Jukwaa la Historia

On JF:

KUMBUKUMBU YANGU NIKIANGALIA MAZIKO YA AHMED RAJAB Allah ana shani yake. Naangalia hii clip ya maziko ya Ahmed Rajab na imenirejesha nyuma na kunikumbusha mengi. Namuona hapo Talal mwanae...
0 Reactions
2 Replies
780 Views
Ngoja nikuelezee kwa ufupi, Mwezi Oktoba mwaka 1582 ulikuwa wa kipekee kwa sababu ya mabadiliko ya kalenda yaliyotokea. Huu ndio mwezi ambao Kalenda ya Kijuliani ilibadilishwa na Kalenda ya...
1 Reactions
2 Replies
479 Views
Kuna bustani moja katikati ya jiji la Dar es salaam (katikati ya barabara ya Samora, India na Mosque) maeneo ya clock tower. Ukifika katika bustani hiyo, kitu cha kwanza utakachokiona pale ni...
22 Reactions
300 Replies
87K Views
Fundi cherehani wa kwanza wa Kihindi huko Kisumu- Kenya mnamo 1890 ambaye alianzisha Mashine ya Kushona, jina lake lilikuwa Charan Singh . Wajaluo waliamua kuiita mashine hiyo CHARAN. Waganda...
8 Reactions
24 Replies
2K Views
Habari zenu wana JF leo nimeona sio mbaya nikiwaletea hadithi fupi ya Mussa alivyo tumwa Kwa Firauni na Majibizano kati ya Mussa na Mungu wake juu ya mikakati ya kumkabili Firauni, Mungu...
2 Reactions
7 Replies
677 Views
https://youtu.be/7-aawj-gB-8?si=MdmVCSuiHMShsedm
0 Reactions
1 Replies
433 Views
Tarehe 17 October 1917, maelfu ya watu takriban watu 70,000, walishuhudia jua likifanya kitu kisicho cha kawaida, waliweza kuliangalia kwa takriban dakika 15 bila kuumia macho, waliokua wanaliona...
5 Reactions
27 Replies
2K Views
Unamkumbuka Andrew Arshavin?! Wengi wanamkumbuka Andrew Sergeyevich Arshavin, kama winga machachari aliyekiwasha ndani ya klabu ya Arsenal. Lakini duru za kijasusi ulimwenguni zinamtambua kama...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
Wakamba ni kabila la watu wa Kenya wanaoishi Ukambani, eneo lililopo kati ya Nairobi, Voi, Mlima Kenya, na Mlima Kilimanjaro. Wakamba ni kabila la nne kwa ukubwa nchini Kenya. Lugha na Utamaduni...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
MAKTABA YA CCM DODOMA Maktaba ya CCM Dodoma imesheheni vitabu vingi na majarida mengi. Mara ya mwisho miaka mingi iliyopita nilipokuwa hapo maktaba ilikuwa chumba kitupu mfano wa ukumbi mrefu...
0 Reactions
4 Replies
534 Views
Jumanne, Januari 14, 1958 United iliichapa Red Star Belgrade mabao 2-1 katika mechi ya kwanza ya raundi ya pili ya Kombe la Ulaya kwenye uwanja wa Old Trafford. Jumatatu, Februari 3, 1958 Kikosi...
6 Reactions
14 Replies
951 Views
Bahari ya Chumvi, mojawapo ya maajabu mazuri zaidi ya dunia, ni ziwa la chumvi ambalo liko kwenye sehemu ya chini kabisa ya Dunia. Mpaka wa Yordani kwa Mashariki, na Israeli na Ukingo wa...
24 Reactions
81 Replies
4K Views
Historia ya Kweli ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda KILIO CHA MIFEREJI YA DAMU IENDAYO ETHIOPIA Sasa, unaweza kupata nakala za Kitabu changu cha "NYUMA YA ULIMWENGU WA SIRI NA UJASUSI". kitabu...
99 Reactions
2K Replies
498K Views
Majuma mawili yaliyopita kwenye group letu moja kuna mwenzetu mmoja aliandika maneno hayo hapo chini: "Jamani historia nzima ya Tanganyika ni Sykes and Sykes and Sykes and Sykes." Nadhani...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
PICHA HII ILISTAHILI SANA KUWAPO CCM MAKAO MAKUU DODOMA Picha hiyo hapo chini ina historia nzuri ya Dodoma kwanza kwa kupatikana kwake. Nilipokuja Dodoma kwa mara ya kwanza katika miaka ya 1980...
1 Reactions
0 Replies
503 Views
Haiti ndo nchi iliyopata uhuru kimafia kuliko nchi yeyote duniani na mara nyingi huwezi sikia watu au hata mashuleni ikifundishwa Haiti ilikua inajulikana kama saint-Domingue (sandoming...
9 Reactions
30 Replies
2K Views
Tumekuwa tukisema walijenga waafrika weusi zile pyramids. Na tunasema zamani waafrika walikuwa wana akili sana (wazungu wakaiba akili bila shaka) tukabaki mabumunda tu. Au sivyo? Sawa weusi ndo...
0 Reactions
5 Replies
653 Views
MHADHARA: MCHANGO WA TABORA KATIKA KUPIGANIA UHURU WA TANGANYIKA (1945 - 1961) Niko Tabora toka jana usiku. Mwaliko wa Wazee wa CCM Tabora Kuadhimisha Kuzaliwa kwa CCM tarehe 5 February 1977...
0 Reactions
2 Replies
636 Views
Tanganyika haijawahi tawaliwa na mwingereza hivyo kusema ilipata uhuru toka kwa mwingereza ni uongo Tanganyika ilikuwa tu protectorate sio colony la muingereza Wanaosema waingereza walikuwa...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Wakuu msaada kwenye tuta, gari nimeagiza hata miezi mitatu haijapita ila rangi inapauka kwa speed kali sana! Nilinunulia cover wakati inafika tu ila haijasaidia kitu. Ila cha ajabu nina jirani...
3 Reactions
25 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…