Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

On JF:

6 Votes
Matukio ya utapeli nchini yamezidi na yanazidi kushika kasi nchini. Matapeli wamekua wakibuni mbinu mpya kadiri siku zinavyosonga. Utapeli wa mitandaoni na usio wa mitandaoni umekuwa mwiba mkali...
0 Reactions
0 Replies
386 Views
Upvote 6
3 Votes
MAWAZO YANGU JUU YA VIONGOZI WANAOCHAGULIWA NA WANANCHI. Katika nchi yetu Kuna jopo kubwa Sana la viongozi ambao huingia madarakani kupitia kuchaguliwa na wananchi ambao viongozi hao ni wenyeviti...
0 Reactions
3 Replies
305 Views
Upvote 3
11 Votes
TATIZO LA MAJI LITAISHA KWA NAMNA HII Chanzo Cha Picha: Freepik Tatizo la maji katika nchi yetu hii ya Tanzania ni changamoto kubwa inayokabili nchi, Mijini na vijijini. miundombinu ya maji...
2 Reactions
2 Replies
579 Views
Upvote 11
6 Votes
Inashangaza sana kuwa na taifa ambalo lina kila aina rasilimali ambazo zikitumiwa vizuri tunaweza kuwa na taifa ambalo lina pato kubwa la taifa. Fikiria madini ya almasi, dhahabu, ruby au...
0 Reactions
2 Replies
355 Views
Upvote 6
6 Votes
Picha mtandao Taaluma ya uandishi wa Habari, ni miongoni mwa taaluma inayozalisha wahitimu wengi katika vyuo mbalimbali hapa nchini Tanzania kila mwaka. Wahitimu hao wanakwenda kufanya kazi...
0 Reactions
1 Replies
328 Views
Upvote 6
4 Votes
Tangu tupate uhuru yapo mambo mengi ambayo yamefanywa na viongozi wa taifa letu, mambo hayo yalifanywa ili kuliwezesha taifa letu kuimarika kiuchumi na hatimaye kuweza kuendesha shughuli...
0 Reactions
1 Replies
339 Views
Upvote 4
3 Votes
Mafuta ni nishati muhimu sana duniani, pamoja na kuwa nishati muhimu sana duniani bado nchi zinazozalisha mafuta asilia ni nchi chache sana duniani, kiasi kwamba hata pale zinapokumbwa na...
1 Reactions
1 Replies
335 Views
Upvote 3
3 Votes
Aaah jamani humu nyote muwazima haya mm Nina mchango kidogo kwenye sekta ya vyombo vya baharini kama tunataka nchi yetu ifikie maendeleo kwa haraka, kwanza Jambo la mwanzo la kufanya ni kuwa na...
1 Reactions
1 Replies
236 Views
Upvote 3
3 Votes
Tanzania has enriched with abundant water resources ranging from big livers, dam, ocean, it has also advantage of being accessed by all continents easily through Indian Ocean, with good and...
1 Reactions
1 Replies
275 Views
Upvote 3
5 Votes
Elimu ni nyenzo kuu ya kukuza ujuzi na ubunifu kwa vijana katika taifa na dunia kwa ujumla.Ili taifa liendelee linatakiwa kuwa na vijana wenye ujuzi wa hali ya juu katika kutatua changamoto...
1 Reactions
2 Replies
274 Views
Upvote 5
5 Votes
Kwa miaka mingi kupita kwa hivi leo tunaita ni stori, kumbuka na rejea mwaka 1924 kulikuwa na watanzania nao waliishi kama wewe uishivyo hivi sasa mwaka 2024. Ni miaka 100 imepita tangu 1924, ni...
0 Reactions
2 Replies
849 Views
Upvote 5
4 Votes
Tunaposhuhudia ongezeko la idadi ya wanafunzi wanaojiunga na elimu ya juu na serekali kuongeza wigo wa wanafunzi kupata mikopo, tunakumbana na changamoto ya ongezeko la vijana wanaohitimu elimu ya...
1 Reactions
2 Replies
277 Views
Upvote 4
5 Votes
Nimetumia jina MAMA SAMIA, Sina maana kubwa ya kumtumia kwenye maudhui yangu lahasha , Lakini kama kiwakilishi kuonesha kiongozi wa juu kabisa katika ngazi ya uongozi, Sawasawa na ningetumia jina...
0 Reactions
2 Replies
245 Views
Upvote 5
5 Votes
To enhance the level of education in Tanzania over the next 5, 10, or 15 years, several strategic measures should be implemented: Investment in Infrastructure: The government and international...
1 Reactions
2 Replies
571 Views
Upvote 5
5 Votes
Bwana yesu asifiwe...... Nianze Kwa kushukuru MUNGU muumba mbingu na nchi na vyote viijazavyo Kwa, kutujalia amani, upendo na mshikamano. SULUHISHO LA UKOSEFU WA AJIRA -Ukosefu wa ajira ni janga...
0 Reactions
1 Replies
576 Views
Upvote 5
6 Votes
Maisha ni ya thamani kubwa sana. Hata hivyo maisha huambatana na changamoto moja kubwa. Watu hupata maisha(kuzaliwa) wakati wakiwa hawayahitaji na wala hawajui thamani yake, na huyapoteza wakati...
1 Reactions
1 Replies
281 Views
Upvote 6
5 Votes
Asilimia kubwa ya wafungwa wanaomaliza vifungo vyao hasa wafungwa wa vifungo vya zaidi ya miaka miwili wamekuwa wakipata changamoto kuyaanza tena maisha ya uraiani kutokana na kukosa ajira na...
0 Reactions
1 Replies
313 Views
Upvote 5
6 Votes
Tanzania ni moja ya nchi zenye fursa kubwa za maendeleo barani Afrika kutokana na rasilimali zake za asili, utajiri wa ardhi, na idadi kubwa ya watu wenye vipaji na uwezo. Hata hivyo, ili nchi hii...
0 Reactions
1 Replies
555 Views
Upvote 6
4 Votes
Ni kama ndoto ya usiku wa manane, nazishuhudia zile siku nzito zisizosahaulika za kampeni za wabunge na urais mwaka 2015 , namshuhudia Hayati Dkt John Pombe Magufuli, akimwaga sera zake za kuomba...
1 Reactions
2 Replies
296 Views
Upvote 4
1 Vote
From Grub to Grain: Tanzania's Insect Farming Revolution and its Global Impact on Food Security In a world grappling with the looming specter of food insecurity, an unlikely hero emerges from the...
1 Reactions
0 Replies
531 Views
Upvote 1
Back
Top Bottom