Kwenu tena wana JF, leo asubuhi nimepokea ujumbe kwenye e-mail yangu kuwa nimechaguliwa kuanza TRAINNING ktk kampuni tajwa hapo juu ila natakiwa kutuma pesa elfu 50 za kitanzania.
Naombeni mwenye...
Watu wengi najua wanafahamu zaidi recruitment portal ya serikali yani ajira portal. Lakini zipo portal nyingi tu ajira za watu tofauti tofauti.
Mimi binafsi nawakubali cvpeople walishanipa...
Nina uzoefu mkubwa wa kununua na kuuza mazao ya biashara na mbolea , mfano ufuta, mahindi , korosho n.k
pia najua namna yanavyotakiwa kuhifadhiwa na kupangwa ,jinsi ya kuyafanyia ( fumigation)...
Awe na umri chini ya miaka 23
Awe analala hapa hapa nyumbani
Nyumba ipo dar na hakuna kazi nying zaid ya kupika na kufanya usafi
Asiwe mapepe
Anaehitaji tuwasiliane kwa namba 0658 047 048
Anahitajika mwalimu kwa ajili ya kufundisha Ordinary level (form one to form four). Mwalimu anahitajika kuwa na Bachelor Degree of arts with Education (History).
Experience awe na angalau miaka...
General Manager
General Manager
Posted on 16/02/10
Employer Name: A prestigious investment company in Rwanda
Employer E-mail: star@rwanda1.com
Employer contact number: +250-505 307...
Mwenye list ya majina ya waliochaguliwa Kwa ajili ya zoezi linaloenda kuanza jumanne Machi 1 Kwa wilaya ya KINONDONI ashee Hapa ili tujuane mapemaaaaa
Karibuni
Wanajamv ebu mwenye hbr anaijuze km kuna mtu aliapply hz kz na kuitwa ktk usahili mn nimejrb kuulizia na kuvisit website yao mr kwa mr lkn sijawahi ona shortlisting
Na tangazo lilikuwa ili hapa...
Please jamani mwenye notice nzuri za research anisaidie maana nimehudhuria interviews baadhi za utumishi nimefeli kwa sababu ya kusoma research notice feki, so mwenye notice ambazo si za ku...
Tunahitaji madereva pikipiki,wenye leseni,wanaojua kuzungumza kiingereza
tafadhali kama wewe unavigezo hivi tuma msg au piga simu namba 0777 141 555 au tuma CV kwenda recruitment@lenjen.co.tz
Jobs in Tanzania: New Job Vacancies at VODACOM Tanzania, 2019
AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019
Position: Administrator: M-PESA Agents - MPESAN
JOB PURPOSE
The M-PESA Agent Administrator...
Habari zenu,
Naomba wenye uelewa wa haya mambo ya Serikali mtoe ideas kuhusu swala zima la mtu kutaka kuhama kabla ya kuthibitishwa kazini, hii imekaaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wanajf, Nina Bachelor of Arts in library and Information studies.Nipo dar.Natafuta kazi ya library au yeyote inayoendana na course yangu.asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.