Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hii kweli kauli ya kutoa mke kumwambia mumewe?!!! Ananiitaje 'baba' kwanza?!!! Halafu hayo yote eti baada ya kutumia ujumbe wa kumtaka amrudishe nyumbani Binti yetu (mkubwa wa kidato Cha kwanza)...
7 Reactions
24 Replies
394 Views
USIMPUUZE MKEO Mwanamke akikasirika, mara nyingi huongea kwa maumivu sio logic Usimjibu kwa ubishi, jibu kwa utulivu. Upole wako unaweza kubadilisha hali. Imani yake ikivunjika, hairudi...
7 Reactions
7 Replies
349 Views
Familia nyingi sikuhizi kuna watoto wasiozidi watatu, wengi hudhani ni family planning (kuzaa kwa mpango) lakini ukifuatilia kwa ndani ni kutokana na ongezeko la kina mama wanaojifungua kwa...
7 Reactions
73 Replies
1K Views
Nimekuja mkoa wa Kilimanjaro kusherekea Sikukuu yangu ya Kuzaliwa. Huu mkoa una warembo sana, nimekaa Moshi mjini vijijini na Arusha balaa. Jisafirishe mwenyewe urudi na mtu.
9 Reactions
13 Replies
757 Views
Baada ya kuhamishiwa mkoani dar kikazi siku moja nikiwa kwenye gari yangu nikavutiwa na binti mmoja kituoni alipokuwa amesimama nikampa lift kuanzia hapo tukazoeana na mwisho akapajua home...
31 Reactions
342 Replies
20K Views
Nilimkuta mke wangu ni bikra kabisa yaani hymen iko slide kabisa kwahiyo mimi ndiyo nilikuwa mtu wa mwanzo kumtoa hiyo bikra ila na bado wahuni wimechapa bila hata ya kupindisha kabisa ila masela...
22 Reactions
936 Replies
62K Views
KAGERA: SERIKALI kupitia Wizara ya Katiba na Sheria imezindua mafunzo ya kuwajengea uwezo wajumbe wa Bodi za Usuluhishi wa Migogoro ya Ndoa mkoani Kagera, ikiwataka kujikita katika jukumu la...
2 Reactions
10 Replies
202 Views
Wakuu nadhani mko poa Katika maisha ya mahusiano, kuna wakati mnatofautiana au zinatokea changamoto mpk kupelekea kuachana au kutengana. Kumrudia mpenzi wangu wa zamani(my ex) Huu haukuwa mpango...
3 Reactions
152 Replies
12K Views
Nikiwa town kwenye mishe zangu,Kuna mahali mchana huwa napenda kwenda kula,wakati natoka Kuna mahali nilipita kwenda kuchukua mkoba wangu Eeeeh sinikasikia naitwa,kugeuka namuona mbaba mtu mzima...
13 Reactions
43 Replies
2K Views
Mfalme wa HipHop Mziki wa kizazi kipya Nchini Marekani Mzee Snoop Doggy ametoa ushauri kwa Sisi kizazi kipya yaani Vijana wa leo. Mheshimiwa huyo amesema kama wewe ni Mwanaume na una Uwezo au uko...
22 Reactions
245 Replies
3K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu nahitaji mke awe na umri kuanzia 35+ njoo inbox
7 Reactions
87 Replies
1K Views
Nataka mke wa kuoa mm ni mwanaume wa miaka 40 nahitaji mwanamke yoyote ambaye yupo tayari na yupo serious kuoana au kuwa MARAFIKI aje inbox awe tayar kupima HIV nipo online karibu sana, nnapoishi...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Upi mtazamo wako kati ya mwanaume na mwanamke nani ana akili zaidi Kwangu Mimi naona kama wenzetu Kuna sehem wametupiga gape kwa sababu zifuatazo 1)Mwanamke akipata Hela anawaza namna ya...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Watu wengi wapo tayari kuanzia maisha na wenza wao Ila kuna mmoja bado anasuasua; ili kuwezesha kukutana Kwa watu ambao wapo tayari kuvutana muanze maisha muendele Kula mema ya nchi pamoja Kwa...
34 Reactions
2K Replies
235K Views
  • Redirect
Mwanaume mmoja mkazi wa kahama ame ibiwa sehemu zake za siri huko kahama. Wazee hiki sio kitisho au utani mambo yamesha kuwa mabaya, aisee tutaisha aisee.
3 Reactions
Replies
Views
“Mtazame mwanaume kwa kuangalia viatu vyake, mkanda wake, saa yake n.k…” Sawa, tunakubaliana mwanaume anatathminiwa kwa muonekano wake? LAKINI… Mwanaume akisema: “Mavazi yako yanaonyesha tabia...
11 Reactions
28 Replies
609 Views
Mwanaume unaweza kusex na mwanamke mwenye weusi kati kati ya mapaja (dark inner thighs)? Kama unaweza basi jua wewe ni jasiri ambae unaweza hata kutafuna jongoo. Binafsi siwezi kabisa labda kwa...
24 Reactions
206 Replies
18K Views
Hakuna kilicho badirika wanaume wa mtandaoni ni malaya kuliko wa uko mtaani kwenu wanaume wa mtandaoni ni wanakula af wanakupotezea ivyo yaani
16 Reactions
153 Replies
7K Views
Habari, Nakereka sana unakuta mtu unapishana na mwanamke ananuka jasho siyo kawaida, mtu ananuka kikwapa, harufu ya mikojo, ananuka nyapu, na harufu ya uvundo wa nywele pamoja na nguo zake...
26 Reactions
307 Replies
13K Views
Habari za muda huu wadau ningeomba niende moja kwa moja juu ya mada. Jamani wadada mnapokuja asubuhi kununua vitafunwa labda maandazi, vitumbua bagia na kadhalika basi muwe mnava sidiria jamani...
31 Reactions
129 Replies
10K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…