Habar zenu wadau! Naomba uuliza ili nipate faida kubwa katika ufugaji huu je! Ni vema nianze na kuku wangapi? Msaada tafadhari. Na lenga sana kuku wa mayai
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyekujua dawa ya ugonjwa wa Kuku kutokwa na Maji Maji mdomoni na puani mithiri ya makamasi. Naomba ushauri please [emoji120][emoji120][emoji120]
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wakuu ,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nahtaji kulima alizet ila sifahamu mashine ya kupandia akizet ipoje na inauzwa bei gani ..kwa mwenue uzoefu na hiyo anaweza tuma mchango hapa...
Nipo Dar maeneo ya Mbezi, nimelima nyanya aina ya Money Maker kama nusu heka huku. Ninamwagilia kwa maji ya kisima nilichochimba. Tatizo nilipatalo ni kupukutika kwa maua kila zinavyoanza kutoa...
Pole sana kwa kuhangaika wakuu !
Panya kutokuwepo kabisa sio nzuri kwa afya ya mazingira ,kisayansi huwa wana kila kiumbe ni muhimu duniani hata nyoka na mbu,tatizo kuna muda balance inaharibika...
Ndugu natarajia kuvuna nyanya zangu kwa kipindi hiki cha January natafuta soko nzuri kwa tenga kuanzia 50 Na kuendelea nakuletea ulipo kikubwa maelewano
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu poleni na majukumu ya kulijenga taifa. Naomba kuuliza kwa wajuzi wa mambo... Nina shamba langu maeneo ya kisarawe mkoa wa pwani nimejipanga mwaka huu nilime muhogo.
Naomba kuuliza...
incubator in machine ya kutotoleshea vifaranga salama.
ni rahisi kutumia na imara.
https://amzn.to/2QreLdf
EDITED
SORRY GUYS, HIZI MASHINE HAZISAFIRISHWI KUJA TANZANIA.
SIKUFATILIA...
habari wana jf naomba msaada wenu kama kuna mtu anaelima kilimo cha mpunga shadidi nahitaji kuingia katika hiki kilimo kwani nimeona ni chenye tija na manufaa.
naomba kama unafanya hichi kilimo ni...
habari wana jf naomba msaada wenu kama kuna mtu anaelima kilimo cha mpunga shadidi nahitaji kuingia katika hiki kilimo kwani nimeona ni chenye tija na manufaa.
naomba kama unafanya hichi kilimo ni...
Ninahitaji mtaalamu wa nyuki kuendesha na kusimamia kalenda ya ufugaji nyuki, uvunaji na packing. Awe na elimu ya Diploma au cheti na uzoefu wa mambo ya nyuki na awe tayari kukaa shambani kwa...
KILIMO NI MWALI HAJAREMBESHWA
Tanzania imebarikiwa sana kwa biashara ya kilimo. Hebu tizama hii:
1. Imezungukwa na nchi nane sugu kwa njaa
2. In maziwa makubwa kama Victoria, Nyasa, Tanganyika...
Natumaini humu Kuna wataalamu na wasomi. Nimeamua kuwekeza ktika kilimo hasa Cha umwagiliaji. Hasa nahitaji washauri na wataalamu juu ya drip irrigetion gaharama zake na ufundi pamoja na vifaa kwa...
Kutokana na kuombwa sana kufundisha kuhusu kilimo hiki nimekuja na wazo tofauti
nakaribisha watu kumi wa kujifunza kuanzia upandaji wake hadi kuvuna
kila mtu atachangia tshs elfu 50 itatumika kwa...
Wadau nakuja tena jukwaani kwa mara nyingine kutaka kujifunza zaidi kutoka kwenu!
Leo ningependa kupata elimu toka kwenu juu ya kitu kinachoitwa Giligilani au Coriander kwa lugha ya kigeni...
habarini wadau wa JF
Kwa kweli mwaka huu nimeamua kuaanza ufugaji wa kuku wa kienyeji
Ningependa ushauri wenu kwani niataka kujua vitu gain nahitaji ili niweze kufuata ndoto yangu ya ufugaji wa...
Habari wanabodi,
Ni wakati serikali kupitia wizara ya Mifugo na Uvuvi kuangalia mienendo ya breeders wa kuku wa nyama wanavyoshindana na wafugaji wadogo kwenye soko. Nadhani ni wakati wa vyombo...
It's a new teacher's college looking for self driven Female senior Tutor with leadership skills and enough teaching exprience at least of btn 5 and 10 yrs.
Must be a graduate in B.A Educ...