi ✨ Ushuhuda huu unatoka kwa wafugaji waliopata ✅ Ng’ombe Bora ✅ Mafunzo ya Kitaalamu kutoka kwetu! Na...
3 Reactions
65 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…