Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Arshad Sharif alikuwa Mwandishi aliyejulikana kwa Ukosoaji mkali dhidi ya Viongozi wa Kijeshi wa Pakistani na ufisadi katika siasa hadi alipokimbili Kenya kutafuta hifadhi baada ya kupokea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Deni letu la Taifa linalipwa kwa Kodi hizi ambazo Daily zinaongezeka, na mbaya zaidi hatujui nani alikopa na kwa matumizi gani.Ila tunalipa. Sana tunacho jua kuna Deni la Taifa ila lilikopwaje...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Wakenya hawana akili wanaharibu vitu vilivyojengwa kwa pesa yao wenyewe. Ni mjinga pekee ndio anaweza kuharibu vitu alivyojenga kwa pesa yake mwenyewe. Demokrasia ya Kenya haina balance...
23 Reactions
144 Replies
5K Views
Aisee, hatimaye kesho ndio kesho, Ruto atakutana na na jamaa wa Gen Z kule space. Make mwnzo alikuwa akutane nai ikulu ila ikaonekana jamaa hawana offisi wala kiongozi so kama anataka kukutana nao...
11 Reactions
64 Replies
3K Views
SUMMARY OF PRESIDENT RUTO'S SPEECH ▪️Dissolving 47 state agencies, to be merged with overlapping ministries ▪️Appointments of Chief Administrative Secretaries immediately suspended Govt advisors...
2 Reactions
12 Replies
930 Views
Na hii ndio mbinu aliyoitumia JPM, badala ya kuwabebesha wananchi mzigi mkubwa wa kodi, serikali zinapswa kuacha kununua mashangingi mapya na fenicha za maofisini kila mwaka, badala yake yafanyiwe...
4 Reactions
1 Replies
492 Views
President William Ruto is reportedly set to conduct a major Cabinet reshuffle which will result in the abolition of about seven ministries. A front-page publication by a local media house citing...
2 Reactions
4 Replies
728 Views
Even in our Country Tanzania 🇹🇿, leaders must change their lives the way they are living. Stolen tax collected from poor peoples. Maisha yao ya kifahari ni chukizo kwa wananzengo wa nchi hii...
5 Reactions
7 Replies
742 Views
Afisa mkuu wa polisi aliye stationed katika Kituo cha Polisi cha Kegonga huko Migori alijipiga risasi kimakosa alipokuwa akimpa silaha mwenzake ndani ya kituo siku ya Jumatatu. Kulingana na...
3 Reactions
2 Replies
379 Views
Wakati vijana wameingia mtaani waliitisha mkutano wakasema Rais Ruto asikilize hao vijana wanateseka wanahitaji ajira na mengineyo. Mh Ruto akagoma kusaini akaamua kuwasikiliza. Hawakurudi...
1 Reactions
3 Replies
364 Views
Swali kwa wajuzi, Bajeti ya Kenya haijapita hadi leo. Mwezi huu wa saba wafanyakazi wa Serikali na wabunge ikiwemo wanajeshi, mishahara yao italipwa au la?
0 Reactions
14 Replies
643 Views
The moment a Mombasa businessman fired at protesters to keep them away from his premises. Several people were injured and rushed to hospital
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Ruto alijichanganya mwenyewe, he is the only African leader ku jiingiza rasmi kwenye ugomvi wa nato vs russia, china &co., Ruto alicondem rasmi live kwamba Russia ni aggressor, ruto alipewa status...
1 Reactions
4 Replies
554 Views
Rais wa Kenya ,William Ruto amesema kutokana na Wananchi wa Kenya kuukataa mswaada wa sheria ya Bajeti Maarufu kama Finance Bill uliozua Maandamano makubwa, Serikali yake italazimika kukopa Zaidi...
6 Reactions
89 Replies
3K Views
Vijana waandamanaji wa Gen Z wameonya Wachungaji na Mapadre kutoruhusu Harambee za Wanasiasa kesho na wale watakaokaidi watakuona Cha moto Gen Z wamesema kesho watatawanyika katika Makanisa yote...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Kenya kimewaka upya. Nairobi na Waswahili wa pwani ya Kenya nao wamestuka sasa. Hawamtaki Jaba. https://m.youtube.com/watch?v=VRos8A7ThPI&pp=ygUNa3RuIG5ld3MgbGl2ZQ%3D%3D...
3 Reactions
38 Replies
2K Views
Idadi ya waliojeruhiwa katika maandamano ya kupinga serikali yanaendelea kuongezeka, huku watu wengine 35 wakilazwa Hospitali ya Taifa ya Kenyatta na majeraha ya risasi na majeraha mengine tofauti...
1 Reactions
0 Replies
423 Views
Kauli kama hii ni mwiba mkali sana kwa muzee RAO ambaye anajinasibisha kuwa kinara na bingwa wa mabadiriko ya siasa za Kenya. Jamaa anamponda Odinga na Uhuru na kusema waende wakafanya bargain...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi (IEBC) Kenya yupo wapi? Au nae anaandika kitabu chake (Autobiography) ili awaombe wa-Kenya msamaha?
2 Reactions
4 Replies
527 Views
Makamu mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Juliana Cherera, amezidi kumuanika Mwenyekiti, Wafula Chebukati, akimshutumu kwa "kukosekana kwa uwazi" katika kushughulikia uchaguzi...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…