T tandabui2021 JF-Expert Member Nov 5, 2021 3,120 5,360 May 19, 2022 #1 Wadau nataka kufahamu mishahara ya maafisa utumishi kwa level ya degree inaanzia garaja gani
Depal JF-Expert Member Nov 26, 2018 47,135 188,310 May 19, 2022 #2 Muulize Sandali Ali yeye ni mtumishi mkuu
Kiboko ya Jiwe JF-Expert Member Apr 7, 2020 12,701 36,119 May 19, 2022 #3 Depal said: Muulize Sandali Ali yeye ni mtumishi mkuu Click to expand... Ahahahaha Sema taasisi tukupe majibu. Ila kwa kuanzia wanaanza na 720000
Depal said: Muulize Sandali Ali yeye ni mtumishi mkuu Click to expand... Ahahahaha Sema taasisi tukupe majibu. Ila kwa kuanzia wanaanza na 720000
schizoid-man JF-Expert Member Mar 17, 2014 402 388 May 19, 2022 #4 TCRA na Wakala wa Misitu ni kiasi gani mkuu
walitola JF-Expert Member Nov 28, 2014 4,796 5,520 May 19, 2022 #5 Inatofautiana na taasisi mkuu kuna wanaolamba laki saba na uchafu, wapo laki nane, laki tisa mpk milion
Inatofautiana na taasisi mkuu kuna wanaolamba laki saba na uchafu, wapo laki nane, laki tisa mpk milion
Dormant Account JF-Expert Member Apr 5, 2022 11,418 32,512 May 19, 2022 #6 Ujapata kazi unaanza kuulizia mshahara
The Monk Platinum Member Oct 12, 2012 19,254 42,873 May 19, 2022 #7 genetic said: Ujapata kazi unaanza kuulizia mshahara Click to expand... Unatakiwa kuishi Kwa Imani mkuu. Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo.
genetic said: Ujapata kazi unaanza kuulizia mshahara Click to expand... Unatakiwa kuishi Kwa Imani mkuu. Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo.
Mbaga Jr JF-Expert Member May 28, 2018 18,962 41,289 May 19, 2022 #8 Mm sijapata kazi ila wenzangu huko wanalipwa 650k