Maana Mungu ndio humpa mtu mke ila hatujui ni wapi kila mtu atakutana na mkewe,mimi namtafuta humu msichana atakayekuwa mama wa watoto wangu.Awe mcha Mungu(Ameokoka),umri 22-26 ,mweupe,asiwe mnene...
Kwa mwanamke ambaye hajawahi kuolewa, kabila na dini yoyote, elimu kuanzia f4, si lazima awe na kazi, umri miaka 25-33, awe mtanzania, urefu kuanzia 160-180cm, uzito kati ya kilo 58-70, asiwe...
She almost made me mad.
The day I set my eyes on her I couldint believe.
She looked like out of this Universe!!!!
Such a class woman. No words can ever describe her.
But mama umeniumiza sana...
Vigezo
Awe na umri kati ya miaka 18-24
Rangi so inshu lakini black is good
Aweze kujitegemea sio baby sina vocha
Awe na subira na muelewa wa maisha
Ajiamini na awe tayari kupima
kimo(Urefu)...
my name is nedson a finalist at DSM university studing engineering!
as my plan since earlier i intended to get married immediately as i graduate and to comply my plans a request any girl who iz...
Mimi ni mwanamke mwenye miaka 44 natafuta mwenza, mwenye mapenzi ya kweli nina mtoto moja wa kike.Napenda mwanaume mwenye kujishugulisha iwe biashara au kuajiriwa, kama ana watoto wasizidi 2, kwa...
salam kwa wote,.......wana Jf ushauri.....nina boyfriend ambae me na ye tunapendana sana....lyk vry inlove bt i have offred myself to my boyfriend more than twice i mean been to bed together..ts...
Habari zenu kina dada!
Nina umri wa miaka 30+ , a graduate, an employee, a committed christsian, six feet tall, a little thin, and slightly black.
am looking for :
a commited christian girl...
Habari za leo wanajamii forum, Mimi ni kijana wa miaka 28, naishi Dar, Nina degree moja ya utawala, natafuta rafiki wa kike kuanzaia miaka 21-28 ,elimu yake kuanzia kidato cha nne na kuendelea...
Habari za leo Wana jamiiforum. Moudy wa Sinza, Natatufuta mpenzi mwenye umbo nzuri, awe na tabia nzuri, asiwe mlevi, awe anaishi Dar,Elimu kuanzia kidato cha nne na kuendelea, umri kuanzia 22-...
Wana JR, niko hapa leo kutafuta mwanamke wa kuoa, ni kweli kwamba asilimia kubwa ya mahusiano yanayodumu au kukubalika ni kwa wale watu ambao wanafahamiana kwa muda mrefu, kwamba utamjua mtu...
Heshima kwenu wana Jukwaa
Natumaini kwa uwezo wake Mungu wote hatujambo. Kama kuna mgonjwa basi Namuomba Mungu amponye ili tuendeleze ujenzi wa taifa letu.
Nami leo Najitokeza katika jukwaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.