Jukwaa la Historia

On JF:

Hivi nani hasa ni mzanzibari halisi!? Maana nimefatilia nimegundua wanaotaka muungano uvunjike ni wale wenye Asili ya uarabuni! Sasa je zanzibar ilikuwa ya waarabu!? Maana historia inasema...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
"TUKUMBUSHANE" 1.Hivi Gazeti la Mwanahalisi liko wapi? 2.Dr.Ulimboka amehamia nchi gani? 3.Mgomo wa walimu lini? 4.Mafisadi wa EPA watanyongwa lini? 5.Unakumbuka mbunge analipwa posho kiasi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakoloni weusi wa pili hapa tz tunajua wana polisi, usalama wa taifa, tra na fedha zetu wananchi wanazitumia kuhakikisha wanadidimiza mambo hata wafanyabiashara, wanawahonga wengine wanaojitoa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WARENO 1500 – 1800 Ukiristo uliletwa kwa mara ya mwanzo Zanzibar na Wareno.- Wareno wakielekea juu kutoka kusini baada ya kufanikiwa kuizunguka Rasi ya matumaini mema – Cape of Good Hope katika...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
1. Njelu Mulugala Kasaka, 2. Jared Gachocha, 3. Mateo Qaresi, 4. Wilium Mpiluka, 5. Lumuli Alipip Kasyupa, 6. Dr Ole Titos Kipuyo, 7. Philip Marmo, 8. Arcardo Ntagazwa, 9. Patrick...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Mwl.Alipoteza nguvu zake na uhodari wake wa kushawishi mambo.Mwalimu kukifanya Chama kilichompa shida kuondoa Udini,na Ukanda uliokuwepo ktk TAA na TANU na kutumia nguvu na akili nyingi sana...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
kiukweli huyu muheshimiwa huyu anatoa raha saana namfuatilia itv live kiukweli napata faraja katika tz hii hii ambayo wazalendo wamepungua mno
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mwaka 2005 nikiwa Zanzibar wakati wa uchaguzi, CCM ilikuwa inaaminika kwa kuchukua vijana mtaani kuwafundisha kuvuruga mikutano ya CUF. In fact wanachama wengi wa CUF waliumizwa sana wakati...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ukibahatika kuisoma hotuba hii ambayo inapatikana yote kwenye links hapo chini zikiwa na vipade vya vedio vya hotuba hiyo, utagundua kuwa US, UN na NATO bado wanatumia kanuni zilezile...
0 Reactions
2 Replies
8K Views
Wakuu, Kama kuna mtu anayekumbuka tarehe Nyerere alipotembea kwa miguu toka Butiama hadi Mwanza ili kuunga mkono Azimio la Arusha, naomba msaada wenu.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ni miaka miaka miwili na nusu tu, lakini baadhi ya watu wanaanza kusahau. Sasa imekuwa kawaida kusikia baadhi ya watu wakisema kuwa CHADEMA iligoma kuishirikisha CUF kwenye kambi rasmi ya upinzani...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Tumetoka mbali sana.....hizi ni baadhi ya "headlines" za wakati huo!
1 Reactions
5 Replies
2K Views
By Athuman Mtulya The Citizen Reporter Posted Sunday, June 9 2013 at 00:06 IN SUMMARY It has been a 20-year wait for G55, a group of leaders who distinguished themselves in the early 1990s as...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ikulu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kujengwa magogoni na wakoloni ni kwa sababu za kiusalama kwamba endapo yangetokea machafuko enzi zile iwe rahisi kwa wao kukimbia kwenye handaki lililopo...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Nyerere aliwahi sana kudai Uhuru kwani kulifanya hata maendeleo yeto kudumaa,Hapakuwepo na sababu ya kudai uhuru miaka ya 1961 kwani mpaka leo tunaonekana ndo tumedai uhuru juzi maana tunaona nchi...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
27 May 2013 Last updated at 20:24 ET By Cordelia Hebblethwaite PRI's The World Imagine a Maasai warrior, or a Maasai woman adorned with beads - it's one of the most powerful images of tribal...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Early human ancestors were 'aquatic apes': Living in water helped us evolve big brains and walk upright, scientists say Supporters of the aquatic ape theory include Sir David Attenborough It says...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ukifuatilia kwa ukaribu, utaona kuwa kuna mambo mengi yaliyopo Chama cha Mapinduzi (CCM) yanafanana na yale ya Timu ya yanga. Angalia mifano hii ifuatayo: Jengo la CCM ...
1 Reactions
6 Replies
15K Views
Mwalimu Nyerere alizaliwa tarehe 13 Aprili 1922. Leo ni miaka 91 tangu siku hiyo. Nimeweka hapa documentary ya The Legacy of Mwalimu Nyerere, kama kumbukumbu ya siku hii.
1 Reactions
5 Replies
3K Views
''Tunataka rais wetu, akiwa Mkristu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Ukristu wake. Akiwa ni Mwislamu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Uislamu wake. Hatumchagui awe rais wa Wakristu wala awe wa...
2 Reactions
12 Replies
4K Views
Back
Top Bottom