Nimewaza baadhi ya matukio kati ya simba na Yanga katika kuwafurahisha washabiki wake .
Nani kati Simba na yanga
nga ni timu ya matukio .. anayefanya matukio ya kumkomoa mwenzake zaidi ili...
Kwanza nitoe Pongezi nyingi kwa Uongozi wa Simba SC kwa kuamua kutafuta Mechi Tatu Kubwa za Kirafiki za Kimataifa hasa katika Kipindi hiki cha Mapumziko cha Wiki Mbili.
Tarehe 28 August 2022...
Nimeangalia gemu ya juzi ya Simba vs kagera sugar nimemuona mjumbe wa bodi ya wakurugenzi wa Simba anayewakilisha wanachama Bw.Mwina Seif Kaduguda akiwa amevalia jezi ya Simba ikiwa na nembo ya...
Habari wana jf sports
Acha tuseme ukweli penye ukweli
Bado kuna kitu hakipo sawa, kwenye timu ya simba hata timu kuanzisha mashambulizi kwenda mbele ni tabu wanacheza sana back pass muda...
Sasa na wewe usiwe kilaza hapa Jf ni the home of the Great Thinkers. Nimesema Karim Mandonga ndio " Mike Tyson" wa ngumi za Tz kwa sasa , sijasema ni Mike Tyson. Mike Tyson is not the same as "...
Kuna siku nilipost hapa kabla ya mechi ya Simba na Yanga ni kasema Yanga hii sio watu wa maneno mengi kama Simba tupo kama Vladimir Putin tuna kupiga kwa vitendo sio kwa maneno
Simba wana maneno...
Mabondia Karim Mandonga na Shaban Kaoneka wamerudi tena kwenye headlines kufuatia kauli ya Shaban Kaoneka aliyoitoa jana akizungumza na Wasafi.
"Mandonga amepata bahati kuliko mimi, waandishi wa...
Kwa tunaojua boxing hii ni kawaida stunts kama hizi. Ila kibongo-bongo Mandonga kazidi mikwara. Kama una roho ndogo unaweza usitokee ulingoni.
Kesho sio mbali Mandonga Vs Kaoneka
Huu ni ushauri kwenda kwa Mamlaka zinazosimamia mchezo wa Ngumi , huyu jamaa hana uwezo wa kupigana , anasukumwa na usela tu , ngumi ni mchezo wa hatari sana kwa afya ya mtu , unaweza kusababisha...
Baada ya kuanza msimu vibaya kwa kupoteza mechi mbili mfululizo, Manchester United imeamka na kuipa Liverpool kipigo cha magoli 2-1 katika mtanange wa Premier League kwenye Uwanja wa Old Trafford...
Kama Magufuli alivyo saidia Tanzania kuwa maarufu saana nje ya Africa na ndani ya Africa kutokana na misimamo yake
Na Mayele naye amesaidia league yetu kuwa maarufu saana inje ya Tanzania na...
Cedric Kaze nakukubali sana Mwalimu unajua sana kukaba mashabiki lia lia tunajua kuwa Yanga haifungiki sasa msimu huu mbona naona kama Yanga haiko imara sana pasi si nyingi kama mwaka jana, uwezo...
Kushabikia #utopolo ni dhambi na wanaoshabikia lunyasi wazee wa Tanzania na Africa na wana julikana kote duniani kwamba muwakilishi wa Tanzania inajulikana simba pekee na hakuna kidume zaidi yao...
Kwa watu ambao wanajua tactics za mpira vizuri watakubaliana na mimi. Yule kocha wa Geita gold ni kocha mzuri sana na ana mpira wa kisasa zaidi. Ukicheki jinsi Geita Gold wanavyocheza...
Simba imemalizana na Cesar Manzoki na sasa striker huyo ambaye alikuwa akililiwa mno na mashabiki kiasi cha kutaka kusababisha taharuki atavaa uzi mwekundu, ataanza kuonekana dimbani kwenye gemu KMC.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.