Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

On JF:

Habari za jioni wakuu, kwa anayejua hii form naweza kupata wapi pia kama kuna uwezekano mtu akajijazia chap kama inavyoonesha hapo nitashukuru service fee ipoo. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
3 Replies
383 Views
Kufuatia tume ya Utumishi wa mahakama kutoa majina ya watakao fanyiwa usaili kufanyika kwa njia ya kielectroniki. Karibuni wakuu tupeane maujuzi jinsi ya kutoboa kwenye huu usaili kwa wale...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Wadau, mm ni kijana mpambanaji umri wangu ni miaka 24 mkazi wa Dar es Salaam, Tegeta. Ninatafuta gari ndoa kwa ajili ya kufanya kazi za taksi ya mtandaoni maarufu kama Bolt. Nina leseni...
0 Reactions
0 Replies
616 Views
Habari zenu Wakuu Tunahitaji Welders wazuri ambao wanauwezo wa kusoma Michoro (Drawings) na kuifanyia Kazi. Mahali pa Kazi: Dodoma Tuwasiliane: 0761584652
2 Reactions
0 Replies
241 Views
Habari wakuu, Bright and Genius Editors tunatangaza tenda yenye pesa nzuri. Tunatafuta fundi wa Kutengeneza mashelf ya kisasa, meza ya kisasa moja, na sofa kwaajili ya dukani kwa bei rafiki. Ni...
1 Reactions
5 Replies
477 Views
Wakuu, rejea hapo juu. Vyeti vilivyopo JKT & EACCFFC na nina uzoefu wa mda mrefu. Niko tayari kwenda mkoa wowote, ila Dar es Salaam hapana Asanteni
2 Reactions
28 Replies
1K Views
Habar wakuu nina umri wa miaka 29 natafuta kazi yeyote ya halali kwa taaluma ninachet cha hotel kama housekeeper na waiter ambayo nitalipwa mshahara kuanzia 300,000 kwa mwezi. Pia najua kuendesha...
1 Reactions
3 Replies
729 Views
Habari za leo ndugu zangu. Naomba msaada je hizi status za ajira portal zipoje. Mfano kwenye portal imeandika SELECTED FOR Oral Interview. Selected for Ina maneno ya kijani lakini kwenye website...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu Habari, Naombeni msaada nawezaje kubadili kituo cha kufanyia usahili. Nimepangiwa interview lakini sitoweza kufika katika kituo hicho husika nataka nibadilishiwe kituo cha kufanyia huo...
1 Reactions
23 Replies
2K Views
Habar Wana JamiiForums nimejaribu kuingia ajira portal ili nianze kujisajiri upya ila nakumbuka zaman Sana nilishawahi kuingia hivo sikumbuki email Wala password niliyotumia kipindi hicho...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Wanahitajika vijana wa Kike kwa ajili ya mauzo ya mradi wa nyumba uliopo(REAL ESTATE) wilaya ya Kigamboni Dar es salaam. TUMA C.V YAKO:sophiahamidu59@gmail.com
0 Reactions
1 Replies
593 Views
Ni matumaini yangu mu bekheri wa afya wakuu kwa wanaoumwa poleni sana na mtakuwa sawa tena. Mimi ni kijana wa miaka 26 -28 nipo Jijini Mwanza ahangaika ila katika mihangaiko yangu mambo yamekuwa...
7 Reactions
27 Replies
1K Views
Nafasi ya Kazi: Muundaji wa Maudhui ya Video (Video content creator) Tunatafuta mbunifu mwenye kipaji na ari ya kazi kujiunga na timu yetu. Majukumu: 1. Kuunda na kuhariri video za masoko na...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kama nilivyo waambia wakuu nimesoma degree ya Accounting and Finance jana nimeandaa barua 9 kwa ajili ya kusambaza kwenye taasisi mbali mbali hapa Arusha ili kuomba internship ila zilizo pokelewa...
23 Reactions
157 Replies
11K Views
Habarini wakubwa, Nimekuja kwenu nikiamini kwamba JamiiForums ni sehemu inayokutanisha watu wengi tofauti tofauti, waliojikita katika nyanja na sekta tofauti, hivo nimeona ni sehemu sahihi ya...
5 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari wakuu, poleni na majukumu. Siku ya leo nimeingia ajira portal na kukuta mabadiliko fulani nikashindwa kuelewa japo Hii ni mara yangu ya 7 kuomba kazi utumishi. Kwa wale mliokuwa...
2 Reactions
235 Replies
83K Views
Kwa wale mliyowahi kufanya usahili wa PSRS na kufanikiwa, status zilileta mabadiliko gani? Tusaidieni tuelewe vizuri. Kuna hii selected for null na not selected for null kwenye app.
2 Reactions
25 Replies
6K Views
Mama mtu mzima ,umri miaka 40 anatafuta kazi ya usafi wa nyumba za kulala wageni ,au kazi yoyote halalI ajipatie kipato,. MahalI popote pale hata kijijini.yupo tayari
3 Reactions
38 Replies
1K Views
Back
Top Bottom