Hivi nani hasa ni mzanzibari halisi!? Maana nimefatilia nimegundua wanaotaka muungano uvunjike ni wale wenye Asili ya uarabuni! Sasa je zanzibar ilikuwa ya waarabu!? Maana historia inasema...
"TUKUMBUSHANE"
1.Hivi Gazeti la Mwanahalisi liko wapi?
2.Dr.Ulimboka amehamia nchi gani?
3.Mgomo wa walimu lini?
4.Mafisadi wa EPA watanyongwa lini?
5.Unakumbuka mbunge analipwa posho kiasi...
Wakoloni weusi wa pili hapa tz tunajua wana polisi, usalama wa taifa, tra na fedha zetu wananchi wanazitumia kuhakikisha wanadidimiza mambo hata wafanyabiashara, wanawahonga wengine wanaojitoa...
WARENO 1500 1800
Ukiristo uliletwa kwa mara ya mwanzo Zanzibar na Wareno.- Wareno wakielekea juu kutoka kusini baada ya kufanikiwa kuizunguka Rasi ya matumaini mema Cape of Good Hope katika...
Mwl.Alipoteza nguvu zake na uhodari wake wa kushawishi mambo.Mwalimu kukifanya Chama kilichompa shida kuondoa Udini,na Ukanda uliokuwepo ktk TAA na TANU na kutumia nguvu na akili nyingi sana...
Mwaka 2005 nikiwa Zanzibar wakati wa uchaguzi, CCM ilikuwa inaaminika kwa kuchukua vijana mtaani kuwafundisha kuvuruga mikutano ya CUF. In fact wanachama wengi wa CUF waliumizwa sana wakati...
Ukibahatika kuisoma hotuba hii ambayo inapatikana yote kwenye links hapo chini zikiwa na vipade vya vedio vya hotuba hiyo, utagundua kuwa US, UN na NATO bado wanatumia kanuni zilezile...
Ni miaka miaka miwili na nusu tu, lakini baadhi ya watu wanaanza kusahau. Sasa imekuwa kawaida kusikia baadhi ya watu wakisema kuwa CHADEMA iligoma kuishirikisha CUF kwenye kambi rasmi ya upinzani...
By Athuman Mtulya The Citizen Reporter
Posted Sunday, June 9 2013 at 00:06
IN SUMMARY
It has been a 20-year wait for G55, a group of leaders who distinguished themselves in the early 1990s as...
ikulu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kujengwa magogoni na wakoloni ni kwa sababu za kiusalama kwamba endapo yangetokea machafuko enzi zile iwe rahisi kwa wao kukimbia kwenye handaki lililopo...
Nyerere aliwahi sana kudai Uhuru kwani kulifanya hata maendeleo yeto kudumaa,Hapakuwepo na sababu ya kudai uhuru miaka ya 1961 kwani mpaka leo tunaonekana ndo tumedai uhuru juzi maana tunaona nchi...
27 May 2013 Last updated at 20:24 ET
By Cordelia Hebblethwaite
PRI's The World
Imagine a Maasai warrior, or a Maasai woman adorned with beads - it's one of the most powerful images of tribal...
Early human ancestors were 'aquatic apes': Living in water helped us evolve big brains and walk upright, scientists say
Supporters of the aquatic ape theory include Sir David Attenborough
It says...
Ukifuatilia kwa ukaribu, utaona kuwa kuna mambo mengi yaliyopo Chama cha Mapinduzi (CCM) yanafanana na yale ya Timu ya yanga. Angalia mifano hii ifuatayo:
Jengo la CCM
...
Mwalimu Nyerere alizaliwa tarehe 13 Aprili 1922. Leo ni miaka 91 tangu siku hiyo.
Nimeweka hapa documentary ya The Legacy of Mwalimu Nyerere, kama kumbukumbu ya siku hii.
''Tunataka rais wetu, akiwa Mkristu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Ukristu wake. Akiwa ni Mwislamu, ajue hatumchagui kwa sababu ya Uislamu wake. Hatumchagui awe rais wa Wakristu wala awe wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.