Rwanda Forum

Murakaza neza ku rubuga rwa JamiiForums. Nezerwa n'amakuru n'ibiganiro bitandukanye mu rurimi rw'ikinyarwanda
Mkutano huu unaotarajiwa jijini Kigali, tarehe 19-20 Mai 2025, ni sehemu pia ya maonyesho ya dhana za kivita za kisasa; utajumuisha mataifazaidi ya 60. Zitakuwemo drones, magari maalum kwa ajiri...
0 Reactions
1 Replies
150 Views
Inasemekana, bata ukimfungia sehemu kwa siku zisizopungua 40, anakufa na badae ukifunua utakuta kawa nyoka. Hili ni kweli au ni uzushi tu wa watu?
0 Reactions
2 Replies
233 Views
Serikalii inatuhumiwa kuhatarisha maisha ya raia baada ya kusitisha huduma za kibenki na za usafiri wa anga, katika maeneo yanayoongozwa na AFC/M23. Askofu Donatien Nshole, amesema nguvu...
0 Reactions
1 Replies
103 Views
Jaribio lilifanyika kwenye Marekani, Afrika Kusini na Rwanda. Utafiti wa shilika la afya duniani, ulibainisha kuwa, dunia nzima ina watu waishio na virusi vya ukimwi wapatao milioni 39,9 mwaka...
0 Reactions
5 Replies
246 Views
Baada siku moja, wanyarwanda 300 walipoingia nchini humo kutoka DRC, kwa mara nyingine, leo wameingia 790 pia. Kwa mjibu wa vyombo vya habari, watu hawa, na wengine ambao bado hawajawasili...
0 Reactions
1 Replies
133 Views
Pichani, ni badhi ya silaha zinazounganishwa nchini Rwanda, kwa ushilikiano wa jeshi la Rwanda na la Israel, kupitia kiwanda cha Rwanda Engineering and Manufacturing Corporation (REMCO). Silaha...
1 Reactions
1 Replies
355 Views
Wakimbizi hawa walikuwa wakiishi kambini Kakuma, huko Turkana, nchini Kenya. Walioweza kutoa taarifa, wamesema uamzi huo ulitokana na kupunguzwa zaidi ya 50% ya chakula kutoka shirika la msaada...
0 Reactions
1 Replies
169 Views
Kama wewe ni muajiliwa, thamini jasho lako. Siku ukigundua kuwa kwa mwaka mzima, yaani jumla ya miezi kumi na mbili(12), unalipwa tu siku 12, basi jifunze kuthamini hicho unachokipata, ila...
0 Reactions
1 Replies
188 Views
Moja ya taarifa za awali, ni kwamba baada ya serikali ya USA kuingilia mgogoro wa kisiasa kati ya DRC na Rwanda, ni kwamba Marekani inaitaka kuhakikisha madini yake yote yanapelekwa tu Rwanda...
0 Reactions
1 Replies
171 Views
Mwamba aumaliza mwendo hapo hapo, na abilia wake mahututi!
0 Reactions
1 Replies
94 Views
https://thegreatlakeseye.com/post?s=South--Africa--mulls--trojan--horse--plot--to--return--to--DRC,--derail--peace--efforts--_1823 Kama hii ni kweli, basi tujiandae kuuona moto zaidi ya ulioonekana
0 Reactions
1 Replies
113 Views
Wale vijana wanaotafuta mapambo. Masisi ndo kwenyewe sasa. Mkisema Rwanda kuna viumbe, mtakuwa mnakosea sana.
0 Reactions
2 Replies
190 Views
Na haya, ni sehemu ya maisha ya wanyarwanda. Ukiwa na flat TV,hata kama ni 15", wewe ni mlengwa wa kutembelewa na hawa jama wanaochimba na kutoboa nyumba. Bora huyu alikuwa na tofari imara...
0 Reactions
0 Replies
174 Views
https://x.com/btntvrwanda/status/1917923701779018161 Pichani, ni badhi ya waendesha pikipiki jijini Kigali, nchini Rwanda, baada ya kumkamata mtu anaedai kuwa ni askali polisi, kitengo cha...
0 Reactions
0 Replies
185 Views
Tuganire: Ese wowe wakiriye gute icyemezo cya Polisi y'u Rwanda cyo kongera iminsi yo guhana umuyobozi w'ikinyabiziga wakerewe kwishyura amande y'ikosa (Contravention) aho kuba iminsi 3 ahubwo...
0 Reactions
0 Replies
137 Views
Umuvugizi wa Guverinoma ya Repubulika Iharanira Demokarasi ya Congo, Patrick Muyaya, yagaragaje ko impinduka zagiye ziba ku kibazo cy’umutekano muke mu Burasirazuba bw’igihugu cyabo ari zo zatumye...
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Baada ya Paris Saint Germain(PSG), Arsenal na Bayern Munich, huko Hispania, timu ya ATRETICO de MADRID yasaini mkataba na serikali ya Rwanda pia, kuitangaza VISIT RWANDA. Neno VISIT RWANDA...
0 Reactions
0 Replies
152 Views
Huko bungeni Rwanda, uongozi wa shirika la serikali la kukusanya mapato(RRA/ Rwanda Revenue Authority) limekuja na mapya. Ni baada ya wawakilishi wa shirika hilo, kupendekeza adhabu ya kifungo kwa...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Kuondoka kwa wanajeshi hao, kunaweka kikomo kwenye mission ya SAMIDRC, iliyokuwa imeitikiwa na Tanzania, South Africa na Malawi. Baada ya kushindwa katika vita waliyokuwa wakipigana na M23...
0 Reactions
0 Replies
267 Views
Badhi ya raia katika wilaya ya Nyarugenge jijini Kigali, wanaomba uongozi na vyombo vya dola kuwahakikishia usalama wao. Ni baada ya kugundua kuwa wengi wao wapo kwenye orodha ya watu...
0 Reactions
0 Replies
170 Views
Back
Top Bottom