Wanahitajika watu kujaza nafasi za kazi. TANGAZO KAMILI NI HILI LIFUATALO:
Applications are invited to fill in the following vacant posts in our organisation:
1. Shop Supervisor - 1 post
2...
Habarini humu ndani
Ningependa kufungua duka la kuuza dawa siku zijazo ila sijajua ni mtaji kiasi gani ninahitaji kuweza kufanikisha hili?
Naombeni mawazo yenu tafadhali
hivi hawa TANZANIA REVENUE AUTHORITY NDIO NINI SASA WAMETANGAZA NAFASI ZAO MPK DEADLINE IMEFIKA MUWEBSITE WAO HAUFUNGUKI....................SASA KAM WALIKUA WANAJUA WASHAPATA WATU WAO SIJUI...
Namtafuta mwalimu wa kubadilishana kituo mimi niko mara serengete sec, nataka kubadilishana kituo na mwalimu anayetaka kuhama kutoka katika mikoa ya pwani na daresalaam, asante naomba kuwasilisha
Natafuta kazi ya kufundisha somo la Basic Mathematics.
Nipo Dar es salaam
Nimemaliza Bachelor ya IT mwaka 2012.
Nilisoma EGM kidato cha tano na sita.
Na nimewahi kufundisha
Elimu inaelekea wapi?
Ni wakati wa kufanya maamzi magumu sasa! BIG RESULT NOW mashuleni wekeni degree zilizo mtaani na wale walimu walioishia kidato cha nne na kufeli wakakimbilia grade A wapewe...
Wapendwa natafuta kazi kama Community Development Officer, au Social Worker kanda ya kati na kanda ya ziwa. Mimi ni mchapakazi mzuri, najitambua na nipo tayari kufanya kazi. Nina miaka 31 alie na...
DAMAX Creative CV development service..
In today's job market, standing out from the crowd is essential. Your CV is your opportunity to show your future employers that you are the best...
Wakuu, baada ya kampuni inayojiita Viettel Tanzania kutangaza kazi nyingi na watu kuzipaparikia knimekuja na observation zifuatazo naona hii ni kwa faida ya wanaotafuta kazi...As a man I stand to...
habari zenu waungwana,leo nilibahatika kufika katika kata yangu ya ilala mchikichini na kuambia yakuwa majina yanategemewa kutoka siku ya Alhamisi kuanzia saa nane mchana......
Habari wadau..
Mimi ni kijana wa elimu, nina degree moja katika field ya logistics and transport.
Nimetafuta sana ajira bila mafanikio mpaka sasa waajiri wengine wanataka kuniingiza mjini kwa...
jamani hivi huyu Anthony msigwa ni nani?
maana niliomba kazi ya widow and orphan advocacy nimetumiwa mail Leo nimepewa maelekezo mengi lakini pia nimeambiwa nitume pesa elfu hamsini na moja na...