Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

Update At least 16 people have been killed in nationwide rallies against police brutality and government corruption in Kenya, according to Amnesty International and the Kenya National Commission...
1 Reactions
43 Replies
3K Views
https://vm.tiktok.com/ZMSxNxDRE/
0 Reactions
8 Replies
360 Views
Waandamanaji wakicheza mpira wa miguu katikati ya moshi wa gesi ya kutoa machozi katika mitaa ya Nairobi wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya Juni 25. Tukio hilo lilitokea katikati ya maandamano...
0 Reactions
3 Replies
374 Views
Mahakama Kuu imekataa kushughulikia ombi la mdomo lililotaka Rais na maafisa wengine wa serikali watangazwe kuwa wameidharau mahakama kutokana na uteuzi wa wajumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi na...
0 Reactions
1 Replies
259 Views
Jaji Mkuu Mstaafu wa Kenya, David Maraga amejiunga katika maandamano ya vijana (Gen Z) jijini Nairobi akilaani ukatili wa Jeshi la Polisi dhidi ya vijana. Maelfu ya waandamanaji nchini Kenya...
0 Reactions
2 Replies
368 Views
BUNGE LA KENYA LALAZIMIKA KUAHIRISHA KIKAO CHAKE KUTOKANA NA UPUNGUFU WA WABUNGE HUKU MAANDAMANO YA GEN-Z YAKIENDELEA Bunge la Kitaifa la Kenya lililazimika kuahirisha kikao chake mapema leo...
0 Reactions
1 Replies
279 Views
Wakuu Gazeti la Daily Nation la Kenya limechapisha orodha ya watu waliofariki kutokana na maandamano ya mwaka 2024 huko Kenya ambao wengi walikuwa ni Genz. Je kuna gazeti la Tanzania linaloweza...
1 Reactions
6 Replies
475 Views
1. Ilianza na Finance Bill, ikabadilishwa to take care of their demands. 2. Loss of life inaendelea. jana wamekufa 8 3. Rutto amesema watulie atawasikiliza, hawataki Sasa wanataka nini?
1 Reactions
26 Replies
986 Views
Mamlaka ya Mawasiliano ya Kenya (CAK) imetoa agizo kwa vituo vyote vya runinga na redio nchini kusitisha mara moja matangazo ya moja kwa moja ya maandamano yanayoendelea ya tarehe 25 Juni. Katika...
0 Reactions
6 Replies
789 Views
Wakuu, Vituo vya Televisheni vya KTN na NTV vimeondolewa hewani baada ya kuendelea kurusha matangazo ya moja kwa moja ya Maandamano, ikielezwa kuwa ni baada ya kukiuka amri ya kutoonesha...
3 Reactions
5 Replies
532 Views
"Mahakama yasitisha agizo la Mamlaka ya Mawasiliano lililopiga marufuku vituo vyote vya runinga na redio kurusha matangazo ya moja kwa moja ya maandamano, na kwamba kituo chochote kilichozimwa...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
Video hii ikonyesha maumivi ya watu walijitoa kupambani haki lakini maisha yao yakakatishwa njiani Kwa masikitiko na heshima kuu, tunawakumbuka mashujaa zaidi ya 60 waliopoteza maisha yao...
0 Reactions
10 Replies
368 Views
Rais Ruto amesema jukumu la polisi ni kulinda raia na mali zao na siyo kuwaua ama kuwazuru Hivyo ameagiza uhalifu wa mapolisi ushughulikiwe sawa na uhalifu mwingine Source: Citizen tv
14 Reactions
63 Replies
2K Views
πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ» Siasa za kikabila Siasa za kimafia Siasa za kugawana juu kwa juu Madhara yakeπŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»
5 Reactions
40 Replies
2K Views
β€œAlitudanganya!” Mama yake Kennedy Onyango, kijana aliyepigwa risasi na polisi wakati wa maandamano ya Gen Z huko Rongai, amemtuhumu Rais William Ruto kwa kutoa ahadi za uongo kuhusu haki ya...
0 Reactions
1 Replies
276 Views
https://youtu.be/X61w6HrLHms
0 Reactions
3 Replies
267 Views
Vyombo vya habari nchni Kenya vimeripoti kwamba mwanaume mmoja mwenye umri wa miaka 44 amefariki akiwa chini ya ulinzi wa polisi katika Kituo cha Polisi cha Turasha kilichoko Wadi ya Githioro...
0 Reactions
1 Replies
293 Views
Afisa ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma nchini Kenya (ODPP) imeidhinisha mashtaka ya mauaji dhidi ya watu 6 wakiwemo maafisa wa polisi 3 wakiongozwa na mkuu wa kituo cha polisi cha Central jijini...
0 Reactions
1 Replies
265 Views
Baba wa Boniface Kariuki kijana aliyepigwa risasi na polisi wakati wa maandamano nchini Kenya amenasa kwenye mtego wa matapeli waliodai kuwa maafisa kutoka Mfuko wa Afya ya Jamii (SHA), na...
0 Reactions
9 Replies
543 Views
Familia ya Mpanda Mlima kutoka Kenya, Joshua Cheruiyot Kirui, ambaye alifariki dunia akipanda Mlima Everest Mei 22, imesema Mwili huo utaachwa alikofia kutokana na gharama na hatari zinazohusishwa...
4 Reactions
35 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…