Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

On JF:

9 Votes
Kilimo kimekuwa uti wa mgongo wa taifa la Tanzania kwani kwa asilimia kubwa nchi yetu inategemea kilimo ili kuzalisha malghafi mbalimbali kwa ajili ya uzalishaji wa bidhaa pamoja na kulisha taifa...
3 Reactions
3 Replies
553 Views
Upvote 9
2 Votes
Tanzania ni nchi yenye uwezo mkubwa wa utalii kutokana na aina mbalimbali za wanyamapori, mandhari nzuri na urithi wa kitamaduni. hata hivyo, pamoja na faida hizo, nchi inakabiliwa na changamoto...
2 Reactions
1 Replies
696 Views
Upvote 2
11 Votes
💡It has been a great moment getting opportunity to brag a little bit on my views commeting on Tanzania which lives in my imaginations. It is not wisdom to blame for what has already happened, but...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Upvote 11
6 Votes
TANZANIA KUA KITOVU CHA BIASHARA AFRIKA NDANI YA MIAKA 25 KWA LENGO LA KUKUZA UCHUMI. UTANGULIZI Tanzania ni nchi ambayo imepakana na Bahari ya Hindi upande wa mashariki mwa Afrika na kuzungukwa...
2 Reactions
1 Replies
549 Views
Upvote 6
5 Votes
Baada ya miongo kadhaa kupitia nchi ya KIMANILWE NTEMI, ilipitia misukosuko mingi, ikiwemo rushwa, uchu wa madaraka. Hali hiyo ilisababisha nchi kukosa mwelekeo kwasababu Kila mtawala aliyekuwa...
1 Reactions
1 Replies
258 Views
Upvote 5
5 Votes
Deforestation and forest land degradation are critical environmental challenges with far-reaching consequences. Deforestation refers to the permanent removal of trees to make way for other land...
1 Reactions
1 Replies
486 Views
Upvote 5
4 Votes
KILIMO CHA KIDIJITALI: Tanzania, kama nchi nyingine za Kiafrika, inakabiliwa na changamoto za kuleta maendeleo endelevu katika miaka ijayo. Mojawapo ya njia za kufanikisha hili ni kwa kuwekeza...
1 Reactions
3 Replies
763 Views
Upvote 4
5 Votes
Chanzo: onlymyhealth.com Hedhi huanza kutokea kwa wanawake pindi wanapopevuka. Katika kipindi cha hedhi wanawake wanahitaji kujisitiri vizuri ili kuhakikisha wanakua safi na salama wakati wote...
1 Reactions
1 Replies
472 Views
Upvote 5
740 Votes
Uzalishaji wa umeme unapokidhi mahitaji nchini unachangia kwenye ukuaji wa uchumi kutokana na shughuli nyingi za viwanda vikubwa na vidogo kuendeshwa kwa utegemezi wa umeme Umeme unapokua wa...
17 Reactions
35 Replies
4K Views
Upvote 740
9 Votes
Utangulizi. Maendeleo endelevu ya taifa hayategemei juhudi za serikali na viongozi pekee, bali pia yanahitaji ushiriki hai wa wananchi wote. Wananchi wana wajibu wa kuchukua hatua katika nyanja...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
Upvote 9
4 Votes
1. Kwanza kabisa Mbinu au maono ambayo yatatumia zaidi ya miaka mitatu na kuendelea Ni Kuhakikisha SERIKALI inawarahisishia wanainchi Kwenye Upatikanaji wa maji na Ulipaji wake kupitia njia ya...
2 Reactions
3 Replies
349 Views
Upvote 4
5 Votes
Serikali ijenge Mabweni shule za sekondari Kata kusaidia kupunguza ongezeko la vitendo vya ubakaji kwa wanafunzi wa kike na kuwalinda dhidi ya mazingira hatarishi wanayopitia. Kutokana na umbali...
0 Reactions
1 Replies
432 Views
Upvote 5
4 Votes
Kujenga Tanzania ya kesho kunahitaji kujizatiti katika kuimarisha uongozi thabiti na mifumo imara ya utawala. Kwanza, viongozi lazima wawe na maadili ya juu na wawajibike kikamilifu kwa...
1 Reactions
1 Replies
315 Views
Upvote 4
5 Votes
Ni kitendo cha aibu sana kama nchi tunajisifu kwa usalama wa mtandao lakini bado watumiaji wengi wa huduma za kifedha kidijitali wanapoteza mabilioni ya fedha eeti kwa sababu mpokeaji aliyepokea...
1 Reactions
1 Replies
734 Views
Upvote 5
3 Votes
Ndugu zangu naamini nanyi mnakerwa sana na jinsi fedha za walipa kodi zinavyotumika vibaya kupitia ujenzi wa miundombinu ya barabara, madaraja, majengo ya shule, soko, hospitali na mengineyo...
2 Reactions
1 Replies
303 Views
Upvote 3
4 Votes
NAITAMANI TANZANIA MPYA Ni zaidi ya miaka 60 sasa tangu Tanzania ipate uhuru kutoka kwa mkoloni mwingereza. Hali zote za kiuchumi, kisiasa, kiutamaduni na maisha ya kijamii zimebadilika kwa kiasi...
1 Reactions
1 Replies
297 Views
Upvote 4
5 Votes
Tanzania lacks professional development in the entertainment sector especially in Art. Firstly lets look at the past and then come to the present, from independence we are cultured in a way that...
2 Reactions
1 Replies
566 Views
Upvote 5
1 Vote
Kuwe na 50 kwa 50 kati ya miradi ya maendeleo ya watu na miradi ya maendeleo ya vitu ili kupunguza umaskini wa vipato. Tanzania ni moja ya nchi zinazo kuja juu sana kwa swala zima la ukuaji wa...
0 Reactions
1 Replies
315 Views
Upvote 1
3 Votes
Mpaka 2022 nilienda kutalii nikiwa na rafiki yangu katika hifadhi za tarangire national park, like manyara national park, mikumi national kisha saadan national park tukamalizia pugu kazimzumbwe...
1 Reactions
1 Replies
321 Views
Upvote 3
3 Votes
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imekabiliwa na changamoto kubwa katika sekta ya afya, ikiwa ni pamoja na upatikanaji duni wa huduma za matibabu na usimamizi mdogo wa taarifa za afya za...
2 Reactions
1 Replies
430 Views
Upvote 3
Back
Top Bottom