Yapata saa tisa za usiku.. alionekana pale,mwenye taharuki..
sura yake dhahiri ilijazwa na hofu,hofu yenye ambato la kutokujua afanye nini!
halikuwa moja lenye kumchanganya, yalikuwa mia...
Dah,,,
Neno ''FULSA'' linapooneka kwenye matangazo ya Televisheni ya Taifa TBC ni tusi kubwa Watanzania wazalendo....
Haiwezekani tukajivunia lugha yetu ya taifa halafu chombo tunachokitumia...
Is it correct to wite Tanzania electric campany or Tanzania electricity campany? Mi nafikiri inapapaswa kuwa Tanzania electricity campany! Nyie mnaonaje
Habari za asubuhi wana JF?
Kumekuwa na tatizo la kiuandishi kwa watu wengi kuanzia humu JF mpaka kwingineko kote kwenye mitandao ya kijamii mwanzo nilidhani ni kujisahau lakini sasa naona kama...
Habari zenu? Kwa anaejua liwa ni nini anisaidie kunifumbua macho, Inatokana na nini? Kwa lugha ya malkia inaitwaje? Nimeshindwa kupata majibu kutoka kwa wanaonizunguka nikakumbuka JF ni kiboko...
1)I........my notes already. a)have wrote b)writting c)writes d) written e)have written [ ].
2). Amina and ashura ......chasing the rate. a)is b)am c) being d) were e) been [ ]
If you have...
Kibanda-umiza ni neno la kiswahili lenye maana ya maeneo ambayo watu hukusanyika na kulipia huduma ya kuangalia michezo mbalimbali kama mpira wa miguu kwa njia ya televisheni. Naomba kujua kwanini...
Nyingine zinahitaji ujuzi, elimu na tajriba ya kiwango cha juu ukilinganisha na nyingine.
Mifano
1. Mhasibu: Mtaalamu wa kuweka hesabu ya fedha.
2. Mhandisi/injinia: Mjuzi wa kutengeneza...