Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Baadhi yenu mlifikiri hao makadinari wanaweza kupiga kura ya kumchagua Papa kutoka Africa? Kweli kabisa mliruhusu wendawazimu wa fikra uwaongoze kuwaza hivyo? Africa kuwa na papa mweusi hiyo...
0 Reactions
3 Replies
253 Views
Watanzania wenye shahada za ualimu, mnaferi wapi kuomba kazi za kufundisha kiswahili? Rwanda kwa sasa inatambua lugha ya Kiswahili kama moja ya lugha zinazokubalika nchini. kwa bahati mbaya...
0 Reactions
1 Replies
275 Views
Jeshi la Congo halijambo
0 Reactions
1 Replies
118 Views
Si vingine, ni : 1. Waya wa umeme ulio uchi 2. Mwanamke alie uchi
0 Reactions
1 Replies
124 Views
Hivi, hujawahi jiuliza kwa nini baada ya kujikuna njia ya haja kubwa inapokuwasha,kuna sauti inayokusihi kunusa kidole!?
0 Reactions
1 Replies
142 Views
Kumshawishi mwanamke aliekutembelea ghetto, kuhama toka sebuleni mpaka chumbani, si kazi ndogo, yahitaji ufanisi wa hali ya juu.
0 Reactions
2 Replies
109 Views
Kwingine raha sana. Chakula hadi wanauza kwa debe,na wateje wa kusubiria. Rwanda, maisha kama haya yasikie kwa majirani hawa tu.
0 Reactions
2 Replies
228 Views
MWANANGU kama umezaa na Mwanamke na mkatengana kisha mkakubaliana kumlea Mtoto au Watoto wenu, hakuna ubaya wakati unatuma hela kwa ajili ya Watoto wako basi tia busara kumkumbuka pia Mama yake...
0 Reactions
1 Replies
207 Views
Ni mwanamitindo maarufu nchini Rwanda, mmiliki wa Moshions Fashions Design, aliejizolea umaarufu kwa kuwashonea viongozi wakubwa na viongozi wa mataifa mbali mbali. Hapo nyumba, kwenye ukurasa...
1 Reactions
2 Replies
300 Views
Haya ni makazi ya familia moja, ya watu wa nne. Kwa sasa, ni miaka mitau(3), tangu wameanza kuishi maisha haya. Cha ajabu, kila kiongozi anaeulizwa kwa nini, anadai hakuwa na taarifa. Nchini...
0 Reactions
1 Replies
117 Views
Kanisa la mchungaji maarufu Pastor Julienne Kabanda lafungiwa na RGB(Rwanda Governance Board). Sababu zilitajwa kufutiwa vibali, kulitokana na kuendesha shughuli zisizoendana na zilizokuwa...
0 Reactions
1 Replies
198 Views
Huko New Zealand, inasemekana ni nchi ambayo, kondoo ni wengi kuliko raia. Nchi hii ina watu milioni 5.3. Lakini ina kondoo milioni 23.6. Ni kama kila mtu ana kondoo 4.5 Kondoo nchini humu ni uti...
0 Reactions
1 Replies
191 Views
Huko nitokako. Kwenu vipi?
0 Reactions
1 Replies
122 Views
Siku za nyuma walirushiana maneno makali, na hakuna alietegemea kicheko cha namna hiyo, ila walionyesha kuwa siasa inaishia ofisini, na tofauti hazimaanishi watu ni maadui.
0 Reactions
3 Replies
202 Views
Dunia hii ni siku 3 tu: 1.Jana imepita na haitajirudia Tena 2.leo ni nzuri na haitodumu 3.kesho sijui tutakuwa wapi Yafanyie kazi
0 Reactions
1 Replies
136 Views
Baada ya kuelezwa taratibu za wanandoa kwa mjibu wa shelia za jamhuri ya Rwanda, nimekubali kuolewa hapa hapa
0 Reactions
1 Replies
151 Views
Jamani jamani, Nawakumbusha tu. Atakaekuwa wa mwisho kutoka duniani, atakumbushwa na nani kuzima taa
0 Reactions
1 Replies
98 Views
Nchi ya Rwanda imezindua huduma ya mtandao wa 5G. MTN Rwanda, imesema kwa sasa inapatikana Kigali Heights na Kigali Convention Center. Baada ya majaribio, itaanza kusambazwa nchi nzima. Wakati...
0 Reactions
1 Replies
136 Views
Back
Top Bottom