Middle income haiwezilishwa na least developed country. Tunaendelea kuboresha sector yetu ya ukulima. Tazama video
joto la jiwe ulikuwa unalialia sana kuhusu Galana kulalu sasa tazama video.
Wafungwa 31 wamekutwa #CoronaVirus katika gereza lililoko Nairobi. Idadi hiyo imethibitishwa baada ya sampuli 59 kupimwa kwenye gereza hilo Jumapili, Mei 31
Timu ya Uokoaji na Dharura ya Nairobi...
William Samoei Ruto Achaguliwa kuwakilisha Afrika ulimwenguni OGP
=======
Deputy President William Ruto (above) has been elected to represent Kenya and the continent in a global governance...
MY TAKE; Wakenya wanaumia sana na mafanikio ya Tanzania, wivu na roho mbaya zinawafanya washindwe kushughulika na mambo yao badala yake kujaribu kuichafua Tanzania.
Kenya imeongeza propaganda zao...
Habari ndugu zangu, nawaomba ndugu zangu naomba wakenya mnisaidie hivi jubilee ni chama kimoja au muungano? Na mfumo wa viongozi ukoje au taasisi zake zikoje hasa kimuundo?
Karibu wadau
143 Kenyans have tested positive for the new coronavirus in the last 24 hours, Health CAS Dr. Rashid Aman has confirmed
The new cases are from 2959 samples tested between Friday and Saturday and...
Ningependa kuja hapo Namanga upande wa Kenya ili niiuze hii mishikaki. Lengo ni kupata pesa za Kikenya ili kukuza kipato changu.
As we speak 1 Kenyan bob=21.6 Tshs.
Natanguliza shukrani.
Idadi ya maambukizi ya #COVID19 imeongezeka baada ya maambukizi 127 mapya kuthibitika na kufanya nchi hiyo kuwa na jumla ya maambukizi 1,745. Idadi hiyo imekuja baada ya kupima sampuli 3,831...
President Uhuru Kenyatta's government is among three administrations elected on the steering committee of the Open Government Partnership (OGP), a global body with representation from 78 countries...
MY TAKE: Kumbe ndio sababu Ethiopia inazidungua ndege za Kenya huko Somalia, na Mara kwa Mara ENDF wanavuka mipaka na kuingia Kenya na kuua wakenya na kurudi Ethiopia bila KDF kuchukua hatua...
Katika Hali isiyokuwa ya kawaida wanajeshi wa Kenya KDF wamewaua watoto wawili wanaokuwa wanaishi na baba yao ambaye anashukiwa kuwa Ni gaidi wa ALSHABAB.
Hali hiyo ilitokea wakati polisi...
Kenyan military outshined again by our neighbours
A wreckage of Kenyan plane in flames after being downed by Ethiopian soldiers
There a time when Kenya was a dwarf in the region in terms...
MY TAKE: Hivi hii hali angeiona Magufuli, kuna ambaye angebaki ofisini?
----------------
A photo of a poorly done road between Bulbul and Gataka in Kajiado County by a certain contractor has...
MY TAKE: Despite a public statement by Uhuru that no vaccine trials r to be conducted in Kenya following an announcement by a scientist at Oxford that Kenya will be a site of trials for the new...
CBK Governor Patrick Njorge projects a tough second quarter of the year, as a result of disruptions caused by COVID 19. He however expects recover in most sectors after June this year, if economy...
Kazi takribani millioni nne kupotea. Ni kilio na kusaga meno. Kwisha kazi yao, Kushobokea wazungu kunazidi kuwaponza.
=====
Makali ya janga la COVID -19 yanazidi kushuhudiwa nchini huku...
Katika Hali isiyokuwa ya kawaida wanajeshi wa Kenya KDF wamewaua watoto wawili wanaokuwa WAMESHIKILIWA Kama hostages na ALSHABAB. Hali hiyo ilitokea walipokuwa wanafanya jitohada za kuwaokoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.