Ndugu zangu ni kawaida imezoeleka kwa CRDB kuajiri nafasi za bank officer katikati ya mwaka yaani mwezi july, na hii inakuwa katika zonal office, mfano last year nikiwa 2nd year.
Nimejaribu...
Habari wadau.
Mzee wangu ni wale wazee wa miaka ilee maisha ya soft tach ( Maisha rahisi). Yaani enzi zilee za mashirika kwa hiyo wao maisha ni marahisi tu. Pia anasehemu zake za biashara maeneo...
Habari!
Nina rafiki yangu ni askari yupo katika moja ya kambi za mafunzo jeshini, personally ni graduate 2012 japo nimepata pa kujishikiza ila nilikuwa na interest ya kujiunga na TPDF...
Jamani jamani saa tisa hiyo jtatu hii mpaka sasa bila bila majina ya koplo na konstebo ya uhamiaji kimya !! Mwenye taarifa majina yatatoka lini atujuze wa jf
Guys!
I am on a final process to acquire a 8m loan from one of reputable commercial banks in TZ!
Any business idea please! Viable idea shall be awarded.
Thanks in advance
Natafuta kijana wa kunisaidia kuuza sahani kwa njia ya kupigia debe maeneo ya ubungo stend ya daladala na kimara mwisho!!Malipo maelewano napatikana 0719129650 na watsapp pia.
Mwenye application form ya Viettel please naomba anitumie manengula@gmail.com maana niliapply enzi zile za egotel na nika-submit kumbe limechukua shirika jingine mimi sikuwa na taarifa. So...
JOB DESCRIPTIONApplication DeveloperPOSITION : Application Developer
DEPARTMENT : Technical Department
LOCATION : Push Mobile Main Offices
REPORTS TO : Head of Applications DevelopmentSummary:The...
Wakuu
heshima kwenu, naomba vijana kumi, wenye laki tatu kila mmoja, lengo ni
kuunganisha nguvu ya mtaji kwa kuanzisha vyuo vinavyotoa certificate
kama vile zoom, the genesis n.k...
Kama kuna mhusika huko, au kama uko huko (kiwira), naomba kufahamu machache kuna vijana wangu wapo huko hawaishi kuniomba pesa ya vitu ambavyo inaonekana mwanzo havikuoneshwa kwenye maelezo.
Sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.