Mwanamke, ana nini cha kumpa mwanaume?
Iko hivi, mwanamke ana majukumu mawili kwa mwanaume wake:
-Kuvuruga mwanaume akiwa ametulia na
-Kumutuliza akiwa amevurugwa
Najua wengine watasema ni...
Rais mstaafu wa Kenya, Uhuru Kenyatta, ambae ni mpatanishi katika mzozo wa kisiasa kati ya Rwanda na Congo,leo amemtembelea rais Kagame wa Rwanda. Ni katika juhudi za kutafuta suruhu la kudumu,ili...
A. Le M23 ne reculera plus de ses positions. Il n'est donc pas question de quitter le Nord ou le Sud-Kivu.
M23 haitatoka katika maeneo iliyo nayo mpaka sasa,kwa maana ya Kivu Kaskazini na Kivu...
Ma ofisa wakuu wa jeshi,wapo hatarini,badhi yao wakiwa wanasakwa huku wengine wakikamatwa. Wanakabiliwa na tuhuma na njama za jalibio la kupindua uongozi wa Tshisekedi.
Rais wa Uganda, Yoweli Kaguta Museveni, ameagiza taasisi husika, kufungua mipaka ya nchi hiyo, na upande wa Congo chini ya uongozi wa M23.
Hii inamaanisha, biashara na safari za kuvuka...
Umezaa na mtu, au ni mmeo,af unamletea nyodo kwamba anatoa hela ndogo au hakuridhishi.
Unapata mchepuko,anaekuridhisha, na hela ndogo hiyounayopewa na uliezaa nae,hakupi mchepuko.
Mwenye kukupa...
Eti kabla ya kwenda jela miaka 30,kisa kummimbisha mwanafunzi,unatakiwa ukumbuke haya:
-kila mimba,ni ya mwanaume.
-Lakini kila mtoto akizaliwa,ni wa mwanamke.
Rais William Ruto ameagiza polisi nchini Kenya kutumia nguvu zaidi dhidi ya watu wanaojihusisha na uporaji au uharibifu wa mali wakati wa maandamano, akisema kuwa wanaopatikana wakifanya vitendo...
GHARAMA ZA KUTOKA NA MCHEPUKO
1.Usafiri 10,000
2.Chumba Lodge 30,000
3.Chakula + Vinywaji 30,000
4.Asante Kwa Kuja 50,000
Jumla 120,000 Brother Unaongeza Umasikini Tu Nyumbani Mpe Mke Hii...
Olivier Nduhungirehe, waziri wa mambo ya nje wa Rwanda, akiongea na waandishi wa habari, alisema, taarifa zote za uwepo wa FDLR na walipo, Rwanda inazo. Waliopo jeshini, walioingizwa kwenye...
Katika yaliyomo, ni kwamba FDLR si kundi la waliohusika na mauwaji dhidi ya watutsi, kama inavyoituhumu serikali ya Rwanda, bali ni kundi lililoanzishwa mwaka 2000 kwa ajiri ya kuwalinda wakimbizi...
Tangazo lililotolewa na serikali ya Kidemoklasia ya Congo, linaitaka nchi jirani ya Rwanda, kuhakikisha inaondoa wanajeshi wake chini humo,kablabya siku 90.
Kushindwa kutekeleza agizo hili...
Katika Mkutano na Waandishi wa habari Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amekea wanaotegemea wachawi na kuhisi wao ndio wanaowapa ushindi badala ya kutegemea mafunzo na maandalizi mazuri kwenye...
Sauti ya marehemu Col. Karegeya, anayesemekana kuuawa na serikali ya Rwanda huko Afrika kusini, alipoulizwa na mwandishi wa habari kuhusu uwezekano wa Ingabire kugombea, alijibu kwamba huyo...
Kwa muda wa siku 7, yaani tarehe 1 hadi 7 mwezi Julai, 2025, Wanyarwanda walioajiliwa serikalini, walipata muda wa mapumziko, kwa ajili ya kuadhimisha sikukuu za uhuru na kujikomboa, zilizoangukia...
Nyerere alisema Maskini hana cha kupoteza, na Binadamu akichanganikiwa ni hatari kuliko kitu chochote Duniani, moja ya visababishi ni utawala wa mabavu na umaskini wa kupitiliza. Gen - Z ni kizazi...