kwanza heshima kwenu wakubwa na vijana wenzangu,
kuna habari za kihistoria niwewahi kuzisikia lakini sikupata historia hiyo kwa kina na nimeona hapa kuna wenye uelewa mpana wa mambo yetu ya...
Nadhani kila mwanaJF anaifaham historia ya nguli wa siasa nchini tanzania,baba wa taifa,hayati mwalimu Nyerere.Ndugu ulishawahi kusikia kuwa hayati mwalimu alishawahi kuishi na wake wawili tu...
https://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=HhhuTRuX5Bg&x-yt-ts=1421914688&x-yt-cl=84503534
KUMBUKUMBU YA MAPINDUZI - AZAM TV - Mohamed Said
Habari Wakuu?
Kwanza kabla ya yote napenda kutoa chuki zangu za dhati kwa Raisi Kikwete kutokana na hotuba yake mbovu mbovu aliyoitoa juu ya Sakata la Escrow.
Binafsi nimeona matundu mengi "...
1). Mtwa Mkwawa hakuwa mhehe na wala hakuwa mtoto wa Mnyigumba (kama historia iliyoandikwa na Wajerumani inavyopotosha); bali Mkwawa alikuwa ni mtoto wa dada wa Mnyigumba aliyeolewa na mtemi wa...
Mimi ni mwanachama wa CDM mwenye kadi no. CDM 0545314 iliyotolewa tawi la chuo kikuu cha Tumaini(SMMUCo) moshi-2011.
Toka mwaka huo mpaka leo nimeshindwa kulipia ada ya uanachama kwa kuwa nakosa...
MAAZIMIO YA KAMATI KUU YA CCM -:
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.
Jana tarehe 13/01/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa chini ya uongozi wa Mwenyekiti wake wa Taifa Dr. Jakaya Mrisho...
Wakati majuzi Mh. Rais JK akijimung`unya mdomo na kujidai ana kikohozi hadi kunywa maji wakati akijitayarisha kumfuta uwaziri Mh. Prof. Anna Tibaijuka, Rais mwenzie Mzee Julius Nyerere alimfuta...
Alijenga viwanda katika kila mkoa hapa Tanzania
Mwatex
Mara Milk
KOIL Mwanza
Sunguratex
ZZK MBEYA
Machine tools Moshi
Arusha General Tyre
Kilitex
EMKO Soap
Maries Biscuits
Peremende
Ongezeeni...
KHITMA YA SHEIKH ALI MZEE COMORIAN MSIKITI NGAZIJA 1ST JANUARI 2015
Written By Mohamed Said on Thursday, January 1, 2015 | 9:51 AM
Mufti Sheikh Hassan bin Amir, Al Habib Omar bin Ahmed...
KASHIFA YA WATERGATE (WATERGATE SCANDAL)
Wakati kashifa hii inagonga vichwa vya habari katika vyombovya habari duniani miaka ya sabini hapabongo sisi tulikuwa tunaisoma sana katika gazeti la...
Bobby Jordan | 23 December, 2014 09:45
Commandos of the 4 Recce team who operated far from their base, for up to 10 months away from home and with little backup. File photo
A new book by...
Na Ahmed Rajab
ALIPOFARIKI dunia Mwalimu Julius Nyerere
Oktoba 14 mwaka 1999, gazeti la Guardian la
Uingereza liliniomba niandike makala maalumu ya
kuyatathmini maisha yake.
Nilipokuwa naanza...
Nchi yetu haiishiwi vituko. Rais yuko Marekani anatibiwa, Rais mtarajiwa Lowassa ambaye anaongoza kwenye kura za maoni naye yuko matibabuni Ujerumani. Walau tunajua Rais anaumwa tezi dume...
Joshua Nassari amekamatwa na Polisi jioni hii na yuko ndani Kituo cha Polisi USA River Arusha kuhusiana na masuala haya ya Uchaguzi...
Katibu wake anasema wamefuatilia kituoni hapo kujua sababu...
Yeye Ni:
Mtu wa ajabu kupita watu wote katika nyakati zote za historia ya mwanadamu
Mtu aliyejitokeza kuwa mashuhuri kwa vipindi vyote
Mwalimu mkuu,mtu aliyefanya matendo mema kwa wanadamu kupita...