Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k

On JF:

Taifa letu ni tajiri wa ardhi na mifugo mingi isiyo na tija stahiki, ardhi inapungua kila uchao. Zimekuwepo jitihada kiduchu kuboresha mbegu. Serikali na wasomi wetu kuweni makini. Kupanga ni...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari waungwana naomba kuuliza kwa anaejua dawa bora ya kutibu Mafua ya kuku.
1 Reactions
14 Replies
9K Views
Jembe la kuchimba mashimo Mashine ya kuvunia http://www.youtube.com/shorts/gVkhovwIV-g
1 Reactions
3 Replies
4K Views
UTANGULIZI Ufugaji mseto wa samaki ni ufugaji ambao bwawa la samaki linakuwa ndani ya shamba pamoja na shughuli nyingine za shamba aidha hapo hapo shambani au katika eneo lililo mbali kidogo na...
3 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wapendwa, mimi ni mkulima nilipenda kujua kuhusu kiua gugu ambacho kina nguvu zaidi. Dawa ya kuua majani
1 Reactions
25 Replies
7K Views
Wanazengo habari zenu, mimi ni mfugaji wa bata nina bata wamezaliwa wadogo wadogo karibu 45, wote wana wiki moja+, wana afya njema na hakuna hata mmoja aliyekufa. Sababu ya kuanzisha huu uzi...
0 Reactions
28 Replies
9K Views
Natumai mnaendelea vizuri na majukumu yenu bila kusahau harakati za kampeni za uchaguzi. Kuna maswali najiuliza juu ya huu mchakato wa ugawaji wa mbolea za yara. Utaratibu unakutaka Kuomba...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Wakuu habari Kwanza napenda kutanguliza shukrani zangu za dhati kwenu kwa kushare different ideas bila kinyongo, nasi tunapitia mawazo,changamoto kuhakikisha tunafanya vzur zaidi Binafsi hua...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIA KWENYE KILIMO CHA PAMBA Mwandishi: Mashima Elias Ili kuongeza tija na Ubora wa Pamba Mkulima hana budi kuweka Juhudi katika kupata maarifa zaidi kuhusu kilimo cha pamba...
2 Reactions
0 Replies
8K Views
Habari ya muda huu wajasiriamali wenzangu. Kama mada inavyojieleza kwenye kichwa cha habari hapo juu ni vyakula gani vizuri kwa ajili ya vibwagala, mimi binafsi natumiaga makombo ila bado sioni...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Natumaini wote mko salama, Kama heading unavyo jieleza na picha Kuku hawa waliuwa niwazima ila siku za hivi karibuni wameleanza kuvimba macho. Na kuhusu swala la chanjo wote wamesha pata. Naomba...
4 Reactions
18 Replies
6K Views
Hivi wadau mbolea ipi nzuri kwa kupandia maharage?
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habarini ndugu zangu, kama kichwa kinavyoeleza hapo juu, natafuta mtu ambae yuko serious tuendeleze kilimo ambacho tayari nimeshakianza ila nguvu ya kukiendeleza imekosekana kwa vile hali yangu...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana JF habarini za mchana, Nahitaji picha za malishio ya kuku ya kutengenezwa kwa maboksi au material yeyote kwaajili ya kulishia kuku kwa wale wanaotengeneza yao binafsi maana sina hela ya...
0 Reactions
12 Replies
7K Views
Wakuu habari yenu, naomba kufahamu dawa inayoweza kusaidia kuondoa shida hiyo ya minyoo(flatworms) katika kuku wangu. Nimejaribu kutafuta maduka ya madawa ya mifugo nilipo sijapata jawabu.
1 Reactions
8 Replies
7K Views
Habari ndugu zangu, Naomba kwa anayejua mkoa naoweza kupata karanga nzuri zile kubwa kubwa kidogo, sio hizi ndogo ndogo (wakulima / wauzaji wanajua) Pia, naomba kwa mtu anayeweza kujua...
1 Reactions
22 Replies
5K Views
Je wajua? Inatajwa kuwa Mende walikuwepo duniani miaka milioni 120 iliyopita, kabla ya wanyama wakubwa kama vile Dinosaurs na bado hajawahi kupotea. Mende ni mdudu anayetajwa kuwa anauwezo wa...
1 Reactions
7 Replies
3K Views
Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane - JamiiForums Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari Wakulima na wasomaji wa makala za Kilimo. Leo naomba tuelimishane kuhusu Ukungu. Je Ukungu ni nini? Ukungu sio ugonjwa kama inavyofahamika kwa walio wengi. Wakulima wengi wanajua kuwa...
6 Reactions
7 Replies
8K Views
Habari Wakuu Nilipitia maonesho ya nane nane mwaka huu na moja ya kilimo kilichonivutia ni kilimo cha Dengu na Conflower/Brocolli. Mazao haya yana soko kubwa sana nje ya nchi hasa India kwa Dengu...
4 Reactions
188 Replies
102K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…