Jukwaa la Historia

On JF:

Habarini wana JF. Nakaribisha maswali maalumu kuhusu wilaya takatifu ya Ileje iliyopo mkoa mpya/ lango la SADC ,SONGWE Karibu mpenzi.
2 Reactions
48 Replies
10K Views
TAFSIRI YA KISWAHILI ''KUVULI CHA BABA ZAO KINAPOWAFUNIKA WATOTO NA WAJUKUU'' Serikali ya kikoloni ilikuwa kila kukicha inabadili mitindo, hila na mbinu za ukandamizaji ili kuendeleza utawala...
1 Reactions
1 Replies
961 Views
Leo asubuhi katika matembezi yangu Maktaba nimekuta picha ya kaburi la Sheikh Haydar Mwinyimvua (1905 - 1987) ambae mwanae Sheikh Ahmed Haydar tumemzika siku chache zilizopita. Picha hii nilipiga...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Katika tafiti zangu za hapa na pale kuna mgodi mmoja mpk leo naona kama vile umesahauliwa kabisa ....mgodi huu upo Afrika mashariki , katika nchi ya Tanzania Mgodi huu unasadikika kuwa ni mgodi...
6 Reactions
26 Replies
8K Views
MKONO WA BURIANI WA MAMA SYKES KWANGU Hii picha nimepiga na mama Bi. Zainab Sykes tarehe 12 January 2021 nyumbani Mbezi. Nilikuwa natoka kufanya kipindi cha Mapinduzi ya Zanzibar, Studio za...
3 Reactions
5 Replies
2K Views
KUTOKA GAZETI LA JAMVI LA HABARI: KITABU NILICHOSOMA RAJABU KIRAMA JEMEDARI WA VITA KUWA JEMEDARI WA UISLAMU: MOHAMED SAID Na Hafidh Kido NIMEKUWA na utaratibu wa kufanya ziara za mara kwa mara...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Alli Migeyo maarufu kama "ALLI MATATA" ni Mtanzania wa kwanza kupigwa bomu la machozi. Alipigwa mabomu manne ya machozi Desember 2, 1953. Alipigwa mabomu hayo na askari wa kikoloni wa kiingereza...
1 Reactions
11 Replies
5K Views
Wengi tumemsikia Mfalme Haile Selasie na kutambua umaarufu wake mara baada ya kuuawa. Nii mini hasa chanzo cha kuuawa kwake?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
SATURDAY, SEPTEMBER 15, 2012 IN MEMORIAM The late Hamza K.B. Mwapachu 50 years ago, on 17th September, 1962, Hamza Kibwana Bakari Mwapachu, father to Harith Bakari Mwapachu, Rahma Mark...
8 Reactions
40 Replies
22K Views
Subash Patel nilimjua katika miaka ya mwishoni 1970 au mwanzoni 1980 kupitia rafiki yake Said Ibrahim ambaye mimi pia ni rafiki ndugu. Said ndiye alinipeleka nyumbani kwake. Miaka hiyo alikuwa...
29 Reactions
109 Replies
58K Views
KILIO CHA MJANE WA ALI MIGEYO Mohamed Said June 11, 2017 0 Gazeti la Mwananchi la leo Jumapili 11 June, 2017 imechapa makala inayoeleza hali ya umasikini anayoishinayo Janath Migeyo mjane wa...
2 Reactions
3 Replies
3K Views
Anaandika Alexandr Solzhenitsyn kwenye Gulag Archipelago. Anasema kuwa wakati wa ukomunist huko USSR kulikuwa na mambo ya kushangaza sana. Siku moja katibu wa chama alitembelea mji fulani. Ndani...
3 Reactions
2 Replies
639 Views
Na Alhaji Abdallah Tambaza MKOANI Dar es Salaam, kwenye Wilaya ya Ilala kuna eneo linaloitwa Kisutu, ambalo historia yake inaanzia karne ya 1800 hivi wakati wa Utawala wa Kiarabu wa Seyyid Majid...
28 Reactions
61 Replies
19K Views
Habari wana historia wa JF na wadau mbalimbali, Binafsi nimekua nikiwaza sana ni kwanini walichagua jina la Tanganyika wakati kulikua na ziwa Victoria ambalo ni kubwa kuliko ziwa Tanganyika...
6 Reactions
99 Replies
16K Views
BURIANI SALUM ZAHORO Makala hiyo hapo chini niliandika miezi miwili iliyopita. Naiweka tena tuisome kama kumbukumbu ya Salum Zahoro aliyefariki jana na kuzikwa jana hiyo hiyo: SALUM ZAHORO...
5 Reactions
20 Replies
4K Views
AFRICAN SPORTS YA TANGA Jana mtaani pangu nimesikia washabiki wa Wekundu wa Msimbazi, Simba Sports Club wakiwatupia madongo mazito mazito washabiki wa Yanga kwa kufungwa goli moja na African...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Miaka 3500 iliyopita katika nchi ya Misri walipata kupata ustarabu na mariifa ya hali ya juu. Karne ya 19 kuligunduliwa michoro ya ajabu katika pyramidi ukionesha sehemu za ubongo wa mwanadamu...
3 Reactions
54 Replies
10K Views
KALAMU YA ABDALLAH TAMBAZA INAPOOMBOLEZA HUTOA MACHOZI SHAJARA YA MWANAMZIZIMA: Buriani Sheikh Ahmed Haidar Na Alhaj Abdallah Tambaza JUMUIYA ya wanazuoni wa Kiislamu kote ulimwengu; wafuasi wa...
6 Reactions
6 Replies
3K Views
ENZI ZA AFRICA EVENTS Msomaji wangu mmoja kaniandikia maneno hayo hapo chini baada ya kusoma makala yangu niliyomtaja Prof. Hamza Njozi: "Makala ya Prof.Hamza Njozi katika jarida la Africa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…