Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

On JF:

So far, many Kenyans have taken part in a “tree-hugging” challenge as a form of activism.
0 Reactions
3 Replies
134 Views
Mwanasheria na mwanaharakati wa kisiasa anayezua mijadala, Miguna Miguna, ametangaza nia yake ya kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu wa 2027. Tangazo lake linaongeza ushindani katika...
1 Reactions
2 Replies
245 Views
Mamlaka Huru ya Usimamizi wa Polisi (IPOA) imeanza uchunguzi baada ya video ya CCTV ya dakika nane, inayoonyesha polisi wakiwashambulia vijana katika ukumbi wa pool table wa Nandi Hills, kusambaa...
1 Reactions
1 Replies
132 Views
Katika kesi ya mauaji ya Shakahola, mmoja wa washukiwa wakuu, Enos Amanya maarufu kama Hallelujah, ameachana na kukataa na akiri hatia ya mauaji na mazishi ya zaidi ya watu 191 mbele ya Mahakama...
2 Reactions
3 Replies
501 Views
Baada ya kudaiwa kuwa Mgombea Urais Bobi Wine amechukuliwa na vyombo vya usalama na kupelekwa kusikojulikana hapo jana, Solomon Kampala ameandika kupitia mtandao wa X kuwa alifanikiwa kutoroka...
1 Reactions
7 Replies
289 Views
  • Redirect
Katika kesi ya mauaji ya Shakahola nchini Kenya, Enos Amanya maarufu kama “Hallelujah” ameachana na kukataa na akiri hatia ya mauaji 191 mbele ya Mahakama Kuu ya Mombasa. Amanya, mmoja wa...
0 Reactions
Replies
Views
Serikali ya Kenya kupitia Wizara ya Afya imetangaza kusitisha utoaji wa vibali vya kazi kwa madaktari wa kigeni wenye vigezo sawa na madaktari wazawa ikisema vibali vitatolewa tu kwa madaktari...
0 Reactions
1 Replies
145 Views
MY TAKE Many of those uyoga buildings would have collapsed! Nairobi has 200 unsafe buildings
10 Reactions
72 Replies
7K Views
Takriban miaka 31 iliyopita, marubani wawili wa Kenya, Hussein Mohamed Anshuur na Mohamed Adan, walitembelewa na mgeni ambaye hawakumtarajia katika ofisi yao katika Uwanja wa Ndege wa Wilson, nje...
0 Reactions
0 Replies
193 Views
Basi imebeba abilia, lakini mtu anaamua kuifanyia fujo Basi yenye abiria. Mbaya zaidi anatoa Bastola ili ampige risasi Dereva. Wasiojulikana wametamalaki. Trafiki hata ulipoti hawanyi chochote...
12 Reactions
43 Replies
2K Views
A storey building under construction collapses in Kinoo, Kiambu County, leans into an adjacent 7-storey building causing serious damages. Residents say that the building caved in during the...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakili mmoja kutoka Nairobi amefungua shauri katika Mahakama Kuu akiomba kutolewa kwa amri ya kusitisha magari ya usafiri wa umma (matatu) kupiga muziki wa sauti kubwa, akisema kuwa tabia hiyo...
1 Reactions
1 Replies
129 Views
Serikali ya Kaunti ya Nairobi, kupitia Waraka wa Kamati ya Utendaji ya Kaunti (CEC) Na. 43 wa mwaka 2025, uliosainiwa Desemba 2025 na Mjumbe wa CEC anayesimamia Mitaa, Utawala na Rasilimali Watu...
0 Reactions
1 Replies
157 Views
Mahakama Kuu imeamuru kutaifishwa kwa mali zenye thamani ya shilingi milioni 76.2 zinazomilikiwa na aliyekuwa Gavana wa Kaunti ya Kiambu, Ferdinand Waititu, ikiwemo kurejeshwa kwa vipande viwili...
2 Reactions
4 Replies
303 Views
Wakenya 86 walioko nchini Myanmar wamekwama kwa zaidi ya miezi miwili wakikaa chumba kimoja, wakiiomba Serikali ya Kenya iingilie kati ili warejeshwe nyumbani. Wanasema hali wanayoishi ni ngumu...
1 Reactions
5 Replies
200 Views
Katika vurugu zilizotokea Octoba 29,2025 jijini Dar es Salaam miongoni mwa watu waliouawa ni pamoja na Mwalimu John Ogutu aliyekuwa akifundisha katika shule ya Msingi Sky. Baada ya mauaji hayo...
0 Reactions
3 Replies
211 Views
Utata umegubika kifo cha mwendesha bodaboda Jack Deon Maloba, mwenye umri wa miaka 23, aliyekamatwa Alhamisi jioni tarehe 11 Disemba, na kufariki akiwa katika kituo kimoja cha polisi jijini...
0 Reactions
1 Replies
163 Views
Licha ya umbo lake dogo, Peter Murigi mwenye umri wa miaka minane aliwavutia watazamaji huko Kiambu, katikati mwa Kenya, alipopanda jukwaani kuonesha weledi wake wa Kungfu. Murigi alikuwa...
0 Reactions
0 Replies
154 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…