Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Habar zenu wadau! Naomba uuliza ili nipate faida kubwa katika ufugaji huu je! Ni vema nianze na kuku wangapi? Msaada tafadhari. Na lenga sana kuku wa mayai Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Mwenyekujua dawa ya ugonjwa wa Kuku kutokwa na Maji Maji mdomoni na puani mithiri ya makamasi. Naomba ushauri please [emoji120][emoji120][emoji120] Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wakuu , Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nahtaji kulima alizet ila sifahamu mashine ya kupandia akizet ipoje na inauzwa bei gani ..kwa mwenue uzoefu na hiyo anaweza tuma mchango hapa...
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Nipo Dar maeneo ya Mbezi, nimelima nyanya aina ya Money Maker kama nusu heka huku. Ninamwagilia kwa maji ya kisima nilichochimba. Tatizo nilipatalo ni kupukutika kwa maua kila zinavyoanza kutoa...
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Pole sana kwa kuhangaika wakuu ! Panya kutokuwepo kabisa sio nzuri kwa afya ya mazingira ,kisayansi huwa wana kila kiumbe ni muhimu duniani hata nyoka na mbu,tatizo kuna muda balance inaharibika...
7 Reactions
6 Replies
6K Views
Ndugu natarajia kuvuna nyanya zangu kwa kipindi hiki cha January natafuta soko nzuri kwa tenga kuanzia 50 Na kuendelea nakuletea ulipo kikubwa maelewano Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo... Nina shamba langu maeneo ya kisarawe mkoa wa pwani nimejipanga mwaka huu nilime muhogo. Naomba kuuliza...
0 Reactions
19 Replies
9K Views
incubator in machine ya kutotoleshea vifaranga salama. ni rahisi kutumia na imara. https://amzn.to/2QreLdf EDITED SORRY GUYS, HIZI MASHINE HAZISAFIRISHWI KUJA TANZANIA. SIKUFATILIA...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Naomba kufahamu nina kuku wanajisaidia kinyesi chekundu, wanakohoa pia Wanakuwa wamepoa sana Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
801 Views
habari wana jf naomba msaada wenu kama kuna mtu anaelima kilimo cha mpunga shadidi nahitaji kuingia katika hiki kilimo kwani nimeona ni chenye tija na manufaa. naomba kama unafanya hichi kilimo ni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari wana jf naomba msaada wenu kama kuna mtu anaelima kilimo cha mpunga shadidi nahitaji kuingia katika hiki kilimo kwani nimeona ni chenye tija na manufaa. naomba kama unafanya hichi kilimo ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ninahitaji mtaalamu wa nyuki kuendesha na kusimamia kalenda ya ufugaji nyuki, uvunaji na packing. Awe na elimu ya Diploma au cheti na uzoefu wa mambo ya nyuki na awe tayari kukaa shambani kwa...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
KILIMO NI MWALI HAJAREMBESHWA Tanzania imebarikiwa sana kwa biashara ya kilimo. Hebu tizama hii: 1. Imezungukwa na nchi nane sugu kwa njaa 2. In maziwa makubwa kama Victoria, Nyasa, Tanganyika...
4 Reactions
3 Replies
3K Views
Natumaini humu Kuna wataalamu na wasomi. Nimeamua kuwekeza ktika kilimo hasa Cha umwagiliaji. Hasa nahitaji washauri na wataalamu juu ya drip irrigetion gaharama zake na ufundi pamoja na vifaa kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kutokana na kuombwa sana kufundisha kuhusu kilimo hiki nimekuja na wazo tofauti nakaribisha watu kumi wa kujifunza kuanzia upandaji wake hadi kuvuna kila mtu atachangia tshs elfu 50 itatumika kwa...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nakuja tena jukwaani kwa mara nyingine kutaka kujifunza zaidi kutoka kwenu! Leo ningependa kupata elimu toka kwenu juu ya kitu kinachoitwa Giligilani au Coriander kwa lugha ya kigeni...
1 Reactions
28 Replies
20K Views
habarini wadau wa JF Kwa kweli mwaka huu nimeamua kuaanza ufugaji wa kuku wa kienyeji Ningependa ushauri wenu kwani niataka kujua vitu gain nahitaji ili niweze kufuata ndoto yangu ya ufugaji wa...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wanabodi, Ni wakati serikali kupitia wizara ya Mifugo na Uvuvi kuangalia mienendo ya breeders wa kuku wa nyama wanavyoshindana na wafugaji wadogo kwenye soko. Nadhani ni wakati wa vyombo...
4 Reactions
58 Replies
6K Views
It's a new teacher's college looking for self driven Female senior Tutor with leadership skills and enough teaching exprience at least of btn 5 and 10 yrs. Must be a graduate in B.A Educ...
0 Reactions
1 Replies
647 Views
Kuku wangu wanatoa kinyesi cheupe kama chokaa, ni dalili ya ugonjwa gani na nitumie dawa gani
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…