Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions

On JF:

Baada ya vita kubwa kati ya Trump na Elon Musk, kuhusiana na bajeti iliyopitishwa, huku Trump akiona itasaidia uchumi na Elon musk akiona inaongeza deni, sasa ndoto za wamarekani zinaenda kuzimwa...
2 Reactions
15 Replies
919 Views
Tanzania iko mbioni kutunga sheria na kuweka muongozo wa kutekeleza mfumo wa kitaifa wa mtandao wa simu, ujulikanao kama National Roaming. Kupitia mfumo huu mpya, mtumiaji wa simu ataweza...
1 Reactions
1 Replies
369 Views
Ashalom Aleikum! Naomba kama kuna yeyote humu anayetumia VPS (virtual private server) yenye data centre hapa Tanzania anijuze ipi ni more affordable kwa kuanzia (1 vCore, 2GB RAM na angalau 20GB...
0 Reactions
0 Replies
271 Views
Habar wakuu nataka kuhama kutoka kwenye Xiaomi kuja sumsung ,naombeni msaada wenu nitoleo jipi hasa matoleo mapya naweza pata Samsung yenye camera quality,betri kukaa na chaji mda mrefu,na iwe...
1 Reactions
26 Replies
2K Views
Bongo movie na ma-model huko Instagram , mjipange sana. Hizi ni kazi za Ai, zilizonichukua Dakika 3 , ku-generate
6 Reactions
34 Replies
2K Views
Nokia ni kampuni ya Kifinland iliyozinduliwa mwaka 1865. Hii ni kampuni ya kimataifa inayojishughulisha na mawasiliano na teknolojia ya taarifa. Makao makuu ya Nokia yako Espoo, Finland. Kampuni...
7 Reactions
7 Replies
999 Views
Zero fees. Total freedom. Send and receive money instantly using just a phone number—no hidden charges, no complex setups. Whether you're paying a friend, a small business, or moving money between...
1 Reactions
5 Replies
450 Views
SOMO LETU LA LEO LINA TOKA KWENYE KITABU CHANGU CHA ANDROID NETWORKING Lengo la kitabu hiki ambacho ni maalumu ni kujifunza kwa namna gani unaweza kuweka taarifa kwenye web server database...
0 Reactions
7 Replies
653 Views
Katika dunia ya leo ya kidijitali, kuuza ebooks (vitabu vya mtandaoni) imekuwa moja ya njia rahisi na faida kubwa ya kutengeneza pesa — hata ukiwa nyumbani tu. Haijalishi kama wewe ni mwandishi...
2 Reactions
2 Replies
817 Views
Elon Musk anakuja kwa kasi sana kwenye technology ya mawasiliano, kumbuka anamiliki satellite zake thus kwa technology za mawasiliano yupo cheap sana hata simu na laptop zake ni quality ya juu kwa...
10 Reactions
73 Replies
3K Views
China imetambulisha bunduki mpya aina ya electronic magnetic coil Gun yenye uwezo wa kurusha risasi 3,000 kwa dakika bila kutumia mfumo wa baruti (gunpowder) au mifumo ya kawaida. Imeundwa na...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
𝗧𝗨𝗠𝗜𝗔 𝗣𝗔𝗦𝗦𝗪𝗢𝗥𝗗 𝗞𝗨𝗭𝗜𝗠𝗔 𝗦𝗜𝗠𝗨 𝗬𝗔𝗞𝗢 Je ungependa mtu yeyote ashindwe kuzima simu yako mpaka aweke password ? Najua watu wengi wanaweza kushanga inawezekana vipi ? naam inawezekana. Watumiaji wa...
11 Reactions
31 Replies
3K Views
Katika dunia ya kidigitali, kuna fursa nyingi za kufanya biashara, kupata huduma, na hata kujifunza. Lakini pamoja na faida hizi, kuna pia hatari ya kutapeliwa. Matapeli wanazidi kuwa wabunifu na...
3 Reactions
2 Replies
511 Views
Salaam Wakuu. Katika Hii dunia kila mtu anajambo/Mambo/kazi anayofurahia kufanya.Binafdi ninamambo kadhaa ila hiki nilichokifanya nimejikuta mimi mwenyewe najipiga kifua nasema Hapa nimefanya...
19 Reactions
42 Replies
2K Views
💻 Na MALEKOGJ ➤Blue Screen of Death (BSOD) ni tatizo kubwa linalowakumba watumiaji wengi wa laptop. Kawaida huashiria kasoro kubwa kwenye mfumo wa kompyuta, iwe ni software au hardware. Katika...
1 Reactions
1 Replies
687 Views
Kuna app iko kwenye kila simu unayoijua wewe hapa Duniani, lakini watu wengi hawaijui vizuri na hawajawahi kuijaribu kuitumia Hata mara moja wengi wanaiogopa kabisa. Unajua kwanini!!!🏃🏃 Je app...
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari za muda huu wakuu , Msaada jinsi ya kuset USSD zifanye kazi maana kila nikijaribu kuingia kwenye menu inaonyesha ussd code running alafu baada ya muda inaandika connection failed or mmi...
3 Reactions
12 Replies
907 Views
Habari waungwana Naomba kujua watoa huduma ya Fiber Dar es salaam, kama utakuwa na mawasiliano yao itakuwa poa ukiweka ikibidi na bei za huduma zao pia. Naomba kuwasilisha.
3 Reactions
22 Replies
1K Views
Wapendwa nataka kujua EPSON TOLEO LA NGAPU NDO NZURI KWA AJILI YA KAZI ZIFUATAZO: Printing Copy Scanning Kusafisha picha za simu Kusafisha passport size Kutoa copy ya rangi Kwasasa sina...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Maelezo kuhusu taarifa Author,Yusuph Mazimu Nafasi, Akiripoti kutokaBBC Dar es Salaam 26 Mei 2025 "Ndani ya nchi yetu Mungu ametubariki uraniamu (urania). Ni vyema kusimamia ule mradi wetu kule...
0 Reactions
2 Replies
456 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…