Habari Wakuu
Bila kuwapotezea Muda, mimi ni kijana wa kitanzania mwenye shahada moja. Nisiingie sana kwenye professional yangu,ila kwa yeyote mwenye uhitaji na mfanyakazi katika kitengo chochote...
Habarini ndugu zangu wanajamvi .
Kiukweli nilijiunga na jamii forum muda mrefu sana ila sikuwahi kuanzisha uzi wala kucomment hata mara moja.
Hii inatokana na kupata majibu ya kila changamoto...
Wakuu habarini za majukumu.
Kama Maada inavyojieleza hapo juu,kwa waliowahi kuhudhuria usaili wa kilimo iwe kwa kuandika au kwa mahojiano ningeomba atupe japo mwanga kidogo huku,nisiwachoshe sana...
The Legal Services Facility (LSF) a registered non-government Organization (NGO) with Registration No. 00NGO/R2/00011. It is a basket fund created to channel funding on equal opportunity basis to...
Kwema wakuu? Najua mafundi wa rangi siku hizi tupo wengi ila wenye kazi nzuri tupo wachache.mafundi wengi wanaharibu kazi kwa kulipua ilimradi wapate pesa wasepe.
Wengi hawafikirii kujenga jina...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 30 natafuta kazi iwe kwenye taaluma yangu au nje ya taaluma yangu nimehitimu diploma ya uhasibu na nina uzoefu kama cashier kwa miaka mitatu na kuuza duka...
Habari wakuu,
Kama unajua au una ndugu/ rafiki anaweza kuigiza sauti ya Magufuli kwa kiwango cha juu kabisa tuwasiliane.
Kazi ya mtu huyo itakuwa ni kuongea kama dakika mbili tu kwenye harusi...
Za leo wakuu, Nimefungua biashara ya chipsi maeneo ya UDOM( Dodoma),nimenunua kila kitu pamoja na kulipa gharama ya frame miezi mi4,,,Sasa tatizo linakuja sina hela ya viazi na mafuta,,Kwahiyo...
Nina shahada ya biashara upande wa masoko(B.Com Marketing) ninatafuta kazi ya kuuza au kutafuta masoko(sales/marketing).Kwa ambaye anayeweza kunisaidia aje pm tuyajenge. Nipo Mwanza Ila naweza...
Nisaidie kuisambaza hii, tafadhali
Tangazo la kubadilishana kituo cha kazi mimi Yusuph Peterson Kisunzu mtumishi wa halmashauri ya wilaya ya Sikonge kwa kada ya tabibu msaidizi II ninatafuta mtu...
Naitwa Goodluck nina umri wa miaka 3, nimesoma NIT kozi ya Advanced Driver's Grade Two-VIP.
Nina uzoefu wa miaka 4 katika kazi ya udereva na nina endesha gari za aina zote.
License Class A, A2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.