Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Wakuu, sijawahi kupitia unyonge, upweke na wasiwasi kama huu ninaopitia hivi sana. Mpenzi wangu ni mwanachuo katika chuo mkoa X. Wanakatazwa kutumia simu. Huwa anatumia simu za walimu wake...
9 Reactions
81 Replies
1K Views
Nikimalza la Kwanza anadai amechoka na anaogopa la pili anasema nachelewa Sana kumwaga. Nishamfatilia Sana hana michepuko wala nini na ni church girl. Nawaza kuwa na plan b Ila ana wivu balaa...
7 Reactions
73 Replies
1K Views
Hivi kwa mtu uliyempenda sana,akikuacha unaweza ukalia ama ukafeel mpweke ama ukafeel discourage
5 Reactions
30 Replies
352 Views
Habar za mda huu ndugu Kuna kitu nimekuwa nikikigundua kuhusu maisha yangu kadiri ninavyozidi kukaa na kujitafakari mimi ni mtu ambaye mara nyingi napenda kuwa busy na kujishughulisha na mambo...
6 Reactions
34 Replies
729 Views
Nina hasira na huzuni kwa pamoja, naomba niende direct kwenye mada .... Akitokea Kaole Secondary School alienda kusoma Dar es salaam School of Journalism (DSJ). Mwamba akiwa mpambanaji, kama...
11 Reactions
121 Replies
3K Views
Iko askari mpumbavu aliamua kumsomesha mpenzi wake chuo kikuu alitumia takriban 800,000 za kenya baada ya kuhitimu mpenziwe alimuacha na kusema ako na elimu zaidi ya polisi. Polisi alimfuata kwake...
2 Reactions
11 Replies
440 Views
Mwanaume usijikite sana kwenye mapenzi, saka hela kwanza na kujiekeza. Usipoteze muda mwingi kutafuta mapenzi, utaumia, aliye na uwezo kuliko na atakunyang'anya demu...
1 Reactions
22 Replies
423 Views
  • Redirect
Wapo wanaume wenzetu mamia kwa maelfu walishawahi kutapeliwa kwa kuaminishwa kuwa mchumba wake ni bikira. Hawa ni wanaume ambao wengi wao Mkuu wa makuhani Natafuta Ajira huwaita NICE GUY au mimi...
2 Reactions
Replies
Views
Hili jambo linaniumiza kichwa sana unakuta mtu anahamasisha tusioe ilihali yeye yumo kwenye ndoa. Mzee wa kaliua ukimsikiliza mambo yake huko Instagram, yeye na wrngine wana kandia ndoa sana...
9 Reactions
113 Replies
1K Views
Kila mwanaume ana sehemu hatari aliyowahi kupita, akasema; ‘Kama sikupata UKIMWI pale basi sitaupata.’ Ilikuwaje kwako?
7 Reactions
35 Replies
755 Views
Haiwezekani!
5 Reactions
11 Replies
354 Views
Bbbbb
11 Reactions
421 Replies
31K Views
Sasa ni uhuni tu unatamani maana kupendapenda kuna maumivu.Wanawake wengi hawana upendo, chenye wanataka n hela.
6 Reactions
30 Replies
439 Views
Nakupa mbinu hii, unaweza kudhani hizo elfu tano tano unazotoa haziwezi kuimaliza account yako basi utakuwa unajidanganya, hizo hela unazotumia kuhonga hao wanawake hazirudi mfukoni mwako,umetoa...
8 Reactions
17 Replies
369 Views
Dunia haijali chochote kuhusu mwanaume mpaka unapokufa, ukiwa tajiri au kuna namna walimwengu wananufaika nawe. Jamii imeshakua programmed kuwaonea huruma wanawake lakini mwanaume anapoanguka...
50 Reactions
96 Replies
2K Views
Habarini, Kwenye mahusiano mengi sahivi, ya watu wangu wa karibu walionizunguka na mitandaoni pia naona mijadala mingi wadada wakiwa wanataka wanaume wenye hela nyingi ambao sio wabahili. Tuje...
11 Reactions
103 Replies
1K Views
Mimi ni mwanafunzi wa chuo, binti mwenye sura ya kawaida lakini anayejua kuitumia. Natabasamu na kuongea kwa upole, lakini ndani yangu nimebeba maumivu makali sana. Na leo, nimeamua kusema ukweli...
13 Reactions
89 Replies
4K Views
Msaada wenu wana JamiiForums tafadhari.
1 Reactions
23 Replies
277 Views
Wakuu, kipindi kilichopita, tangu nijiunge humu kwenye jukwaa hili maarufu tanzania, nimekuwa nikiandika nyuzi ambazo kiukweli ukiziangalia kwa jicho la u great thinker unagundua kuwa nyuzi hizo...
4 Reactions
8 Replies
207 Views
Wilaya ya hai mkoani Kilimanjaro ni hatari sana, yani suala la mwanaume kula mbata n jambo la kawaida na ukicheza unasukumiwa na ngumi.Yan wadada wakimachame na waogopa kama moto. Sijui wanaum...
2 Reactions
17 Replies
219 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…