Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers

On JF:

Nauza kiwanja makongo mwisho njia kwenda kanisa la katoliki kina ukubwa sqm 2231 bei ni ya kutupa 300m karibu sana eneo tambalale
1 Reactions
18 Replies
861 Views
Nauza kiwanja. Mahali: Chanika Lukooni nyuma ya stendi mpya inayojengwa ya Chanika. Kama unaelekea Mvuti unateremkia Videte. Ukubwa: mita 12 kwa mita 18. Bei: 7.5 m Mawasiliano: +255788745213
1 Reactions
6 Replies
596 Views
Introducing a Luxury Apartment Design featuring 2 modern units under one elegant structure: ➡️ GROUND FLOOR – Stylish Lounge, Dining Area, Open Kitchen, and a Public Toilet. ➡️ FIRST FLOOR – 2...
2 Reactions
44 Replies
931 Views
Kujenga fensi ni zaidi ya kuweka tu kizuizi—ni kuhusu usalama, faragha, na hata uzuri wa mazingira yako. Haya ndiyo mambo muhimu ya kuzingatia: 1. Aina ya fensi: Je, unahitaji fensi ya mbao...
0 Reactions
2 Replies
939 Views
Ingawa wengi hupendelea mafundi wa karibu, kutumia fundi kutoka mbali kunaweza kuwa na faida maalum kulingana na mahitaji na mazingira ya mradi wako. Hapa kuna baadhi ya faida zake: 1. Utaalamu...
3 Reactions
12 Replies
970 Views
Tofali za kuchoma ni imara zaidi kuliko tofali za block za saruji. Zina nguvu na uimara mzuri, na zinaweza kuhimili uzito mkubwa, hivyo zinatumika sana katika ujenzi wa kuta za kubeba uzito...
4 Reactions
14 Replies
2K Views
Ni urembo safi wa nguzo na madirisha ,ipende ngumba yako.
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Naomba kushare, hivi urembo wa madirisha na kona vipo kwenye fashion au ni vimepitwa na wakati? Na kama vipo, vipi huko mbeleni? Binafsi navutiwa na huo urembo ila nakuwa nakuwa nasita kuweka!
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Habar Pasipo kupoteza muda naomba niende kwenye mada na niwaletee ufafanuzi mzuri kuhusiana na mada niliyoweka hapo juu. Baada ya kuona uhitaji mkubwa na muhimu wa watu kutaka kuwa na makazi Yao...
1 Reactions
8 Replies
642 Views
Ramani ya vyumba vitatu Sebule jiko dining store Choo Kwa maelezo zaidi +255678418272 whatsapp
0 Reactions
0 Replies
349 Views
Ramani ya vyumba vitatu Sebule jiko dining store Choo Kwa maelezo zaidi +255678418272 WhatsApp
1 Reactions
0 Replies
515 Views
#houseforsale Nyumba ya Ghorofa inauzwa 📍IPO Mbezi Beach - Kilongawima Location Nyumba inagusa lami ya Mbezi Beach ya chini kwa Mwamunyange Nyumba ya Ghorofa Ina vyumba v6 vya kulala, v4 master...
0 Reactions
0 Replies
254 Views
Pata car parking shade za kisasa na sehemu za kupumzikia na family yako kwa mawasilsiano whatsaap/call 0767583628
1 Reactions
0 Replies
293 Views
Hii ni kama urembo zaidi kuliko uhalisia.. Ama kumbukumbu za tulikotoka.. Kizazi hiki hakina wasomaji wa vitabu tena😪 internet imechukua nafasi ya kila kitu Nikikumbuka enzi za collection ya...
7 Reactions
80 Replies
2K Views
Ujio wa wachina na viwanda vyao umeturahisishia maisha kwenye sekta nyingi na mambo mengi.. Vitu tulivyokuwa tunatumia gharama kubwa kuvimilki siku hizi sio ishu tena Kwa malighafi zilizopo na...
10 Reactions
260 Replies
6K Views
NI HISTORIA RAIS SAMIA AFUNGUA RASMI DARAJA LA J.P. MAGUFULI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelifungua rasmi Daraja la J.P. Magufuli lenye urefu wa kilomita 3 na...
0 Reactions
2 Replies
399 Views
Modern House for Sale – Goba Half London An exceptional opportunity to own a contemporary underground single-storey home: 5 Self-contained Bedrooms, including a Grand Master Suite 2 Elegant...
2 Reactions
6 Replies
692 Views
Habari naitwa Eng James ni mtaalamu wa ujenzi wa nyumba za kisasa ,Ramani za nyumba ,BOQ N.K Wewe endelea kufatilia maandiko yangu utajifunza mengi kuhusu ujenzi na kupata ubora mkubwa sambamba na...
3 Reactions
0 Replies
373 Views
Habari, Leo nimeona niwaelimishe ndugu zangu namna ya kujua idadi ya tofali zinazohitajika katika ujenzi wa nyumba. Katika somo hili, tutatumia ramani ya chumba kidogo cha mita 3 kwa mita 3...
29 Reactions
45 Replies
22K Views
Back
Top Bottom