Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Yani, waamasai ndilo kabila lenye wanawake wenye heshima, na ukioa mmaasai atakuheshimu kweli kuliko ukikimbizana na wachaga wasioelewa somo. Mimi naona bora mmasai kuliko mchaga...
7 Reactions
51 Replies
865 Views
Yani uyo mwanamke kakaa kijanja anajua kwa madhaifu aliyonayo ukimfunua tu mara moja utotaka kurudia tena ndo maana anakunyima iyo ni defensive mechanism yake Mwanamke anayejiamini na uanamke...
4 Reactions
49 Replies
904 Views
Binadamu amekuwa na vitu vyake anavyovipenda sana na vingine kuvichukia sana. Vipo anavyovipenda kidogo na vingine anavichukia kidogo, lakini vipo ambavyo hajui kama anavipenda ama anavichukia...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Kichwa cha Uzi: Jinsi ya kutongoza wanawake ( mbinu za ndani sana hakuna mwanamke atakataa ) kabla ya kuanza kuandika na kushusha nondo naomba radhi kwakua siku za karibuni sikwepo sana online...
10 Reactions
88 Replies
2K Views
Unaishi peke yako. Huna rafiki wa karibu, sasa ikatokea umepata Changamoto ya kiafya kama kuugua Ghafla usiku au kuumia bahati mbaya Mnawezaje kupata usaidizi wa dharura? Au ndio ile ku adapt...
8 Reactions
36 Replies
587 Views
Mambo ya kushangaza kabisa, mbele ya mchungaji mwanamke ni mpole, mnyenyekevu, anafunga mdomo wake, akisikiliza zaidi kuliko kusema. Hata akisema maneno ni machache tu....Ameen...amina... Njoo...
3 Reactions
5 Replies
208 Views
Hivi sasa kinachoendelea huko mitandaoni ni kelele kwamba Mheshimiwa flani kaachana na mke wake baada ya DNA kuonyesha mtoto si wa kwake, Hakuna chanzo rasmi kilichothibithisha kwa uhakika kama...
14 Reactions
87 Replies
3K Views
Kibaka akitaka kumwibia mwanamke, kwanza kabisa ataangalia kama ameongozana na mwanaume. Muuza magari akitaka kumuuzia mwanamke gari bovu au kumpiga kwenye bei, ataangalia kwanza kama yupo na...
14 Reactions
38 Replies
892 Views
Watu wengi sana wanatumia huo mfumo, maana hakuna gharama, n kuvuta tu la kwako bila yeyote kujua. Hata mimi nimesogeza la kwangu, hatatujamaliza wiki mbili tumeachana...
5 Reactions
13 Replies
327 Views
Usiwaamini wanaofanya dharau kuwa jambo la kawaida Wanapokupotezea — wanadai wako busy. Wanapokukosea— “human nature.” Lakini wewe ukifanya hata nusu ya hayo ghafla umebadilika, Umeanza kiburi...
5 Reactions
4 Replies
187 Views
Bongo kuna tatizo gani? Kwanini mwanaume au mwanamke akionekana barabarani na mpenzi wake wakiwa pamoja huwa idadi kubwa ya watu inawashangaa sana? Kwani mapenzi Bongo ni dhambi, aibu au dhahabu...
6 Reactions
33 Replies
587 Views
Wadau naomba ushauri wenu. Nimekutana na mwanamke ambaye kiukweli yuko vizuri kifedha kuliko mimi. Tatizo linalonichanganya ni kwamba ana tabia ya kujiangalia yeye tu na wakati mwingine anaonesha...
12 Reactions
116 Replies
2K Views
Nani atakubali mimi niwe dada yake ?? Natamani mwanaume m,moja wa kumuita kaka yangu. Naweza kusimama popote na nikasema nina kaka yangu. Nitamtambulisha kwa wazazi wangu kuwa naye ni mtoto...
31 Reactions
249 Replies
3K Views
  • Redirect
1. Uchovu 2 matiti kujaa 3. Hasira
1 Reactions
Replies
Views
Na sijui kwanini Wanawake wengi wenye haya Mashauzi ya kujifanya Wao ni wa Thamani kubwa Hivi huyu Dada ni wa Thamani hiyo kweli hata ukimuangalia tu hapa katika hii Picha Mjongeo? Angalia...
3 Reactions
21 Replies
681 Views
Soma yaliyomo kwenye hii Link: https://asubuhinews.com.free/update/doing-sexual-intercoursedatingfalling-in-love-is/3507574
6 Reactions
10 Replies
265 Views
Katika maisha 85% ya matatizo ambayo unaweza kupitia yanatokana na uhusiano wako na watu wengine waliokuzunguka ndiyo maana kila mtu akianza kusimulia kufeli kwake, kuharibikiwa kwake atakuwa na...
4 Reactions
4 Replies
448 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…